Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Mataliban wanaomba njia tu 😳😳😳Waachwe wapigane na yeyote anayetaka kupigana aende vita haina mwenyewe, who cares nani anapigana. Waachwe wapigane watu wazima hao. Ni ujinga kuwaingilia. Iran, Iraq, Lebanon, na yeyote anayetaka aende wachapane tupate mshindi period.
Nukes zipo kwenye mikono ya serikali.Ila wale wahuni wapo milimani wakichuuza bangi iliyosindikwa,heroin na fedha haramu/chafu.Hawasahau utekaji,ujambazi na kuanzisha vita holela tu.Pakistan wana nuclear bomb sisi tuna nini?
Hali unazidi kuwa mbaya Ukanda wa Gaza na sasa eneo hilo liko Gizani huku mapigano yakiendelea
Netanyahu asema atatumia silaha zake zote kuhakikisha anawaangamiza Hamas
Awaita Wapinzani kuunda serikali ya Umoja wa Kitaifa kwa dharura
Israel yaita Jeshi lake la akiba kukaa Mguu Sawa
Source: Al jazeera news
Wapelekwe hata kwa Helcopter, mimi ninachotaka kuona ni wanachapana mpaka mwisho. Na yeyota nayetaka kwenda asaidiwe afike huko haraka. Yani nasema yeyote asaidiwe afike na kichapo kiendelee mpaka tone la mwisho.
Kwani huwa ukiingiziwa unajisikia vizuri? Maana naona unayapenda sana.Kukuingizia wewe hapo ili ujisikie vizur
Mmeanza kutia huruma mapema hivi? SI mlikuwa mnawasifia hao Hamas? tulieni hivyo hivyo mpate dawa ili siku nyingine muwe na adabuBaada ya kulifikiria hili suala, naamini hii ni mipango ya ashkenzai na Moisssad ili kuhalalisha mauwaji ya Wapalestina na kuendelea kuikalia Palestina.
Ongezea na Tehran israel vs IranKuna series inaitwa “Fauda” ukiiangalia utapata picha kidogo kuhusu hizi bifu zao. Ni bonge moja la series.
Kwaio unataka kusema Ashkenazi na Mossad wamewapa hela Hamas ili wavamie sio?Baada ya kulifikiria hili suala, naamini hii ni mipango ya ashkenzai na Moisssad ili kuhalalisha mauwaji ya Wapalestina na kuendelea kuikalia Palestina.
Kazi inaenda viziri kijana tulia, kesho utasikia yoteAliyewahi kuwa Waziri Mkuu wetu Mpendwa Major General Ariel Sharon ( 1928 - 2014 ) alituachia Waisraeli huu Msemo wake wa Kishujaa usemao..."OUR DOCTRINE IS THAT THERE'S NO MISSION WE CAN'T ACCOMPLISH"... ambao ndiyo umekuwa Silaha yetu na Morali toshelezi Kwetu dhidi ya Wahuni na Wachokozi kama hawa Hamas wa Palestina, Iran na Lebanon.
Tumeshalipua tayari Ghorofa Kubwa lenye Wapalestina wengi na tumeshakamilisha Umafia wa Kuwakatia Umeme na sasa tunamalizia Kuiteka Rada yao ya Anga na Baharini ili kisitoke na kisijngie Kitu na baada ya hapo tunataka tutoe Funzo Tukuka kwa Wapalestina, Waarabu, Dunia na Wachokozi wote kuwa kama ambavyo ukiwa hapa JamiiForums hupashwi Kucheza na GENTAMYCINE basi hata hapa duniani pia hupashwi Kucheza na Taifa Teule la Mwenyezi Mungu la Israel.
Premier Netanyahu iteketeze Palestine.
Sivyo hivyo. Kuna uwezekano wamewawachia makusudi wajipenyeze ili waufute ukanda wa Gaza kwenye ramani ya dunia. Kama walivyoifuta asilimia 90 ya Palestina.Kwaio unataka kusema Ashkenazi na Mossad wamewapa hela Hamas ili wavamie sio?
Wamewahonga Waingie mtaani nyumba kwa nyumba wakiua wabibi, wanawake na watoto sio?
A very biased mindset.
Nothing surprisingMpalestina 100= Muisrael 1
Mama hio sasa ndo inaitwa "War tactics"-You leave the enemy think he has the upper hand.Sivyo hivyo. Kuna uwezekano wamewawachia makusudi wajipenyeze ili waufute ukanda wa Gaza kwenye ramani ya dunia. Kama walivyoifuta asilimia 90 ya Palestina.
Unafikiri Gaza patakalika tena?