Halafu linatokea shoga moja litapingaWanaukumbi.
Leaked Footage from Israeli Airforce Shows IDF Apache Helicopter Firing on its OWN Citizens at Supernova Music Festival on October 7
“The pilots realised that there was tremendous difficulty in distinguishing within the occupied outposts and settlements who was a terrorist and who was a soldier or civilian.”
[…] “The rate of fire against the thousands of terrorists was tremendous at first, and only at a certain point did the pilots begin to slow down the attacks and carefully select the targets.” Middle East Eye
SawasawaWazayuni sio wa kuwaamini.
Hamas na Wazayuni lao moja.
Ñi ngumu kuamini lakini kwa jicho la tatu iko hivyo
kwahiyo hiyo inaondoa ukweli kwamba hamas hawakuvamia? kama wote wale wangekuwa wameuliwa na waisrael wenzao, hamas wangepata wapi nafasi ya kuteka raia 250 na kuondoka nao? tumieni akili. wachache wanaweza kuwa waliuawa kweney cross-fire na huyo aliyeongea kwenye clip ndicho alichosema,ila majority waliuawa na hamas na hadi walichoma moto watoto wakiwa hai. pia, ni muislam gani anateka wanawake na wazee na watoto? ndo maana tunasema hamas ni magaidi na yanatakiwa kuuawa kwasababu ninavyosikia waislam wa kweli huwa wanaspare watoto, wanawake na watoto.Wanaukumbi.
Leaked Footage from Israeli Airforce Shows IDF Apache Helicopter Firing on its OWN Citizens at Supernova Music Festival on October 7
“The pilots realised that there was tremendous difficulty in distinguishing within the occupied outposts and settlements who was a terrorist and who was a soldier or civilian.”
[…] “The rate of fire against the thousands of terrorists was tremendous at first, and only at a certain point did the pilots begin to slow down the attacks and carefully select the targets.” Middle East Eye
hayo magari yote yalipigwa kiberiti na hamas. huyu dr. anayeandika twitter ni pro-hamas/palestine, nenda x ukamwangalie mlengo wake.
kwahiyo unaamini magazeti kuliko uhalisia? kwahiyo israel ndio waliua watu wao, wakateka watu wao na kukabidhi kwa hamas pia? au shida yenu ni nini?Huna
kama wakiwa karibu wanakuletea matatizo, kwanini usiwasukumie mbali ukae kwa amani? hata ungekuwa wewe? yap, ni ethnic cleansening kwasababu wakiwa karibu wanawasababishia shida. na kweli ni kosa chini ya the ICC lakini mtafanya nini? mtamshitaki mwisrael? mtamkamatia wapi? na kabla hamjamkamata vipi mshamkamata putin tayari manake naye mlisema mtamkamata.
Mbona yamefika masaa 80?Kumebakia masaa machache kabla ya mkuu wa Hezbollah kutoa tamko!!Maangamizi yanakuja.
Tumebakiza masaa kadhaa kabla ya Nasrallah mkuu wa Hezbollah kutoa tamko!!
Hili tamko limemfanya hadi Bilinkelin kufanya Israel Israel ijumaa hii Nchi za magharibi, mashariki ya kati, Israel na dunia yote kesho itayaelekeza macho na masikio huko Lebanon kwa mwamba mmoja tu si mwingi ni Bwana Nasrallah mkuu wa kundi la Hezbollah la Lebanon
Tamko la kesho ndo litaamua hatma ya mashariki ya kati na utawala wa kizayuni....Hezbollah wana kila silaha mnayoijua ninyi hakuna silaha ambazo hawana.
Tunakwenda kushuhudia hali ya mambo ikibadilika ndani ya masaa kadhaa yajayo
Tutapeana updates hapa hapa..........View attachment 2801828View attachment 2801829View attachment 2801833View attachment 2801837
Wamekubaliwa ceasefire kila siku masaa 4Ila waambie Hao wavaa vipedo na makobazi wenzako wakilianzisha hakuna ceasefire.Hata jumuiya za kimataifa zikipiga kelele.Sijui huruma ya raia wasio na hatia; wanawake na watoto.Manake sasa hivi UN,Qatar, Saudi Arabia,Jordan, Egypt wanadai ceasefire, wapalestina waachwe na Israeli [emoji1134]
Vipi hujaridhika bablai mlivyochapwa?Wewe hapo ndo unahamu
AmenIjapo watu elfu waanguka ubavuni pako. Naam, kumi elfu mkono wako wa kuume! Hata hivyo hautakukaribia wewe. [Zaburi 91:7].
Watu wale wana ahadi, mkono wa Yehova upo juu yao.
Sasa ww akili kama kisoda ubapigana na kakundi kasichokuwa na silaha zozote za maan ndo mnasifia tena kwa kuchangia na marekani , mkipigana na nchi yenye air supreme yoyote mbona kazi mtakuwa nayoIla waambie Hao wavaa vipedo na makobazi wenzako wakilianzisha hakuna ceasefire.Hata jumuiya za kimataifa zikipiga kelele.Sijui huruma ya raia wasio na hatia; wanawake na watoto.Manake sasa hivi UN,Qatar, Saudi Arabia,Jordan, Egypt wanadai ceasefire, wapalestina waachwe na Israeli [emoji1134]