Hao sio Israel halisi ni wakumbambikizwa watachapika sana.
Mungu huyo hayupo.Safari hii Gaza inarudi kwa watoto wa Yakobo. Mungu ibariki Israel, walinde watoto wa Yakobo.
Siyo Kweli Hiyo Aridhi ni ya Israel tangu enzi!! History inaanza hapa baada ya Ibrahim kuambiwa na Mungu Toka kwenye Nchi ya Baba ako soma hapaSi kweli mkuu, yaaqub mwenyewe ambaye ndio israeli alikaribishwa na waarabu wa kanaan hapo palestine na mmoja wa wake zake ni mkanaani, hawa waarabu ndio wenyeji wa mahali hapo tangu kale.
Na ukumbuke hiyo ni ardhi takatifu, mpaka walipoandikiwa kuingia hapo kutoka misri utumwani miaka zaidi ya 400 toka kufa kwa yuusuf amani iwe juu yake, na walikataa.
So kwa asili wakanaani wametangulia hapo kabla yaaqub baba wa waisraeli hajafikiriwa kuzaliwa.
Utaukimbia Huu Uzi!Haya niwaulizeni mliokua mnashabikia kuwa eti kuwa Gaza itageuzwa majivu na wapalestina wanaenda kufutwa mko wapi?Yashapita masaa 48 sasa
Ni kipi Israel wameweza kufanya cha maana?
Taifa teule la Mchongo haya uko wapi usuperpower?
Tuliwaambia Israel sio chochote wala lolote mkabisha
Waisrael karibia 1000 washauawa sasahivi wanatapatapa kupiga majengo na open space tu??
Hawa ndo wale mnasema wangekua na ubavu wa kuishambulia Iran au kupigana na Hezbollah?
Taifa linalopewa misaada ya hali na mali linachakazwa na vitoto ya Hamas ambao hata 3000 hawafiki
Ndo maana Snowden alisema Israel sio lolote bali linakuzwa kwa propaganda tu
Mambo mengine ni fedheha tu na vichekesho imagine kamanda wa jeshi komandoo nzima anadakwa kizembe hivi na Hamas[emoji1313][emoji1313]
Mko wapi mliokua mnasema Hamas na Palestine inaenda kufutwa??View attachment 2776673
Wapiganaji wamo ndani ya raia, na wala hawana uniforms.Ukiona wanakufa, hao ndio wapiganaji wenyewe.Wanauwa watoto na raia badala ya wanamgambo hii ni hatari.
Hata mussa amani iwe juu yake ndio kazi aliyopewa kuwapeleka katika ardhi hiyo na walikataa mpaka wakapata laana ya kuzurura jangwani miaka 40, lakini wakati wote huo wakanaani walikuwepo.Siyo Kweli Hiyo Aridhi ni ya Israel tangu enzi!! History inaanza hapa baada ya Ibrahim kuambiwa na Mungu Toka kwenye Nchi ya Baba ako soma hapa
Mwanzo 12 : 1 Bwana akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha; ambapo inaonyesha Ibrahim anatoka kwenye Nchi ya Baba yake anaenda mpaka nchi ya Kanani ambayo ndo Israel Sasa.
Soma hapa
Mwanzo 12 : 5 Abramu akamchukua Sarai mkewe, na Lutu mwana wa nduguye, na vitu vyao vyote walivyokuwa wamejipatia na hao watu waliowapata huko Harani, wakatoka ili kwenda nchi ya Kanaani; nao wakaingia katika nchi ya Kanaani.
Ukiendelea kusoma hiyo sura inaonyesha Mungu anaapa Kuwa atawapa hiyo na atawafanya Kuwa Taifa na kulibariki uzao.
Baada ya hapo Ibrahim akamzaa Isaka naye akamzaa Yakobo ambaye alizaa watoto 12 ambazo ndo kabila 12 za Israel
Kwaiy kupitia hayo mandiko hiyo Aridhi ni ya Israel ambayo Mungu aliwapa ni aridhi ya mababu na Mabibi zao na makaburi yapo.
Badae wakaenda utumwani Misri lakin hata hivyo Mungu aliwarudisha katika Nchi yao kupitia Musa. Vizazi vikasonga Baada ya hapo wakaja wakasambaratishwa tena tawala za Kirumi na hapo ndo wapalestina walijipatia nafasi ya kujichukulia aridhi lakin Mungu aliwakusanya tena ni story ndefu sana.
Ukaja utawala wa Urusi Kipindi hicho kukiwa Choko Choko ya Urusi na Ulaya wakauawa wengi katka Karne ya 19 wakasambaratishwa tena lakin Mungu akawarudisha kupitia mashirika yao Zionism.
Mwaka 1948 Taifa lao likaundwa na Aridhi yao wakairudisha tena .
Israel ni Taifa kubwa Mungu aliapa kwao kua atawabariki, kwaiy hata kama warabu watumie Nguvu kubwa uwezo wa Kuliondoa hilo Taifa haupo hao Jamaa Wana Mbinu za Kivita maana vita vimepiganwa kwao tangu Kuanzishwa kwao ni Vita tu mpaka Leo kwaiy kwao walisha Zoea na ni Jambo la kawaida.
Angalia kwa jicho lingine mkuu? Nina uhakika dogo ana backup nyuma yake haya mambo hayatokei tu...Yamepangwa YakapangikaHapana jiwe litasalia juu ya jiwe jingine nakwambia. Safari hii HAMAS wamechemka sana. Wanaumiza tu watoto kwa kufanya maamuzi ya kizembe kama haya.
Ukweli gani ww shoga yaani mtu aje nyumbani kwako akunyanganye nyumba yako alafu ufurahie kisa ana kupa chakula.Mi nakwambia ukweli unakuja na ghadhabu, kutokujua kitu haimaanishi unachodhani ndicho. Jifunze uishi kwa amani. Hizi hasira si uende ukasaidie hamas vita tu.
Hahaha!!! Hayo ni Mawazo yako tu lakini Ukweli unabaki pale pale. Toa tuone uelewa wako tuone Mkuu. Kuliko kupinga Alfu hutoi hoja yakoKivyovyote inaonyesha una ulewa mdogo kuhusu siasa za middle eastern na uhusiano na dini ya uislamu pamoja na Uislamu kwa ujumla.
Majibu yako kwa huyo jamaa ni ushahidi tosha ndio maana nikakusihi pendelea kusoma na kufuatilia mambo ili upate uhakika wa mambo.
Wayahudi Gani! unaowazungumzia wew Kama ndio hawa feki wa kizungu ambao sio uzao wa Ibrahim basi niseme unaota, maana wayahudi asilia ni wale wa Ethiopia ambao wamekuwa wakifanyiwa figisu nyingi na wayahudi feki wa kizungu mfano kuondolewa vizazi.Siyo Kweli Hiyo Aridhi ni ya Israel tangu enzi!! History inaanza hapa baada ya Ibrahim kuambiwa na Mungu Toka kwenye Nchi ya Baba ako soma hapa
Mwanzo 12 : 1 Bwana akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha; ambapo inaonyesha Ibrahim anatoka kwenye Nchi ya Baba yake anaenda mpaka nchi ya Kanani ambayo ndo Israel Sasa.
Soma hapa
Mwanzo 12 : 5 Abramu akamchukua Sarai mkewe, na Lutu mwana wa nduguye, na vitu vyao vyote walivyokuwa wamejipatia na hao watu waliowapata huko Harani, wakatoka ili kwenda nchi ya Kanaani; nao wakaingia katika nchi ya Kanaani.
Ukiendelea kusoma hiyo sura inaonyesha Mungu anaapa Kuwa atawapa hiyo na atawafanya Kuwa Taifa na kulibariki uzao.
Baada ya hapo Ibrahim akamzaa Isaka naye akamzaa Yakobo ambaye alizaa watoto 12 ambazo ndo kabila 12 za Israel
Kwaiy kupitia hayo mandiko hiyo Aridhi ni ya Israel ambayo Mungu aliwapa ni aridhi ya mababu na Mabibi zao na makaburi yapo.
Badae wakaenda utumwani Misri lakin hata hivyo Mungu aliwarudisha katika Nchi yao kupitia Musa. Vizazi vikasonga Baada ya hapo wakaja wakasambaratishwa tena tawala za Kirumi na hapo ndo wapalestina walijipatia nafasi ya kujichukulia aridhi lakin Mungu aliwakusanya tena ni story ndefu sana.
Ukaja utawala wa Urusi Kipindi hicho kukiwa Choko Choko ya Urusi na Ulaya wakauawa wengi katka Karne ya 19 wakasambaratishwa tena lakin Mungu akawarudisha kupitia mashirika yao Zionism.
Mwaka 1948 Taifa lao likaundwa na Aridhi yao wakairudisha tena .
Israel ni Taifa kubwa Mungu aliapa kwao kua atawabariki, kwaiy hata kama warabu watumie Nguvu kubwa uwezo wa Kuliondoa hilo Taifa haupo hao Jamaa Wana Mbinu za Kivita maana vita vimepiganwa kwao tangu Kuanzishwa kwao ni Vita tu mpaka Leo kwaiy kwao walisha Zoea na ni Jambo la kawaida.
Muelezee CDO nini asije akadhania ni Community Development Officer, hapo unamaanisha Commando.Note : Mwenye uwezo wa kumtuliza CDO ni CDO mwenzake hivyo mpaka hilo limetokea hawajafanya kwa bahati mbaya.
Allah alizuia tetemeko kule afghan?kama mnamuona allah hajiwezi na kumsaidia kudhuru,kuua ni nyie.Eti hana mshirika huko kumsaidia kuua kwa jina lake huo kama nyie ni washirika wake?Mungu huyo hayupo.
Angekuwepo, Na ingekuwa kweli Israel ni Taifa lake teule, Ange zuia Roketi za makombora ya wapalestina zisiwafikie waisraeli.
Lakini Nothing happened.
Waisraeli hao wanakufa kama kumbikumbi.
Sikiliza kaka Mqundu...Wewe pimbi wanapigania vita wapi? Yawezekanaje nchi ikaruhusu mamlaka isiyo yake kufanya operation katika area of jurisdiction yake.