LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Hakuna aya kwenye quran inayosema yeah atarudi wala kuwa hakimu kiyama,nauliza tena,yeah atakayekunywa mvinyo kwa babaake,je babaake no baamedi!?
 
Iran hawezi tia mguu..itakuwa hatma yake imefika.
 
At least 50 Zionist soldiers have been killed in the last 48 hours in Gaza Strip.

A worker working in an Israeli military cemetery:
"A funeral comes to us every hour or 90 minutes, and we buried 50 dead in two days."View attachment 2818590
Yaani hii vita hata haieleweki. Wanaokufa israel ni wanajeshi, wanaokufa gaza ni wanawake na watoto. Ngoja tutulie mbabe akipatikana vita itaisha.
 
Ukweli ni kwamba Israel inachukua Gaza yote, hawataondoka tena hapo
 
Wanaokufa Gaza ni watoto, wanawake na askari wa Israeli tu
HAMAS na Wizara ya Afya ya Palestina ndiyo akili zao hizo.Wakitoa takwimu wanaongelea idadi ya kina mama na watoto,ile inayobaki hawasemi ni kina nani
 
Akawapige hao anaodhani ni rahis hivyo , Israel inaowaonea sana hawa hamasi kwa kuwa hawamiliki hata kifaru , drone ndege ;kwnza inaonyesha ameshaachoka kwa mweiz tu yupo hoi

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Iran hawezi tia mguu..itakuwa hatma yake imefika.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ni kama vile iran ilipokuwa inasema israel akiingia kwa ardhi gaza atakiona cha moto maana yeye iran angeingilia kati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…