LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Iran washutumiwe sana kwa kuwasaliti wapalestina, wamewadanganya halafu wamewatelekeza na sasa wanang'ang'ana na msalaba peke yao. Iran bure kabisa.
Wamewauzia Hamas silaha so Iran amefanya biashara nzuri.

Hivi Ni Vita vya kiuchumi kwa Iran na Hamas kwa upande mmoja na Israel na Marekani na washirika wao.

Wewe hemka na ujinga WAKO wa dini.

Israel pale Gaza hataondoka na Ile gesi iliuogunndulika Gaza ataifyonza yote. Wanakadiria huo ujazo wa hiyo gesi Ina thaman ya bilion 500 USD.

Nb:unaodhani mosad walilala mpaka wakashindwa kung'amua yale mashambulizi ya Hamas.

Mpango ulikuwa Ni kuiteka Gaza.
 
Sio mwarabu sema muislam. Hivi ni vita vya kidini sio vya kiarabu na Isreal
Hahahhaaàa... Nani kakwambia Ni Vita vya kidini. Mjinga kweli.

Israel na Marekani pamoja na Iran wanaitaka gesi iliyoko Gaza ambayo inakadiriwa kuwa na thamani ya bilion 500 USD

Tafuteni taarifa acheni mihemko ya kidini ya kimbumbumbu. Na kujazwa ujinga vichwani.
 
The Secretary of State's private secretary resigned following the Israeli government's failure to effectively manage the war in Gaza — Israeli Media
 
Wewe mpumbavu hao raia unaosema wanaambiwa waondoke hujui kwamba hao washenzi wanawalipua na makombora na drones hata huko njiani ,unajua mpaka sasa ni watu wangapi wamefariki kwenye hiyo corridor ya kwenda huko South Hasa ambako wameambiwa na huo utawala wa kishenzi wa wazayuni ?
Kenge wewe
Uwe unafanya research kabla ya kuja kuandika humu ushenzi wako ,mbwa we
Soma hapo :
Idiot
Mnakera Sana ninyi hayawani ambao mko brainwashed na misinformed
Pitia hizo links Halafu urudi hapa kuandika useng€ wako
Ninyi mna akili kuliko mataifa yanayosimama dhidi ya kinachofanywa na wazayuni hapo Gaza ?
Au unadhani UN na mataifa mengine wanaposema wazayuni wana fanya crime against humanity na war crimes mnadhani wanafanya jokes au sio ?
Wewe na mbwa wenzako humu mnatoa kinyaa sana
Ptuuu!
I'm sick of you dumb mazafakaz



View: https://youtu.be/Lu1YHFSxfD0?si=arW7zq3LXGV4Ysv3

wale walioondoka hawajalipuliwa, wapo kusini. ilikuwaje wale wabaki kama sio ujeuri? umeambiwa hili eneo limebadilika na kuwa eneo la mapigano ondoka, wewe unasema siondoki ngoja wapige ili ulimwengu unionee huruma, utakuwa na akili timamu kweli? na wewe uliyebaki unaficha hamas na kusaidiana na hamas.
F-lY6jtXUAAz47b.jpeg
 
Hahahhaaàa... Nani kakwambia Ni Vita vya kidini. Mjinga kweli.

Israel na Marekani pamoja na Iran wanaitaka gesi iliyoko Gaza ambayo inakadiriwa kuwa na thamani ya bilion 500 USD

Tafuteni taarifa acheni mihemko ya kidini ya kimbumbumbu. Na kujazwa ujinga vichwani.
Wewe ndio huna taarifa sahihi rudi kasome.

Yaani hujui vita ilianzaje? Israel hana shida na gesi ya Gaza. Kwake katika mpaka na Lebanon upande wa majini katika bahari ya mediteranian amegundua gesi nyimgi sana na ameishaingia,mikataba ya uchimbaji.

Nb:; .mzungu hahitaji kuchonganisha vita ili anyonye rasilimali. Wavivu wa kufikiri ndio slogan yao mfano vita ya kongo nk. Mzungu atakunyonya kwa kutumia akili kupitia mikataba mibovu hahitaji kukuchonganisha, ujinga wa mtu mweusi ni mtaji tosha.
 
Wewe ndio huna taarifa sahihi rudi kasome.

Yaani hujui vita ilianzaje? Israel hana shida na gesi ya Gaza. Kwake katika mpaka na Lebanon upande wa majini katika bahari ya mediteranian amegundua gesi nyimgi sana na ameishaingia,mikataba ya uchimbaji.

Nb:; .mzungu hahitaji kuchonganisha vita ili anyonye rasilimali. Wavivu wa kufikiri ndio slogan yao mfano vita ya kongo nk. Mzungu atakunyonya kwa kutumia akili kupitia mikataba mibovu hahitaji kukuchonganisha, ujinga wa mtu mweusi ni mtaji tosha.
Pole kwa kufikiri bepari anaridhika.

Ameingia Gaza na hatoondoka.

Kuiba au kupita so Kwamba huna Bali Ni kuaccumulate utajiri /rasilimali kadiri inavyofaa.

Marekani iliachilia usd bil 6 kwenda Iran. Iran ikawafadhili Hamas km ilivyo kawaida na kuwapa jeuri ya kuanzisha Vita. Lkn Iran mchezo mzima anaujua.

Unadhani mosad wamelala kiasi hawakua mipango ya mashambulizi ya Hamas.?

Unadhani Israel kugundua gesi yake ndiyo hataitaka na ya Gaza.

Fikiri nje ya box.


Hawa mabepari hawaingii Vita isiyo na maslahi mapana ya kiuchumi.

Hii Vita haina hata chembe ya dini Bali Ni Vita ya kiuchumi.Kwa wanaofikiri na wnatafuta habari za kina.

Kuna mengi huyajui.
 
Mpuuzi sana wewe na hauna akili wala common sense , nimekuuliza swali , unajua ni kiasi gani cha raia wa Gaza ambao wameuawa kwenye hiyo corridor ya kwenda south Gaza tangia huo utawala wa kishenzi utangaze kwao kuwa waende huko ?
mbona una hasira sana, au upo kwenye siku zako za mwezi?
 
Vita ni vita murah.....Wazayuni wanazidi kuangamizwa huko Gaza haya mpwa wa kike wa Netanyahu nae ameangamizwa huko Gaza

Mpaka sasa idadi wa wanajeshi wa kizayuni walioangamizwa huko Gaza na mpakani na Lebanon ni karibia 900!!

Today Al-Qassam Brigades killed soldier Barkitzi Matania Artzi in Gaza, the younger niece of Sara Artzi, the wife of Prime Minister of Israel Netanyahu.
View attachment 2811903
Huyu angedakwa mzima mzima apigwe pipe wa mjaze mimba hadi ajifungue waunge undugu kwa nguvu
 
Nasema na narudia kukwambia wewe pimbi ustaadh ukome kunifuata inbox mm sio cheap kama mama yako mm ni level nyingine alafu tumia akili mchezo wako wa kutatuliwa marinda peleka kwenu ok
Sasa kama ww ni muuza nyapu kwann usifuatwe kuulizwa bei?
 
Back
Top Bottom