LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Media Coverage: "The number of Israeli soldiers and settlers killed by Palestinian freedom fighters has soared up to 300, and at least 1590 others were injured, according to Hebrew sources."
 
Tayari wazayuni zaidi ya 300 washaangamizwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1320][emoji1320][emoji1320][emoji1320]

Media Coverage: "The number of Israeli soldiers and settlers killed by Palestinian freedom fighters has soared up to 300, and at least 1590 others were injured, according to Hebrew sources."
 






President Biden

@POTUS
·
19m

The world is seeing appalling images. Thousands of rockets raining down on Israeli cities. Hamas terrorists killing not only Israeli soldiers, but civilians on the streets and in their homes.It’s unconscionable. Israel has a right to defend itself – full stop.
 

View: https://vm.tiktok.com/ZMjHCpwSJ/
 
Siamini kuwa Israel wanaweza kujisahau na kuruhusu mashambulio ya namna hiyo, huu ni mpango wa Ashkenazi, kina netanyahu na Mossad yao.
 
Baada ya kulifikiria hili suala, naamini hii ni mipango ya ashkenzai na Moisssad ili kuhalalisha mauwaji ya Wapalestina na kuendelea kuikalia Palestina.
Mmeanza kutia huruma mapema hivi? SI mlikuwa mnawasifia hao Hamas? tulieni hivyo hivyo mpate dawa ili siku nyingine muwe na adabu
 
Baada ya kulifikiria hili suala, naamini hii ni mipango ya ashkenzai na Moisssad ili kuhalalisha mauwaji ya Wapalestina na kuendelea kuikalia Palestina.
Kwaio unataka kusema Ashkenazi na Mossad wamewapa hela Hamas ili wavamie sio?
Wamewahonga Waingie mtaani nyumba kwa nyumba wakiua wabibi, wanawake na watoto sio?

A very biased mindset.
 
Kazi inaenda viziri kijana tulia, kesho utasikia yote
 
Kwaio unataka kusema Ashkenazi na Mossad wamewapa hela Hamas ili wavamie sio?
Wamewahonga Waingie mtaani nyumba kwa nyumba wakiua wabibi, wanawake na watoto sio?

A very biased mindset.
Sivyo hivyo. Kuna uwezekano wamewawachia makusudi wajipenyeze ili waufute ukanda wa Gaza kwenye ramani ya dunia. Kama walivyoifuta asilimia 90 ya Palestina.

Unafikiri Gaza patakalika tena?
 
Sivyo hivyo. Kuna uwezekano wamewawachia makusudi wajipenyeze ili waufute ukanda wa Gaza kwenye ramani ya dunia. Kama walivyoifuta asilimia 90 ya Palestina.

Unafikiri Gaza patakalika tena?
Mama hio sasa ndo inaitwa "War tactics"-You leave the enemy think he has the upper hand.

Sidhani kama ni kweli, ila kama ni kweli bac wameingia kweny mtego wao.

Na hio sio sababu ya kuwatetea kwa sababu hawajashikiwa bunduki na mossad, wamefanya hayo mambo wao wenyew.
 
Kitakachofuatia ni kilio kwa Wapelestina. Muamerika ameshabariki, kuwa Israel wana haki ya kujilindq na kujihami. Kitakachofuata hapo ni vilio kwa Wanawake na watoto wasiojiweza kwenye vita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…