Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Maroketi yaliwashughulisha wayahudi kumbe jamaa wanaingia kwa mguu mpakani, hayo mengine ni maneno tu mkuu hali ni mbaya huko, yale majengo ambayo myahudi anafanya airstrikes mengi hayana watu, nadhani wamejipanga kuliko tunavyoongea hapa.Nitukio baya sana ila lilikuwa la maroketi. Kweli israeli hawajawahi kuuliwa kwa kiwango hicho hivyo ghadhabu itakayo wakuta mujehdini hawa watageuzwa majivu.
Hiyo imesababishwa na Katibu Mkuu wa sasa. He is not active enough.Hilo baraza siku hizi limekuwa kama mikutano ya AU
Shabiki maandazi kutoka kwa mwamposa , acha wahangaike, na wataendelea kuteseka maisha yao yote hawationa amani kila siku maisha yao itakuwa ni kupigana na mgambo tu pamoja na gharama kubwa wanazotumia kwenye silaha kwa kupewa misaada na wazungu wenzao ila mungu atasimama na haki ,
Hahahah hii habari kwa umri wangu imekuwa ya majaabu sana, hawa mgambo wamepata wapi guts za kuingia mpaka ndani ya israel? yaani hivi sasa wanaoperate 10kms tu kutoka west bank, na wanajisifu wamepeleka supply ya askari wengine na wale wa mwanzo wamerudi kupumzika.Ila wao jew akifa mmoja wanaona wamepoteza sana ila leo balaa kubwa limetokea mpaka big news Tatu zinatofautiana kwa takwimu sky news, BBC na Al Jazeera wanatoa takwimu tofauti tofauti
Ila Habari zingine ziko sawa kwa takwimu kama tetemeko la Afghanistan lililouwa watu 2053 kila news iko sawa
Huyo aliuwa kwa furaha zake tu zilizidi kifani akaona aongeze idadi na yeye
Wameomba msaada sana kuwa wanaonewa lakini majirani wameingiza pamba masikioni kwa kuogopa maslahi yao na westernersHahahah hii habari kwa umri wangu imekuwa ya majaabu sana, hawa mgambo wamepata wapi guts za kuingia mpaka ndani ya israel? yaani hivi sasa wanaoperate 10kms tu kutoka west bank, na wanajisifu wamepeleka supply ya askari wengine na wale wa mwanzo wamerudi kupumzika.
Na itakuwaje kama wataita familia zao zije kuishi hapo ambapo wanasema ni kwao walikofukuzwa na Israel kimabavuWaendelee kuyashikilia tu, siku watakaporudishwa nyuma ikiwa watabahatika, kama hawatauawa, watakuta nyumbani kumekuwa magofu.
Yule Dada wa Jazeera Gaza jana Ghorofa lilishushwa nyuma yake akapanick😁 akaanza kulia.Al Jazeera
Kwa mujibu wa bbc sasa hivi, wanafika wayahud 200 au zaidi waliouliwa, Hamas wanasema hao ni askari watupu
Mababu they are dead , they do not exist.Hahahah[emoji23][emoji23]Ni bora hata hayo maombi yako ungekuwa unayaelekeza kwa mababu zako kuliko kuombea watu washenzi kama hao waabuduo miungu kama Baal View attachment 2775557
Una uhakika Gani, they serve Baals?Hahahah[emoji23][emoji23]Ni bora hata hayo maombi yako ungekuwa unayaelekeza kwa mababu zako kuliko kuombea watu washenzi kama hao waabuduo miungu kama Baal View attachment 2775557
It's now 600+ mama.Kwa mujibu wa bbc sasa hivi, wanafika wayahud 200 au zaidi waliouliwa, Hamas wanasema hao ni askari watupu
Hahaahah mstari wa mwisho nimecheka sana, mpaka kesho tutaskia mengi lakini kwa walivyo na propaganda naona hali ni mbaya kuliko hata wanavyotusimulia.Wameomba msaada sana kuwa wqnaonewa lakini majirani wqmeingiza pamba masikioni kwa kuogopa maslahi yao na westerners
Ila wamejipanga na siri haikutoka mpaka wameshambulia
Imagine pamoja na kuwa na umakini wote wa wayahudi lakini kama Mungu kaandika siku yako ya kufa basi itakuja tu
Tulizoea kusikia wayahudi wawili au watatu wameuwawa na huku wao wakienda kuuwa civilians
Ila hii ya 600 kuuwawa lazima Dunia ishangae na Hamas wamewabana papaya haswa
Vita ni vita tu na mauwaji lazima ila hii kiboko
Naona mpaka wastaafu wanaotwa leo wapigane
Kwa mara ya kwanza imewekwa hali ya hatari
Waache wasikie maumivu na wengi wao mashoga kupigani ni kazi sana maana wanawaza makeups 💄
Machapisho ya wasabato na waislam lini lini yakawa machapicho! ? Machapisho yaliyo fungamana na misimamo ya dini ni machapisho hayo?Mkuu wacha kututia watu na akili zetu kwenye upumbavu, nyama ya nguruwe imeharamishwa sambamba na pombe na kamari n.k, na wala sio siri nyama ya nguruwe ina madhara mengi yaliyothibitishwa na machapisho mengi ya kisayansi yameandikwa.
Wamewaandaa na raia pia? Au wanasema kujiandaa wao kijehi?Tumejitayarisha kwa muda mrefu na tupo tayari kwa lolote - Hamas.
Watavuna Walicho panda Muda utasema[emoji24][emoji24][emoji24]Msemo kama huo ilionekana ni kama ndoto ukiwalinganisha wapiganaji wa Hamas na jeshi linalosifika duniani la Israel.
Kwa sasa huo ndio ukweli ulivyo kwani zaidi ya masaa 24 bado wapalestina wakiongozwa na Hamas wameyashikilia maeneo ya kusini ya Israel wakiendelea kuyatetea yasirudi mikononi mwa taifa hilo kwa mara nyengine.