TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
MK254Israeli military expert "Barham Meir" on Channel 12: We have to admit that "Hamas" has won and the continuation of the struggle will lead to the great fall of the Israeli army. He says that within 24 hours, 25 vehicles were destroyed, if we assume that 3 soldiers were killed in each vehicle, the number is 75, a loss that Israel has not suffered in its history
Mambo yanachekesha sanaKuna kina Chemical Allii wa Sadam wengi humu!
Propaganda leo wanangojea nn kuikalia ghazakama waliweza kukalia Sinai nzima,eneo la syria na lebanone kwa wakat mmoja tena miaka hyo 1967 watashindwa leo!!
Shida mnalia sana wakipga kidogo mnakusanya watoto na wamama waliokua pamoja na hamas kuililia dunia isingekua hivo Gaza yangebaki majivu
The israeli army announced the elimination of 3 officers of the 188th Armored Brigade killed in the Gaza Strip yesterday:Hizi ni za 7th October Lete za jana
Mafans wa vita hivi wengi ni watu walioathirika kisaikolojia, coz unakumkuta mzee mzima anaandikaujinga kweli, duh🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwa jinsi ambavyo hawa watu wanavyopewa sifa na walokole, nilitegemea watapigana vita vya kisayansi yaani taifa linalosifiwa na walokole kuwa ni teule linaua watoto na wanawake na wazee Tena baadhi ya ni wa kristo wenzetu, badala ya kuwaua mapiganaji, kumbe warusi wako mbali sana kisayansi, Uteule wao umeshindwa kubaini mateka wako wapi.Amani na salama wapenda tuwaombee wakristo wenzetu wa parestina lakini tusiwasahau na waislamu ambayo kiukweli hawana ubaya na wakristo hapo gaza
Sawa tumepewa macho mawili ili tuone sana! Ngoja tuoneWewe si shabiki madanzi tu kina
Netanyahu na wenzake ndiyo wanajua wanachokutana nacho Gaza.
Kabla ya wewe kuwepo nilikuwepoJoined October 13
Joined October 13Kabla ya wewe kuwepo nilikuwepo