Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ngoja tusubiri tuone mwenye mshipa huo kwa "mayahudi"!Nisisikie ng'weeee...anaua watoto na akina mama!Yemen yatangaza kuchoma meli zote za Israel na atakayekuwepo kukiona cha moto
#BREAKING Ansarallah from Yemen announce that they will target all of the following types of ships:
1. Ships carrying the flag of the Israeli entity
2. Ships operated by Israeli companies
3. Ships owned by Israeli companies.
The Yemeni Armed Forces also calls on all countries of the world to do the following:
A. Withdrawal of its citizens working on the crews of these ships.
B. Avoid shipping on or handling these vessels.
C. Inform your ships to stay away from these ships.View attachment 2818588
Amepiga mji wa Eilat wa Israel zaidi ya mara 20 kwa makombora na yamelenga shabaha unataka ushahidi gani tena wa kuprove?Ngoja tuone kama itafanikiwa .....apige meli hata moja tuone retaliation itakuwaje....Yemen anachokitafuta atakipata anategemea nchi washirika wamsaidie.....atashangaa
Israel hutoa funzo la kudumu kwenye ubongo Misri ni mfano na sasa Hamas wanawekewa kumbukumbu ya kudumuWaache kujamba mishuzi, kama ma giant wa Arabia, Egypt na uturuki(turkey), hawana mpango wa Vita na Israel, wao wanaomba diplomasia itawale, sembuse hawa maskini wa Yemen, wawaulize hao ma giant wawaambie wanaona nini huko Israel,Jews amepanga kuifuta kabisa Palestine,
Kipindi Ghadafi, kapinduliwa, hifadhi zake za, silaha, ziliibiwa, na, kiasi kikubwa kwa msaada wa Iran, ziliingizwa, kimagendo Gaza kwa, Hamas, sasa, hawa waarabu wajiulize zile siraha zipo wapi?Israel hutoa funzo la kudumu kwenye ubongo Misri ni mfano na sasa Hamas wanawekewa kumbukumbu ya kudumu
Akianza kupakatwa hamtakuja hapa kuomba huruma ya Dunia?Amepiga mji wa Eilat wa Israel zaidi ya mara 20 kwa makombora na yamelenga shabaha unataka ushahidi gani tena wa kuprove?
Dah!Hatari kweli.Kwa hiyo wamebaki watano tu?Si walienda 55?At least 50 Zionist soldiers have been killed in the last 48 hours in Gaza Strip.
A worker working in an Israeli military cemetery:
"A funeral comes to us every hour or 90 minutes, and we buried 50 dead in two days."View attachment 2818590
Hamas wanaua askari, israel wanaua watoto na wagonjwahayaa sawa msilalamike mkipewa kichapo. wamekufa 50 israel watauliwa 1000 palestina.
tukubaliana no kulalamika.
Ok je Hamasi wamekufa wangapi ndani ya hayo masaa 48? Au ndio kama kawaida yenu Hamas hawafagi ila ni wanawake na watoto ndo wanakufa hapo Gaza?????At least 50 Zionist soldiers have been killed in the last 48 hours in Gaza Strip.
A worker working in an Israeli military cemetery:
"A funeral comes to us every hour or 90 minutes, and we buried 50 dead in two days."View attachment 2818590
At least 50 Zionist soldiers have been killed in the last 48 hours in Gaza Strip.
A worker working in an Israeli military cemetery:
"A funeral comes to us every hour or 90 minutes, and we buried 50 dead in two days."View attachment 2818590