LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Hamas wange kuwa na ant tank za kisasa na zenye nguvu kama walizo nazo Hizbulah tunge shuhudia kiama cha vufaru vya Israel ndani ya gaza.
Ndio hawana sasa! 😁
Vita ni pamoja na silaha, kama hauna silaha maana yake hauna uwezo, unatakiwa usalimu tu amri
 
Hakuna njia ya kwenda mbinguni bila kristo na huko uliko uko upande wa mpinga kristo.kwanini umefumbwa kiasi hiki hata hutaki kuelewa?.
Katika Walawi 11:7-8, “Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi, kwenu, msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.”[4]
 
Ndio hawana sasa! [emoji16]
Vita ni pamoja na silaha, kama hauna silaha maana yake hauna uwezo, unatakiwa usalimu tu amri
Ndo ujue jeshi la Israel ni nyanya sana kuwa pamoja na kupigana na wapiganaji wanao tumia silaha za kienyeji bado ameshindwa kuwashinda alafu unajiita jeshi bora duniani [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Katika Walawi 11:7-8, “Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi, kwenu, msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.”[4]
Unataka kusemaje kwani?,mfuate kristo upate amani huko uliko hutakuja kupata amani kamwe,amani ya kweli ipo kwa kristo,shtuka wewe.
 
Katika Walawi 11:7-8, “Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi, kwenu, msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.”[4]
Nakazia ukifa nje ya uislam ww ni motoni!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…