Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
sasa ngoja ufurahi, tuamini kwamba ni kweli, IDF ndio waliua raia wao.and so what? hamas hawana hatia?
Alie toa post haiamini biblia , ndio nimemuuliza yeye ni muislamu maelezo ya Jacob kuwa ni Israel kayatoa wapi?Biblia inasema Jacob ndiye Israel. Kwani huiamini Biblia?
Idf washaishiwa hawana plan B wao na nyau wanahangaika tuuuSio benki tu, hadi misikiti, shule na hospitalo zimepigwa mabomu na sasa hospitali kubwa ya Gaza yenye HQ za Hamas underground soon itafuatiliwa kuharibu mtandao wa mahandaki chini yake.
Israhell hii hii tunayo sifiwa Ina jeshi bora na hio ndio njia pekee inayoweza wapa ushindi hapo ghaza T14 ArmataBaraza la Vita la Israel limesema kuna uwezekano wa kuipiga Gaza kwa bomu la Nyuklia
Waziri aliyezungumza asimamishwa
Source Al jazeera news
Nimeogopa sana!
unawaza ujinga ndugu. kama una tabia za kukumbatia wanaume wenzio ni wewe, manake naona umeng'ang'ania sana, pengine ndio mchezo wako.
Meza vidonge vyako vya kupunguza hiyo dementia ya kiakili uliyonayo ,then vua nenda kamkumbatie mmeounawaza ujinga ndugu. kama una tabia za kukumbatia wanaume wenzio ni wewe, manake naona umeng'ang'ania sana, pengine ndio mchezo wako.
Meza vidonge vyako vya kupunguza hiyo dementia ya kiakili uliyonayo ,then vua nenda kamkumbatie mmeosasa ngoja ufurahi, tuamini kwamba ni kweli, IDF ndio waliua raia wao.and so what? hamas hawana hatia?
wewe utakuwa ndio yule aliyekula ban jana, utakuwa umekuja kwa jina jipya. naona unahangaika sana. kwa habari ya hamas, tunajua mioyo inawauma, lakini mtatuwia radhi, hamas lazima wateketezwe ndio maisha mengine yaendelee. hata mkichukia mkatukana mpendavyo haiwezi kuwaacha hamas salama. jiangalie, wenzako wote wanatoa hoja ila wewe umekazana kutukana. vipi, moyo wako umejaa uchafu kiasi gani kwamba ukitukana unajisikia vizuri?Meza vidonge vyako vya kupunguza hiyo dementia ya kiakili uliyonayo ,then vua nenda kamkumbatie mmeo
Sina muda wa kujibizana na mataahira kama wewe
kwahiyo hapa ndio akili yako yote umejitahidi kutoa hoja? pole ndugu.Meza vidonge vyako vya kupunguza hiyo dementia ya kiakili uliyonayo ,then vua nenda kamkumbatie mmeo
Sina muda wa kujibizana na mataahira kama wewe
Ndio ni tamaa ya madaraka .Unajua kinachoendela kwa weusi wenzio wa sudan??
Wakiwepo Hamas wanauliwa, wasipokuwepo Hamas wanauliwa, utofauti ni kwamba Vifo hivi vinatangazwa zaidi kuliko vingine that's it.Bahati mbaya raia wengi wanawaona Hamas ni watetezi wao
Inasemekana wanamgambo wa Hamas wamejichanganya maeneo mengi ya mijo.Wakiwepo Hamas wanauliwa, wasipokuwepo Hamas wanauliwa, utofauti ni kwamba Vifo hivi vinatangazwa zaidi kuliko vingine that's it.
West Bank sio Hamas na wao wanauliwa sababu Gani?
West Bank hakuna Hamas, na miaka ya Nyuma pia hakukua na Hamas hilo halijasababisha Waisrael wasiue Palestina.Inasemekana wanamgambo wa Hamas wamejichanganya maeneo mengi ya mijo.
Hivi,huyo Mungu anatoka wapi? Mungu asiyesikia vilio hivyo wa nini? Basi kama kweli yupo,anapakaziwa nguvu ambayo hana.Mungu akawatendee sawa sawa na mapenzi yake 🥲
Inasikitisha sana kuona watoto watu wazima wote Wana majeraha makubwa kichwani wakibubujikwa na damu, ili hali makosa si yao. Hakuna watu wa ajabu kama hamas wamesababisha mji kuwa wa huzuni sidhani kama mateso haya watayasahau, tuwaombee wasio na hatia.View attachment 2809866View attachment 2809867