Ndio nini hii mbona mafungu ulotoa hayaendani na hoja yako ya yesu kurudi Gaza?Yesu alisema " waacheni watoto Wadogo waje kwangu kwa maana walio mfano wa hawa Ufalme wa mbinguni ni wao" Mt 19:14
Kwa namna Watoto Wadogo walivyouawa pale Gaza ni Lazima Yesu atarudi na Wayahudi Watatubu Dhambi zao
Mbarikiwe sana!
its better ukafuta iyo reply yako kwangu nenda ka reply kwa uyo dogo nilie m quote apo juu ili akuelezee vizur huo ushoga upo wapiOK. basi nakubaliana na wewe. towashi ni mwanaume hanithi na kwa enzi za tamaduni za kiajemi alikuwa ni yule aliyehasiwa ili awe hanithi kwa ajili ya kwenda kufanya kazi kwenye jumba la kifalme. hiyo ndio historia yao. na haimaanishi kwamba towashi ni shoda, NO.
hiyo wanayokula sio kitimoto kweli hiyo?
Wavaa kobazi na pedo lazima wafukuliwe popote walipo hata humo hospital.Yesu alisema " waacheni watoto Wadogo waje kwangu kwa maana walio mfano wa hawa Ufalme wa mbinguni ni wao" Mt 19:14
Kwa namna Watoto Wadogo walivyouawa pale Gaza ni Lazima Yesu atarudi na Wayahudi Watatubu Dhambi zao
Mbarikiwe sana!
Wavaa Pampers watakula risasi Za makalio basala ya shahawaWavaa kobazi na pedo lazima wafukuliwe popote walipo hata humo hospital.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] dah ila ww jamaa buana?Jeshi la IDF limeanza kugawa madawa kwenye Hospitali ya Al Shifa Baada ya kulidhibiti kundi la Hamas kwenye eneo Hilo. Pamoja na hayo jeshi Hilo limekuta Silaha mbali mbali za Hamas na Sasa linawahoji waafanyakazi wa Hospitali kuhusu mambo mbalimbali, huku operation Chini ya mahandaki ikiendelea.
Wangaliwaruhusu waandishi wa habari wa West kuripoti sio wao kujiwekea silaha na kujisemea Hao hawaaminiki katu
mwandishi gani wa west angekubali icho kitu, BBC imejaa mashoga watupu wanapendelea hamas, al jazeera inapendelea hamas 100% labda fox. lakini hata hivyo, ni mwandishi gani atarisk maisha yake aende katikati ya mapigano kama hayo akijua anytime hamas wanaweza kumlenga kichwani au kwenye moto au bomu la wayahudi linaweza kumtwanga?Wangaliwaruhusu waandishi wa habari wa West kuripoti sio wao kujiwekea silaha na kujisemea Hao hawaaminiki katu
kama hamas anatumia hospitali kama ngao, na chini yake kuna handaki lake, kwanini asivamie, au wababe wa kivita huwa hawavamii maeneo ambayo adui anatumia kujificha?hueleweki.Ulimwengu lazima leo umeshangaa kwa kuona mbabe wa kivita na mwenye teknolojia ya hali ya juu kuvamia hospital na kama kwamba imepigana na wagonjwa...
Daah aseeh hawa jamaa ni nyoko magaidi hawafai kabisa. Jamaa kaeleza in detail kama mtu hajaelewa hapo basi atakua na yake
Wewe ni kijana mdogo mbona Afghanistan walikuweko, Iraq walikuweko?mwandishi gani wa west angekubali icho kitu, BBC imejaa mashoga watupu wanapendelea hamas, al jazeera inapendelea hamas 100% labda fox. lakini hata hivyo, ni mwandishi gani atarisk maisha yake aende katikati ya mapigano kama hayo akijua anytime hamas wanaweza kumlenga kichwani au kwenye moto au bomu la wayahudi linaweza kumtwanga?
Mbona kuna wagonjwa watupu Alshifakama hamas anatumia hospitali kama ngao, na chini yake kuna handaki lake, kwanini asivamie, au wababe wa kivita huwa hawavamii maeneo ambayo adui anatumia kujificha?hueleweki.
Mbona kuna wagonjwa watupu Alshifa
Israel isipo onesha ushahidi wa alicho kuwa anadai kuwa kimo hospitalini hapo sijui hiyo aibu ataificha wapi?Hii Vita iishe tu sasa, haya maafa yafike tamati tu.
Hawa kwa kudanganya ndiyo mafundisho yao
na ile picha wamepiga jana wananajisi ukumbi wa bunge wa hamas waliichora tu? auHawa kwa kudanganya ndiyo mafundisho yao