Serikali yetu ianze kuwachukua na kuwatibu Muhimbili wahanga wa mauaji ya kigaidi Mashariki mwa DRC. Majaji yanafanywa na ADF IslamistI wish na Serikali yetu+masheikh wetu wafanye kama Oman!
Je wayahudi waliouawa october 7 na kutekwa na Hamas mbele ya Allah hii ipo sahihi?View attachment 2953756
OMANI yaandaaa hodi mpya maalum wa kuwapokea wagonjwa na majeruhiwa Gaza katika hospitali ya Khawla kabla ya kuwasili.
Maashallah Serikali ya Oman na watu wake Allah atawalipa maana wamesimama kwa kila hali yarabb si dua misikitini, misaada wameonyesha, mioyo ya ubinaadam wameonyesha sana kwa watu wapalestina [emoji1193]
Hivyo wana mioyo yao ya kipekee Allaah awahifadhi sana Ndugu zetu [emoji1190][emoji173][emoji173]
I wish na Serikali yetu+masheikh wetu wafanye kama Oman!
Kama unadhani wa Oman Wana huruma, hebu muulize msichana yoyote ambaye amefanya kazi za u housegirl Oman.
Mauwaji kwa wapalestina hayakuanza oct, uwe mwelewa basi, tatizo lako umejawa chuki kwa waarabu/waislamuJe wayahudi waliouawa october 7 na kutekwa na Hamas mbele ya Allah hii ipo sahihi?
Unaota wewe gaddafi mwenyewe aliapa tu hakuna nchi inayoitwa israel na akafa isreal ipo imara mpaka QIYAMA chako[emoji599]BREAKING | IRAN SAYS ISRAEL IS GOING THROUGH ITS LAST DAYS.
βThe disgraced Zionist regime is going through its last days. Israel's crimes are unprecedented in history, and this evil regime does not adhere to anything.
I believe that people's understanding of Israel's crimes today will not be the only cause of Israel, and their supporters should be held accountable.β
Source: BRICSInfo
My take:Hili suala ni kweli kabisa, jamaa wamejitundika wenyewe, yaani Israel imejichimbia kaburi lake lenyewe sidhani kama Israel itatamalaki tena View attachment 2954872
Wataalam wa ma swala ya kivita wanasema hayo madude ni cha mtoto yatazimwa juu kwa juu Israel wako vizuri kwenye uwanja wa vita ndio maana wamefanya tukio wamalize kaz yaani Iran na Urusi watafurahishwa just keep cool men... Niliandika Israel ataishangaza Dunia Soo kuwa mpole[emoji599]BREAKING | IRAN SAYS ISRAEL IS GOING THROUGH ITS LAST DAYS.
βThe disgraced Zionist regime is going through its last days. Israel's crimes are unprecedented in history, and this evil regime does not adhere to anything.
I believe that people's understanding of Israel's crimes today will not be the only cause of Israel, and their supporters should be held accountable.β
Source: BRICSInfo
My take:Hili suala ni kweli kabisa, jamaa wamejitundika wenyewe, yaani Israel imejichimbia kaburi lake lenyewe sidhani kama Israel itatamalaki tena View attachment 2954872
Wairan ni Wake wa Waisrael mwanamke hawezi kumrushia ngumi mwanaume.[emoji599]BREAKING | IRAN SAYS ISRAEL IS GOING THROUGH ITS LAST DAYS.
βThe disgraced Zionist regime is going through its last days. Israel's crimes are unprecedented in history, and this evil regime does not adhere to anything.
I believe that people's understanding of Israel's crimes today will not be the only cause of Israel, and their supporters should be held accountable.β
Source: BRICSInfo
My take:Hili suala ni kweli kabisa, jamaa wamejitundika wenyewe, yaani Israel imejichimbia kaburi lake lenyewe sidhani kama Israel itatamalaki tena
Wewe ni mwehu kabisa, kwa hiyo hizo missiles ni nchi gani haina hasa nchi za Ulaya, Iran itaunguzwa[emoji599]BREAKING | IRAN SAYS ISRAEL IS GOING THROUGH ITS LAST DAYS.
βThe disgraced Zionist regime is going through its last days. Israel's crimes are unprecedented in history, and this evil regime does not adhere to anything.
I believe that people's understanding of Israel's crimes today will not be the only cause of Israel, and their supporters should be held accountable.β
Source: BRICSInfo
My take:Hili suala ni kweli kabisa, jamaa wamejitundika wenyewe, yaani Israel imejichimbia kaburi lake lenyewe sidhani kama Israel itatamalaki tena
Asante kwa taarifa yetu macho tunasubriπ[emoji599]BREAKING | IRAN SAYS ISRAEL IS GOING THROUGH ITS LAST DAYS.
βThe disgraced Zionist regime is going through its last days. Israel's crimes are unprecedented in history, and this evil regime does not adhere to anything.
I believe that people's understanding of Israel's crimes today will not be the only cause of Israel, and their supporters should be held accountable.β
Source: BRICSInfo
My take:Hili suala ni kweli kabisa, jamaa wamejitundika wenyewe, yaani Israel imejichimbia kaburi lake lenyewe sidhani kama Israel itatamalaki tena
πππIsrael inapigana na Mungu
Duuuh πWataalam wa ma swala ya kivita wanasema hayo madude ni cha mtoto yatazimwa juu kwa juu Israel wako vizuri kwenye uwanja wa vita ndio maana wamefanya tukio wamalize kaz yaani Iran na Urusi watafurahishwa just keep cool men... Niliandika Israel ataishangaza Dunia Soo kuwa mpole
Mungu ni Mungu wa kutusaidia tunapokuwa shidani. Kitendo cha Israel kuuawa watoa misaada wa World Kitchen ni kitendo cha kishetani na kinadhihirisha kwamba jeshi la Israel ni la kishetaniπππ
Hatimae ukweli umejidhihirishaMungu ni Mungu wa kutusaidia tunapokuwa shidani. Kitendo cha Israel kuuawa watoa misaada wa World Kitchen ni kitendo cha kishetani na kinadhihirisha kwamba jeshi la Israel ni la kishetani
Kuwa na adabu, acha lugha chafu.Wairan ni Wake wa Waisrael mwanamke hawezi kumrushia ngumi mwanaume.