waja ujinga magaidi wa hamas ndo walimua.
Bila shaka watatoa mait 60 na watu 40Taarifa ndio Hiyo
Hamas wataachia Mateka baada ya kushauriana na kukubaliana na Marekani lakini Mateka 60 waliuawa kwenye mashambulizi ya IDF
Ikumbukwe Mateka wengi Wana Uraia Pacha
Source Al jazeera news
Hapa una generalize, waarabu sio single entity kila nchi ina Marafiki na maadui, kuna Nchi za kiarabu ni Allies wa USA kama hizo za Gulf, Zipo ambazo ni Allies Urusi kama Syria, Part Ya Yemen, Iraq, Lebanon etc, kuna ambazo zinachukiwa na waarabu wenzao na kuuangana na Israel kama Morocco, kuna ambazo Zina Allies west ila sio Nchi zote kama Algeria etc.Hicho ulichouliza inaonekana hujui lolote, hao Waarabu wenyewe ndio usiku kucha wanaipigia magoti Marekani iingilie kati.
Israel inaisikiliza Marekani peke yake na si nchi nyingine yoyote na Marekani ndio mfadhili mkuu wa Israel.
Zamani Hakukuwa na Technology kama sasa, IDF wanakufa kindezi kweli, ukiona Video za Hamas unaona kabisa hamna kitu pale, kila baada ya siku 2 ama 3 Hamas wanatoa Video wakionesha makumi ya Vifaru yalipuliwa.Ila zamani tulimezeshwa matango haswa!
Mtu hawezi kuamini Israel Ile tuliofundishwa ndo ingeshindwa kiwajua mateka walipo
Zamani Hakukuwa na Technology kama sasa, IDF wanakufa kindezi kweli, ukiona Video za Hamas unaona kabisa hamna kitu pale, kila baada ya siku 2 ama 3 Hamas wanatoa Video wakionesha makumi ya Vifaru yalipuliwa.
Mfano hii video ya Juzi
View attachment 2820779
Ukiangalia hio video Hamas hapati upinzani wowote, wanatega tu sehemu wanawalipua IDF wanasepa.
IDF wanabakia tu kuua vizee na Vitoto mpaka leo hawajui Hamas wanatoka wapi.
Hii video mbona kama fake!Zamani Hakukuwa na Technology kama sasa, IDF wanakufa kindezi kweli, ukiona Video za Hamas unaona kabisa hamna kitu pale, kila baada ya siku 2 ama 3 Hamas wanatoa Video wakionesha makumi ya Vifaru yalipuliwa.
Mfano hii video ya Juzi
View attachment 2820779
Ukiangalia hio video Hamas hapati upinzani wowote, wanatega tu sehemu wanawalipua IDF wanasepa.
IDF wanabakia tu kuua vizee na Vitoto mpaka leo hawajui Hamas wanatoka wapi.
IOF ilishiriki video nyingine ya propaganda inayodaiwa kuonyesha maendeleo yao ndani ya Ukanda.Zamani Hakukuwa na Technology kama sasa, IDF wanakufa kindezi kweli, ukiona Video za Hamas unaona kabisa hamna kitu pale, kila baada ya siku 2 ama 3 Hamas wanatoa Video wakionesha makumi ya Vifaru yalipuliwa.
Mfano hii video ya Juzi
View attachment 2820779
Ukiangalia hio video Hamas hapati upinzani wowote, wanatega tu sehemu wanawalipua IDF wanasepa.
IDF wanabakia tu kuua vizee na Vitoto mpaka leo hawajui Hamas wanatoka wapi.
Ufeki wake nini?Hii video mbona kama fake!
Haina muunganiko!Ufeki wake nini?
Wajinga mpo wengi sana.Zamani Hakukuwa na Technology kama sasa, IDF wanakufa kindezi kweli, ukiona Video za Hamas unaona kabisa hamna kitu pale, kila baada ya siku 2 ama 3 Hamas wanatoa Video wakionesha makumi ya Vifaru yalipuliwa.
Mfano hii video ya Juzi
View attachment 2820779
Ukiangalia hio video Hamas hapati upinzani wowote, wanatega tu sehemu wanawalipua IDF wanasepa.
IDF wanabakia tu kuua vizee na Vitoto mpaka leo hawajui Hamas wanatoka wapi.
Pole Sana,zipo nyingi mno hizo,mpaka netanyahu kakubali kukaa mezaninna Hamas ujue mambo yamefika shingoniHaina muunganiko!