LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Mwisho utaletwa na uzembe wa Mwanadamu kwenye Climate change.
Maandiko yanasema wanadamu watajiangamiza wenyewe !

Climate change + Nuclear weapons = Dunia kushney 🙏🙏
 


Watafutwa hawa wa Palestina, mwisho wao utakuwa mbaya zaidi, ilq hii itampa pumzi Russia, Ukraine atatoswa si mda.
 
UPDATE: Active fighting continues along the Gaza border with Hamas militants still holding Israeli territory
 
Watafutwa hawa wa Palestina, mwisho wao utakuwa mbaya zaidi, ilq hii itampa pumzi Russia, Ukraine atatoswa si mda.
Muwe mnatunza akiba ya maneno. Unahisi wapalestina na Hao Hizbolah wao hawakuwi eeenh, unahisi wapalestina wa 1970 ndio Hawa wa leo?
 
Maandiko yanasema wanadamu watajiangamiza wenyewe !

Climate change + Nuclear weapons = Dunia kushney 🙏🙏
Maandiko bila research ndio tatizo kubwa la Mwanadamu.

Science ina majibu mengi so far kuliko so called maandiko matakatifu.

Kama kutakuwa na Mwisho basi ni Overpopulation na uharibifu wa mazingira
 
Neno La Mungu halijawai kubadilika hata kama Israel watashindwa itakua ni kwa Muda tu
Acha kulariri visivyokaririka jamaa

Hilo neno la Mungu la dini gani? Hao waisraeli kila siku wanawachukia wakristu kama nini, acheni kujipendekeza waisraeli hawawatakii!
 
Wasije wakasema hatukuwaambia. Israel haina utani pale inapoguswa makalio.

Soon kuna watu wataomba poo.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Wale tuliosomea Cuba. Tunaelewa kitakachotokea apo anakamatwa mtu na family yake anaanza kuuliwa mtoto anafata mume alafu was mwisho Mama, ili machungu wayasikie vizuri. Mpaka dunia itawaita watu was haki za binadamu wawaombeee msamaha. Anakamatwa mtu anaingizwa kwy tanuuu la Moto ndugu zake wakishuhudia na dunia ikishuhudia alafu watu was haki za binadamu wataombaa wawasamehe
 
Nimacho amini hizi jamii mbili Wazungu na Waarabu wata endelea kuishi maisha ya raha sana kwa sababu wametengeneza waafusi kupitia dini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…