Dah..jamaa propaganda hazisaidii kituWadau hamjamboni nyote
Hatimaye mateka waanza kuokolewa
Operesheni iliyofanywa na IDF huko Rafah usiku huu imefanikiwa kuwakomboa mateka Wawil
======
Two hostages have been rescued from Gaza, Israel says
The Israeli military says it has rescued two hostages from captivity in the Gaza Strip.
It identified the men as Fernando Simon Marman, 60, and Louis Har, 70.
A joint operation by the Israel Defence Forces (IDF), Shin Bet security service and the Special Police Unit in Rafah freed the two men, the Israeli military said.
"It was a very complex operation," Israeli military spokesman Lt Col Richard Hecht said.
"We’ve been working a long time on this operation. We were waiting for the right conditions."
Mind Games za kufanya adui arelax,Juzi wameteaka wote walioshikiliwa na hamas wameua.leo tena wamewaokoa. Muislamu yoyote wakati anapigania ardhi yake hashindwi
Na wana teknolojia kali ya kudukua, wanatumia sana kudukua Mawasiliano na mataifa kibao, kudukulia iPhone moja ni Milioni 100,Baada ya kuipata ile data center walivyokuwa wameificha kwenye ofisi za umoja wa mataifa Sasa hivi maficho yote yapo wazi ni kujipigia tuu wapendavyo. Ramani yote ya mipango, sehemu walipo magaidi wanayo
Muislam akimua adui au akiuliwa na adui wakati anapigania haki yake huyo atapata pepo ya juu kabisa. Muonee huruma zaidi wakati wa kifo chake anakuwa sio muislamMind Games za kufanya adui arelax,
Miezi mitano ya kutopata hata mmoja mkaona mtengeneze ka movie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Propaganda hizo. Unadhani hao ni wapinzani watz watushwa na mtu mmoja tu makondooo. Hao ni waislam.Na wana teknolojia kali ya kudukua, wanatumia sana kudukua Mawasiliano na mataifa kibao, kudukulia iPhone moja ni Milioni 100,
Sio tatizo. Marekani ilikuwa vifusi wakati wa vita vya 1 vya dunia wakati wewe hujazaliwa. Jionee huruma ukifa ukiwa sio muislamTulia dozi iingie,rafah nayo inaenda kuwa vifusi.
Iphone ya gaidi iliyodukuliwa na FBI mwaka 2016 waliwatumia waisrael na walitema mtonyo mrefu wa dola Milioni 1.3Propaganda hizo. Unadhani hao ni wapinzani watz watushwa na mtu mmoja tu makondooo. Hao ni waislam.
a.k.a mamaa mchukia mazayuni 😂 😂Hivi Faiza Foxy anajuwa kweli?
Haaaaaaaa, pole ndugu, endelea na ujinga wako huku ndugu zetu wapalestina wanaangamia, Rafah itakuwa na msiba mzito sana, una roho ngumu sana, unapofanya jambo lazima ufanye calculation kwanza baada ya kufanya hili tukio nitak??nitajilindaje? Nitamkabilije adui yangu? Sasa unashambulia halafu unaenda kujificha nyuma ya watoto na wanawake? Halafu unategemea adui yako akuhurumie! Au walitegemea Allah anapigana na jeshi la Israel? Mbinu ya human shield haisaidii chochote, Netanyahu alitangaza vita dhidi ya hamas, kwenye vita bomu likidondoka halichakui mtu. Misri amesema Hamas waachie mateka haraka sana ili Israel asishambulie Rafah, maana akishambulia rafah wapalestina watakimbilia Misri ndani ya wapalestina lazima na Hamas wajichanganye huku, na wakienda huku wanaweza kuungana na members wa Moslem brotherhood wakaanza kukinukisha huko Misri walishinikiza Misri ivunje mikataba ya amani na Israel ili waingie kwenye vita na wakati Misrian ajua fika hawezi kuishinda Israel kijeshi kwa vyovyote vile.Juzi wameteaka wote walioshikiliwa na hamas wameua.leo tena wamewaokoa. Muislamu yoyote wakati anapigania ardhi yake hashindwi
WaliyatimbaBaada ya kuipata ile data center walivyokuwa wameificha kwenye ofisi za umoja wa mataifa Sasa hivi maficho yote yapo wazi ni kujipigia tuu wapendavyo. Ramani yote ya mipango, sehemu walipo magaidi wanayo
Nahisi hapo Rafah ndipo walipo mateka na viongozi wa juu wa Hamas maana ukiwaona raia wamerundikana kwa wingi sehemu flani ujue wanafanya hivyo kwa manufaa ya Hamas ili wasishambuliwe.Rafah ndiyo mji wa mwisho Kwa HAMAS kujisalimisha kwasababu baada ya hapo hakuna eneo lingine la kukimbilia
Magaidi wa kizayuni mnatapa tapa tu nendeni mukawakomboe magaidi wenu acheni kuruka rukaNahisi hapo Rafah ndipo walipo mateka na viongozi wa juu wa Hamas maana ukiwaona raia wamerundikana kwa wingi sehemu flani ujue wanafanya hivyo kwa manufaa ya Hamas ili wasishambuliwe.
Dah kweli wapalestina si rizki hawa rafah nayo imeenda....Tulia dozi iingie,rafah nayo inaenda kuwa vifusi.