Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Sawa nikajua kwa kipigo anachopewa Russia basi migambo wa Ukraine watakuwa wanakaribia hata kuingia MoscowHayo yasikupe tabu sheikh, inaendelea kuwatoka puani na wanazikwa kwa maelfu.
Mkiristo akifa motoni akiwa bado Mkiristo
Kusoma na kuandika bado ni changamoto kubwa sana. Ndio faida ya vitu vya bure, CCM inavyotoa.
Letanyahu duniani atapata aibu na akifa atakuwa kuni ktk motoSerikali ya Israel imesema ina hamu ya kumuona waziri mkuu wa zamani wa Uiengereza ,Tony Blair akiingilia kati na kuangalia wapi vilipofikia vita huko Gaza.
Wazo hilo limetolewa na waziri mkuu wa Israel mwenyewe ambaye hapo awali mara nyingi alisikika akipinga wazo lolote la uingiliwaji katika vita hivyo na usitishwaji wake.
Netanyahu amemtaja Tony Blair kama mtu mwenye uzoefu sana na siasa za mashariki yake anayeiweza vyema kazi hiyo ili kupunguza madhara ya vita.
Tony Blair touted by Israel as peacekeeper in Middle East
Sawa nikajua kwa kipigo anachopewa Russia basi migambo wa Ukraine watakuwa wanakaribia hata kuingia Moscow
Tuishie hapa; vita inaendekea lakini Ukraine wameshindwa kurudisha maeneo yao yaliyoporwaNia sio kufika Moscow, ila kuua Warusi hadi waamue kurudi, mlitegemea supapawa wa hovyo sana, ameshindwa hata kuwalinda kule Palestina ambapo magaidi ya dini yenu yanaliwa mchana.
Kwani muislam ana akili dunian? ningekuwa rais wa nchi hii jamii badala ya kudeal wamasaai ningedeal nao aiseMleta mada akili huna unaita tamko la kiume la Hamas kushikilia mateka?
Watanzania wenzetu wawili wanashikiliwa mateka na Hamas halafu wewe unaita tamko.lao la kiume
Kuna watu walikuwa wanashangilia mwanzoni mwa vita.Sasa mtu wao huyo aanza kuwaacha mkono.Ataka suluhu.Wameshachoka na vita mwezi wa pili sasa bila mafanikio yoyote.Letanyahu duniani atapata aibu na akifa atakuwa kuni ktk moto
Mjomba darasani ulikuwa unakaa nyuma nini. Mbona maandishi sioIsrael amechezea papaya anategemea ISIS watamsaidia. America kashusha silaha na hao wanajeshi Lebanon anadhani atamshinda Hezbullah.
Hezbullah anasilaha za kuzamisha US carries na Israel kuwatishia Nuclear sidhani itawatisha Hezbullah anazo silaha zakuripua Chemical plant pale Haifa hio ni sawa na Nuclear
Gaidi ana ID nyingi humu unaandika na unajijibu mwenyewe🤣🤣🤣Letanyahu duniani atapata aibu na akifa atakuwa kuni ktk moto
Tuishie hapa; vita inaendekea lakini Ujraine wameshindwa kurudisha maeneo yao yaiyoporwa
Letanyahu motoni na wafuasi wake ikiwemo weweGaidi ana ID nyingi humu unaandika na unajijibu mwenyewe🤣🤣🤣
Netanyahu ndio huyo kiboko chenu!!!
Kafiri fanya usilimu. Ukifa ukiwa mkiristo basi ujue wewe ni kuni tu