LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Wewe tatizo lako unaandika kiushabiki ulio jaa chuki dhidi ya Dini zingine.......wa Kenya wengi hawanaga upuuzi wako economic oriented tafauti na wewe, wewe ni mpuuzi sana hazijengi au kuelimisha mtu zaidi ya kueneza chuki tu.
Ametoa taarifa kama Hali halisi ilivyo..ww ulitakaje Kwan?
 
Tujitahidi kuvumiliana wajameni.

Lugha za staha ni muhimu.

Pia, usijibizane na mpumbavu maana mwisho wa siku nawe utafanana.
 
Unaamini hiyo misaada anayopewa Israel ni ya bure?Hayo ni malipo ya utaalamu na teknolojia aliyonayo.Hamas wengi waliogopa kwenda shule wamewekeza kwenye kusambaza dini kwa mtutu wa bunduki angali wenzao wamewekeza kwenye tafiti katika kila nyanja.
 
Wewe tatizo lako unaandika kiushabiki ulio jaa chuki dhidi ya Dini zingine.......wa Kenya wengi hawanaga upuuzi wako economic oriented tafauti na wewe, wewe ni mpuuzi sana hazijengi au kuelimisha mtu zaidi ya kueneza chuki tu.
Yeye ameripoti kama ilivyoandikwa wewe unamtukana.Hivi ndivyo mnafundishwa kwenye dini yenu?
 
Unaamini hiyo misaada anayopewa Israel ni ya bure?Hayo ni malipo ya utaalamu na teknolojia aliyonayo.Hamas wengi waliogopa kwenda shule wamewekeza kwenye kusambaza dini kwa mtutu wa bunduki angali wenzao wamewekeza kwenye tafiti katika kila nyanja.
Na nchi yako inayo pokea misaada kutoka kwa wazungu ni malipo ya nn?
 
Wewe tatizo lako unaandika kiushabiki ulio jaa chuki dhidi ya Dini zingine.......wa Kenya wengi hawanaga upuuzi wako economic oriented tafauti na wewe, wewe ni mpuuzi sana hazijengi au kuelimisha mtu zaidi ya kueneza chuki tu.
Siyo kiushabiki, bali moyo wako haukubaliani na ukweli, habari hii haijakifurasha hata kidogo.
 
Acha uongo bwana, watanzania gani wanapendana wakati kuna video hapo juu Wapemba wanapinga ujenzi wa kanisa pemba kwani pemba ni Kenya au ni Uganda.

Tatizo watu ni wanafiki sana, utamtambuaje mtu humu kwa utaifa wake? Kwa hiyo wewe unachotaka kuona humu ni kila moja kuiunga mkono Hamas, wewe mbona hujalazimishwa kuiunga mkono Israel..?? Very hopeless.
 
Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francisco anayeketi Kitini pake Petro Mtume amesema katika migogoro wa Israel Mataifa Mawili yaliyofafanuliwa vyema ndio Suluhisho la Busara

Source BBC news
 
Wewe tatizo lako unaandika kiushabiki ulio jaa chuki dhidi ya Dini zingine.......wa Kenya wengi hawanaga upuuzi wako economic oriented tafauti na wewe, wewe ni mpuuzi sana hazijengi au kuelimisha mtu zaidi ya kueneza chuki tu.
mbona hujaainisha upuuz wake ? nahisi ww ndo utakuwa mpuuz
 
Keyword: Imeloa
 
Unaongea kuhusu chuki, hivi haya maandamano ya waislamu kupinga ujenzi wa kanisa yalifanyika nchi gani, hii ni chuki ya aina gani yaani


View: https://www.youtube.com/watch?v=pcwvILodCKM
Narudia tena. Watanzania hatupo hivyo masaa 24 unashabikia vita mara Urusi mara wapi. Hizi chuki zako zinawakilisha jinsi gani wakenya walivyo jamii ya hovyo na chuki za ukabila.

👉 Watanzania hatuna chuki za kidini wala ukabila kila kona watu wanaishi kwa upendo na kuheshimiana chuki zako peleka huko huko Kenya
 
Gaza inageuzwa kifusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…