zous
JF-Expert Member
- Sep 25, 2017
- 3,152
- 5,854
Ndio nashangaa cku ya pili hana silaha ikipigwa week itakuaje na hapo anapigana na kikundi tuh likiingia jeshi la iran itakuaje?Acha kujifariji trip hii Israel kaya kanyaga kasha anza kuomba msaada wa silaha kutoka kwa shoga mkuu wa dunia wakati vita ndo ina siku mbili tun
Kuna vitu vingi africa tulipotoshwa juu ya uwezo wa hawa watu