Hamas ndiyo walivamia IsraelDini zimepumbaza watu. Israel wanafanyia watu unyama usio na mfano lakini dini zimepumbaza watu hawataki kuliona hilo, wanakesha wakiiombea Israel wakati mungu mwenyewe ameshindwa kuilinda Israel.
Mungu mwenyezi uwezo wa kuilinda Israel hana halafu mijitu mipumbavu inakesha kuiombea Israel na inapeleka maombi kwa huyo huyo mungu asie na uwezo wowote wa kuilinda Israel yake, hizi ni akili ama mavi?
Unakuja lijitu ligogo ama lihehe la huko iringa limeshindwa 'kuwaombea' (kitu kinaitwa maombi hakina msaada wowote kwenye maisha ya binaadam) wangoni ama wahehe wenzie, anakesha na kufunga kuiombea Israel na unakuta anatembea na bendera ya Israel kwenye gari ama nyumba yake.
Dini ni utapeli kama utapeli mwingine kitu kinachoitwa Mungu hakipo na wala hakina uwezo wowote wa kufanya chochote.
Mpaka Sasa wapalestina wangapi wamewawahi wale ma bikra 72 wenye macho kama Kikombe na vifua vyenye flat screen kule peponi mkuu?Jeneral wa Jeshi la Urusi Bwana Andrei Gorolyov ambaye pia ni afisa mwandamizi huko Urusi amekiri kuwa kwa taarifa zake rasmi ni kuwa wanajeshi zaidi ya 500 wa Israel washaangamizwa hadi sasa!!
Jenerali wa Urusi Andrei Gorolyov [emoji635]: "Kulingana na taarifa zangu, idadi ya wanajeshi wa Israel waliouawa ni takriban 500." "Ufadhili wa Hamas unatoka Uturuki na Qatar, hiyo ni kweli.
Kwa sababu fulani, kila mtu anazungumza juu ya Irani, kwa hivyo lengo ni Iran? Wanataka kuiingiza Iran kwenye mzozo na kuishinda ili kulishinda taifa hilo?
. Katika miongo kadhaa iliyopita, Iran imepata maendeleo makubwa katika uzalishaji wa silaha za kisasa, na ndio maana hata aircraft carrier za kubebea ndege ya Marekani hawafurukuti lakini Wamarekani hawajali hasara na uharibifu utakaotokea.
Bali wanataka Israel kupigana na kila mtu, kwa hivyo tuko vitani na America na amani haitakuja.
BREAKING[emoji599][emoji599]: Russian General Andrei Gorolyov [emoji635]: “According to my information, the number of Israeli army personnel killed is about 500.” “Hamas’ funding comes from Türkiye and Qatar, that’s true.
For some reason, everyone is talking about Iran, so the target is Iran? They want to drag Iran into the conflict and defeat this republic.
Over the past decades, Iran has made serious progress in the production of modern weapons, and that is why the American aircraft carrier groups do not approach, but the Americans do not care about the losses and destruction that will occur.
Rather, they want Israel to fight everyone, so we are at war with the United States, and peace will not come. On Earth, there is only a multipolar world and the departure of the hegemonic power.”View attachment 2799627
Mkuu, hiyo inaitwa selective writing. Nimetolea mfano 'ligogo na lihehe' na sio 'migogo na mihehe'.Umeanza na "ligogo ama lihehe" halafu ukamalizia na "wangoni ama wahehe". Tuombe radhi sisi wagogo.
Kati ya hamas na Israel nani alianza kumvamia mwenzake kuanzia mwaka 1948?Hamas ndiyo walivamia Israel
Upuuzi mtupu.Hamas walivyosema kwamba Gaza itakua ni kaburi la Wanajeshi wa Israel walikua hawatanii..Shambulizi moja tu wameuwa wanajeshi 67 wa Israel
#BREAKING Al-Qassam Brigades ambushed Israeli soldiers, captured 43 soldiers and killed 67 soldiers.
Source:Israel channel 14
Israeli media and Military sources confirming the Ambush but denied any captured soldier
As a result of the attacks of the Al-Qassam brigade, a unit of the Givati Brigade had to withdraw from the north of Gaza —
Palestinian Source
Source:Israel channel 14,Palestinian Source.
Verfied by: War intel page on XView attachment 2799534
UPDATE: Unconfirmed report.......Hii habari bado sijajiridhisha,nilikua na haraka sana kuipost, huwa najitahidi sana kuleta habari za kweli humu na huwa nahakikisha naleta habari za uhakika kabisa!!Na hii habari niliitoa kwenye source ya uhakika kabisa lakini mleta habari amesema binafsi kuwa anaifanyia uchunguzi kwanza na akaifuta!!....Hii ni hadi nijiridhishe kwanza nilikua fasta sana kupost hii habari humu, so hadi nijiridhishe....Mimi sio kama kina Mk254 ambaye habari zake 95% anazoleta humu ni za uongo!!..........
Safari hii utaahira lazima uwatoke. Watafukuliwa kwenye hayo mahandaki mmoja baada ya mwingine.Kweli ukiwa muislamu hata Kama umesoma lazima uwe na chembe chembe za utahaira katika ubongo.
Mbona hajafa George bush? Mbona hajafa netanyau?
Kati ya hamas na Israel nani alianza kumvamia mwenzake kuanzia 1948.Mbona walilofanya Hamas hutaki kulilaani?
Ule unyama wa kuua watu wasio na hatia ni sawa?
Jino kwa jino
Nimekuelewa.Mkuu, hiyo inaitwa selective writing. Nimetolea mfano 'ligogo na lihehe' na sio 'migogo na mihehe'.
Maana yake nimechagua ama kutolea mfano mgogo ama mhehe mmoja mpumbavu alieshikwa na dini na sio wagogo ama wahehe wote.
Ningeandika 'migogo na mihehe' hapo ningekua nimekosea kuwajumuisha wagogo wote na wahehe wote kwenye kapu la wajinga na wafia dini. Mimi kama mtaalamu wa lugha na mantiki siwezi kufanya hilo kosa ya generalization syndrome.
Huu ujinga uliouandika hapa nawenyewe umeuandika kwa mihemko yakidini vile vile.kwan wewe hao wanaokufa uko wanakuhusu nini hadi uchukie wanaoiombea israeli kama sio kwamba nawewe dini inakusumbua.Na pia kuna kipi kikubwa ambacho israeli imekishindwa hadi useme Mungu kashindwa kuilinda ili yeye aingilie.Kila mtu afanye anakiona ni sawa.Dini zimepumbaza watu. Israel wanafanyia watu unyama usio na mfano lakini dini zimepumbaza watu hawataki kuliona hilo, wanakesha wakiiombea Israel wakati mungu mwenyewe ameshindwa kuilinda Israel.
Mungu mwenyezi uwezo wa kuilinda Israel hana halafu mijitu mipumbavu inakesha kuiombea Israel na inapeleka maombi kwa huyo huyo mungu asie na uwezo wowote wa kuilinda Israel yake, hizi ni akili ama mavi?
Unakuja lijitu ligogo ama lihehe la huko iringa limeshindwa 'kuwaombea' (kitu kinaitwa maombi hakina msaada wowote kwenye maisha ya binaadam) wangoni ama wahehe wenzie, anakesha na kufunga kuiombea Israel na unakuta anatembea na bendera ya Israel kwenye gari ama nyumba yake.
Dini ni utapeli kama utapeli mwingine kitu kinachoitwa Mungu hakipo na wala hakina uwezo wowote wa kufanya chochote.
Hapana!Zinazokusaidia wewe habari za Wapalestina wakifanyiwa mauwaji ya kimbari?
Tulitakiwa kuvunja ubalozi mara moja na Palestine pale tu utawala wa Palestine walipoonekana kubariki mashambulio ya kigaidi yaliyofanywa na kikundi cha kigaidi cha Hamas.Huu ni wakati wa Serikali ya Tanzania kuvunja mahusiano na Israel haraka sana kwa yanayoendelea huko Gaza!!
Huko nyuma tuliwahi kusema kuwa "kila mtu anastahili haki ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake". Pia tulisema kwamba kila watu wana haki ya kuwa na mahali ambapo watakuwa salama kutoka vitisho vyovyote vya utu wao na nafasi yao kama jamaa.
Tokea enzi za Nyerere tuliamini ya kwamba hakuna mwanadamu mwingine ambaye ana haki ya kumtawala kwa nguvu mwanadamu mwingine kwa kisingizio chochote kile. Hii ilikuwa ni falsafa yetu dhidi ya ukoloni.
Leo hii tunashuhudia yanayoendelea Palestina ambapo karibu maelfu ya watu wameshauawa. Je, Bunge linapokutana siku chache zijazo zilaani mauaji hayo? Je, serikali ilaani pande zote mbili kwa kusababisha mazingira ambayo yanamnyima mwanadamu nafasi ya kuwa huru kufanya lolote? Tunapaswa tuungane na nchi nyingine mfano Bolivia ambazo zimevunja uhusiano na Israel kutokana na suala la Gaza
Hatuwezi kuendelea kulisapoti taifa la kigaidi ambalo lina mchango mkubwa wa ubaguzi wa Rangi na.ambalo limeshiriki kuwaangamiza Waafrika wengi mfano wakati wa makaburi walitoa misaada ya kila aina kwa makaburu ili waendelee kuwauwa watu weusi kule Africa ya kusini bado zile cases za waafrika waethiopia kufungwa vizazi wasizae kwa nguvu!
Kwa yanayoendelea naiomba serikali ivunje uhusiano mara moja na huu utawala katili wa Israel View attachment 2799632View attachment 2799631View attachment 2799633View attachment 2799634
Mkuu nenda telegram search chanel inaitwa "Intel Slava Z"Sasa hapo kwenye picha mbona hakuna ushahidi wowote unao onesha kuwa ramani imetoka kwa Idf?
Proved nadhani ni muhimu na wewe upate comment yangu ifuatayo directly,itakufungua ufahamu.The comment was for Instagram.It is as follows:Hii Vita uliyoandika hapa ambayo itatokea baadae, ukisoma bible ipo kiroho zaidi (spiritually), hata mji mtakatifu wa 'Jerusalem' ni ule mji mpya ushukao kutoka mbinguni "Ufunuo wa Yohana 21"....sio huo unakaliwa na Israel na kugombewa na Wapalestina.
Kwanini haya mambo mnayatafsiri sana kimwili na sio kiroho.
zitto junior Mathanzua
Ukweli huu hapa!Lakini kwa nini kuandika habari za kujifariji tu zisizo na ukweli?
Heshima yako Sir.....its been a whileNgoja niweke kambi hapa siti ya mbele kabisa..