Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,868
- 2,191
Qur'an ni kitabu takatifu hakishikwi na wenye mavi mpa akajitawaze awe msafi.Hivi Quran imechanganywa na bangi gani?
Hebu tuambie zinaonyeshwa na channel gani? Lini Netanyahu amekubali kukaa mezani na Hamas?Pole Sana,zipo nyingi mno hizo,mpaka netanyahu kakubali kukaa mezaninna Hamas ujue mambo yamefika shingoni
Satanic verses.Qur'an ni kitabu takatifu hakishikwi na wenye mavi mpa akajitawaze awe msafi.
We ukisha wacha tembea na mavi karibu ukisome kitabu hicho utapata faida.
Pia Al Jazeera wanaficha?Idf wanakufa, sema media za magharibi zinaficha tu
Vita ya ardhini ni zero kabisa hao jamaa, hata wapiga matofali wanawamudu vizuri tu
Kosa la Furqan hapo ni lipi?Hivi Quran imechanganywa na bangi gani?
Dumb people are always blissfully unaware of how dumb they really are 😄Satanic verses.
Lete Aya tuone.Satanic verses.
Cc: CAPO DELGADOLete Aya tuone.
Yenyewe ndiyo bangi halisi na mkulima wake anaitwa allah.Hivi Quran imechanganywa na bangi gani?
Jiheshimu.Yenyewe ndiyo bangi halisi na mkulima wake anaitwa allah.
Nisamehe sheikh wangu.Jiheshimu.
Si umeona hapo wameuliwa wanajeshi sio raia, na wao waisrael wapige wana mgambo sio watoto njiti
Vita havina machoSi umeona hapo wameuliwa wanajeshi sio raia, na wao waisrael wapige wana mgambo sio watoto njiti
Kupigana na mtu ambaye yuko field kila siku ni kazi sana idf wengi Ni reserve hawako train kukabiliana na commandos wa hamasa, watapukutishwa Sana. Hata wanajeshi wa USA siyo wazuri kwenye face to face wanasaidiwa sana na ndege na vifaa bora walivyo navyo. Sasa IDF kwenye Urban combat watachinjwa sana.Idf wanakufa, sema media za magharibi zinaficha tu
Vita ya ardhini ni zero kabisa hao jamaa, hata wapiga matofali wanawamudu vizuri tu
Huu msemo wanapaswa wazungu waambiwe pindi mabomu ya Urusi yakitua Ukraine , kuwa vita haina macho , kama wanalalamika na wengine wanahaki ya kulalamika piaVita havina macho
Walikata umeme gaza halafu wanaenda hahaha. hamas wanawaokota kama maembe hawajui Hamas wanatokea wapi na wanajeshi wengi ni mashoga.
View: https://youtu.be/XS8TiBE4yZM?si=YuWDxwnqBIj8cmWI
Wanakimbia huko Gaza na Missiles wanapelekewa kama mvua huko Yela Aviv