gemseeker23
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 354
- 246
huyo ni mchambia rungu usishindane nae hivi karibu ataolewa baraka anayo tayariJiheshimu tukuheshimu.
hawa ahadi yao ni kuwa mashogaKama ulivyosema pepo ya waislam wameahidiwa sex nyinyi mmeahidiwa nini?
Hakuna aya kwenye quran inayosema yeah atarudi wala kuwa hakimu kiyama,nauliza tena,yeah atakayekunywa mvinyo kwa babaake,je babaake no baamedi!?Nawasi wasi huyu jamaa sio Muislam na kama ni Muislam basi kajitoa bila yeye kufahamu sababu bongo lake jeupe na haujui Uislam.
Ila Jesus si Koran imesema ndio atahukumu kwa haki watu wote siku ya kiyama? au Hujui uamtukana Judge wenu hahaha
The Hadith of Abu Hurariah (Sahih Bukhari 4:55:657) says, “… surely (Jesus), the son of Mary will soon descend amongst you and will judge mankind…”
Kasome aya 43:61 Yesu akirudi kuja kuwahukumu Muslims
Jesus ndio atakaye muua Dajjal au hujui we mtukane tu
Kwa vyanzo vyako vya israel,wamekufa Hamas wangapi?Hamas wao hawafi! Ni maroboti sio?!
Yaani hii vita hata haieleweki. Wanaokufa israel ni wanajeshi, wanaokufa gaza ni wanawake na watoto. Ngoja tutulie mbabe akipatikana vita itaisha.At least 50 Zionist soldiers have been killed in the last 48 hours in Gaza Strip.
A worker working in an Israeli military cemetery:
"A funeral comes to us every hour or 90 minutes, and we buried 50 dead in two days."View attachment 2818590
Hamna hamas aliekufa..Kwa vyanzo vyako vya israel,wamekufa Hamas wangapi?
Ukweli ni kwamba Israel inachukua Gaza yote, hawataondoka tena hapoHivi unajua maana ya ngumu na ya muda mrefu? Ngoja nikuambie.
Gaza utakaluwa na Israel kwa muda mrefu kwa kisingizio cha kutafuta mateka , na kwa ajili hiyo Hamas itatafutwa acha Chini ya mawe hadi chini ya ardhi na kuangamizwa. Hiyo ndiyo maana ya " Ngumu na ya muda mrefu.
Netanyau na waziri wake wa ulinzi waliongelelea mashambulizi toka Hezbulah,na Yemen.
Kama utaachwa unafiki ukawa mkweli, mfadhiri wa Hezbulah na hauth ni Iran.
Japo umeandika kinafiki, hao viongozi hawajalalamika bali wametoa onyo." Tunajua tutakabyojibu"
Kunywa supuHamna hamas aliekufa..
Si umeona hapo wameuliwa wanajeshi sio raia, na wao waisrael wapige wana mgambo sio watoto njitiKumbe hapo hakuna anayeonewa mama wote wanajiweza. Sasa hakuna haja ya kufanya maandamano wala un kupiga kelele kuwa Izrael isimamishe mashambulizi.
HAMAS na Wizara ya Afya ya Palestina ndiyo akili zao hizo.Wakitoa takwimu wanaongelea idadi ya kina mama na watoto,ile inayobaki hawasemi ni kina naniWanaokufa Gaza ni watoto, wanawake na askari wa Israeli tu
Unakuta wanatoa na idadi kabisa ya kina mama na watoto, ile inayobaki wanaipotezea hawasemi ni kina naniOk je Hamasi wamekufa wangapi ndani ya hayo masaa 48? Au ndio kama kawaida yenu Hamas hawafagi ila ni wanawake na watoto ndo wanakufa hapo Gaza?????
Kwahiyo mpaka sasa HAMAS hawajafa hata mmoja katika ile idadi ya 12,000?Si umeona hapo wameuliwa wanajeshi sio raia, na wao waisrael wapige wana mgambo sio watoto njiti
Naona mmepata kibali cha kanisa muanze kutoa kinyeo na ndoa mtafungishwa [emoji1787][emoji1787]Nonsense,wapigania Allah mlioahidiwa mabikra 72 jehanum mnakazi kubwa sana.
Akawapige hao anaodhani ni rahis hivyo , Israel inaowaonea sana hawa hamasi kwa kuwa hawamiliki hata kifaru , drone ndege ;kwnza inaonyesha ameshaachoka kwa mweiz tu yupo hoiHivi unajua maana ya ngumu na ya muda mrefu? Ngoja nikuambie.
Gaza utakaluwa na Israel kwa muda mrefu kwa kisingizio cha kutafuta mateka , na kwa ajili hiyo Hamas itatafutwa acha Chini ya mawe hadi chini ya ardhi na kuangamizwa. Hiyo ndiyo maana ya " Ngumu na ya muda mrefu.
Netanyau na waziri wake wa ulinzi waliongelelea mashambulizi toka Hezbulah,na Yemen.
Kama utaachwa unafiki ukawa mkweli, mfadhiri wa Hezbulah na hauth ni Iran.
Japo umeandika kinafiki, hao viongozi hawajalalamika bali wametoa onyo." Tunajua tutakabyojibu"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ni kama vile iran ilipokuwa inasema israel akiingia kwa ardhi gaza atakiona cha moto maana yeye iran angeingilia katiIran hawezi tia mguu..itakuwa hatma yake imefika.
Ukweli kwako au?Niseme tu ukweli Iran inachezea moto!
Hapana wanakufa, wakifa wana mgambo hawana tatizo ila sio vile vitoto njiti havina hatiaKwahiyo mpaka sasa HAMAS hawajafa hata mmoja katika ile idadi ya 12,000?