LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Muslim kila vita wakipigwa wanasema walishinda... sijui kwa comparison zipi... walipoteza kila kitu vita zote na wanadai walishinda

Kwamba

GAZA kaingizwa kwa nguvu ili APIGWE ,Halafu anaua wanawake na watoto. Aisee iko shida sehemu kwa celebrum
Hujauona ushindi wa Wapalestina mpaka sasa hivi kwa kuanza kuwatandika mazayuni?

Ulikuwa unaiongelea Ghaza na Palestiona kabla ya Oktoba 10?

Sasa kwa miezi 9 leo inaongelewa dunia nzima. Umoja wa mataifa yameshatolewa maazimio kibao ya nayohusiana na Palestina, mahakama zote za dunia zinaongelea mpaka leo hii zinaongelea Palestina na Ghaza.

mazayuni wanayukwa hiuko kaskazini na hezbollah, meli zao za kibiashara na meli za mabwana zao za kivita zinanyukwa na Wayemeni huko bahari nyekundu.

wote huo siyo ushindi wa Hamas?

Mbali ya vijana wa Hams kudinda kwa miezi 9 sasa, unajuwa walichokifanya jana Hamas, Hezbollah na Wayemeni? Au nikujuze?
 
Hiyo ni Lugha ya kitumwa! Kajifunze historia ya utumwa zbar, bagamoyo na pwani yote kuanzia mombasa mpaka mtwara
Utumwa unaosoma kwenye historia wakati upo mpaka leo?

Utumwa imebadilishwa majina tu lakini upo kijana.

Jiulize wewe huko pwqni hao watumwa waliletwa na nani? Na vipi wewe unaandika na kuitumia lugha ya kitumwa? Au siyo mstaarabu wewe?

Hapo sasa.
 
Hiyo ni Lugha ya kitumwa! Kajifunze historia ya utumwa zbar, bagamoyo na pwani yote kuanzia mombasa mpaka mtwara
Historia ya nani aliyefanya biashara ya utumwa na ushahidi wake unaipata ndani ya kanisa la Mkunazini kule Zanzibar.Kuna vigogo vya chuma mpaka leo wakristo walimokuwa wakiwafunga mababu zako na kuwakabidhi kwa wenzao wazungu.
 
Hujauona ushindi wa Wapalestina mpaka sasa hivi kwa kuanza kuwatandika mazayuni?

Ulikuwa unaiongelea Ghaza na Palestiona kabla ya Oktoba 10?

Sasa kwa miezi 9 leo inaongelewa dunia nzima. Umoja wa mataifa yameshatolewa maazimio kibao ya nayohusiana na Palestina, mahakama zote za dunia zinaongelea mpaka leo hii zinaongelea Palestina na Ghaza.

mazayuni wanayukwa hiuko kaskazini na hezbollah, meli zao za kibiashara na meli za mabwana zao za kivita zinanyukwa na Wayemeni huko bahari nyekundu.

wote huo siyo ushindi wa Hamas?

Mbali ya vijana wa Hams kudinda kwa miezi 9 sasa, unajuwa walichokifanya jana Hamas, Hezbollah na Wayemeni? Au nikujuze?
Unaponijuza pia elewa kuwa kite do cha Kupigiwa Wanawake na Watoto kama mzee wa familia maana yake umeshindwa, kama kweli hilo jeshi lipo silitoke front waache kutumia human sheild
 
Wayahudi koko wa huku kwetu tukuyu watakuja kukushambulia utafikiri wew ndio ulierekodi tukio zima lilivyotokea.

Hawa wajinga wanazidi kuumbuka siku hadi siku. Kwa sasa hata Burundi inaweza kwenda kuleta chokochoko Israel wakiamini kuwa bila Marekani kuingilia kati wanaweza kuitwanga Israel na Netanyahu akaja kufanywa mke wa Ndayishimiye pale Bujumbura.
Wanapenda kuua lakiniwwpo mlio tu wasnogopa
 
Katika ulimwengu wa kijasusi, Vita inatengenezwa, mfano,
Rwanda anataka sababu ya kuishambulia TZ,
Anafanya hv"anapiga bomu kambi yake,akitokea mpakani,watu kadhaa wanakamatwa, wakiwa na vitambulisho vya TOSS, au jwatz,tena wanaongea Swahili vzr, "wanakili kuwa, wametumwa na serial ya, TZ? " Hapo,lazima kiwake,
Hiki kinachoendelea Kati ya Hezbollah na Israel, kwamba Hezbollah ameweza kuwa na dhana za Vita za ki sasa, anazirusha kwenye anga ya Israel, bila Israel kujua, kwamba Hezbollah ameweza ku mark kambi zote za jeshi, na vituo vya makombora ndani ya Israel! Na, Israel amesbindwa kuzuia!
Swali huu uwezo, wa Hezbollah ulikuwa wapi wakati Hamas inapigwa? Kwanini hakuwasaidia wa Arab wenzie? Kuwaonyesha target za ku piga!?
Pili tunajua Hezbollah na Hamas bwana wao ni Iran, mbona Iran assets zao,kibao zimepigwa na ha kuweza kujibu kwanini ye ye Hana huu uwezo, ambao wanafunzi, wake wanao?
Hili ni game tu linachezwa, na CIA, Mossad, kuna agents wako ndani ya Hezbollah wanafanya kazi, na Mossad, ndio wanapewa hz mambo, Hezbollah anashangilia, anatafutiwa sababu tu
Unaangalia sana movies kijana ,hapo ubongo wako umetafuta majibu ya kukupa furaha wewe maana ukweli huutaki
 
Kwani mazayuni hawakumbuki walivyoingia 2006 kiliwakumba nini? kama huelewi, walitandikwa mpaka wakasalimu amri. h

Kqwa kukujuza tu, Lebanon mpaka basha wake zayuni, mmarekani alitoka mbio kwa kombora moja tu, pigo kali pigo takatifu mwaka 1983.

Ghaza kaingizwa kwa nguvu, ndipo alikuwa anatakiwa afike, akaingia kichwa kichwa, iliyobaki anauwa watoyto na wanawake tu, wakijidai kujitokeza wanabamizwa kila kukicha.

Kama huelewi kinachoendelea Ghaza, jonee:


View: https://youtu.be/iusXy8dyC0Q?si=_dBPh5RqAZ-v6_Si

Yaani mama mzima na uzima wako unatumia lugha ya kihuni ndio tabu ya nyie wanawake wa kiswahili hata uwe na miaka 70 lakini huwezi kuacha lugha za kihuni.😧😧😧
 
Unaponijuza pia elewa kuwa kite do cha Kupigiwa Wanawake na Watoto kama mzee wa familia maana yake umeshindwa, kama kweli hilo jeshi lipo silitoke front waache kutumia human sheild
Hawana jeshi Palestina, hao ni vijana wadogo wanaojikusanya na kuwahenyesha madhalimu wenzio.
 
Mpaa sa ivi wanashauriana na US na UK na France lakini kila mmoja anaogopa moto utakao waka.

Iran, Afghanistan, Iraq, wanasema wataingia hi vita kama hao wakingia.

Iran anamuambia US kama Israel ni mwamba mwachie apigane na Hezbullah sisi wengine tubaki tunatazama nani mshindi 😄
naweka alama apa nitarudi mkianza free lebanon wanawake wazee na watoto nk
 
Yaani mama mzima na uzima wako unatumia lugha ya kihuni ndio tabu ya nyie wanawake wa kiswahili hata uwe na miaka 70 lakini huwezi kuacha lugha za kihuni.😧😧😧
Lugha ya kihuni ndiyo ipi hiyo, nukuu. Au kijana huelewi Kiswahili?
 
Somo vizuri ulichoandika, hata mimi ni mzee tu kama wewe ila siwezi kutumia maneno ya kihuni namna hiyo.
Sijaliona neno la kihuni, yote hayo ni fikra zako tu. Hata "kichwa" na "ndogo" ni maneno y kawaida lakini ukiwa na kifra potofu yanaweza kuwa ni matusi.

Huwa sikisii.
 
Back
Top Bottom