LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Kule drone moja tu, inazamisha mzigo wote wamatrillioni.

Nimeona vifaru vya israel vimejipanga wazi kama wanafunzi wa shule ya msingi parade. Warusi wanavipiga majungu wanasema ingekuwa ni Ukraine hapo sekunde tu, vyote vingekuwa scrapper, vita vya drone inabisi uwe mtaalam wa kuficha silaha zako. Ukiziweka hadharanzi zinageuzwa scraper
Nguvu uliokwisha tumia hapa bibie, ungeielekeza kwenye kutatua changamoto za nchi yako nafikiri saiz tungeshapata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
 
IDF Paratroopers Brigade troops, including senior officers, are working to clear Sderot from any suspected Palestinian terrorists who infiltrated into Israel over the past two days, the military says.
20231009_093602.jpg
20231009_093607.jpg
20231009_093611.jpg
20231009_093616.jpg
 
Hatujaambiwa kuwa wapalestina pale sio kwao na hatujaambiwa wapalestina walitokea wapi?
Mmiliki halali wa eneo Hilo ni palestina, hata mataifa makubwa duniani Kama US wanalijua Hilo, lakin kwakua wanaoishikilia US ni watu wenye nguvu walionyuma ya pazia ndio, waliowapeleka hawa wayahudi feki wa kizungu eneo hilo napia mwanzo walitaka wawapeleke Uganda cjui ikawaje wakagoma.

Lakini nachojua hii ilikua danganya toto maana lengo maalumu la kupelekwa hawa wayahudi feki wa kizungu hapo Israeli ni kuisadia marekani chini ya ma elites ili kuiharibu mashariki ya kati mpaka kupatikane matokeo chanya wanayotaka wakubwa wa dunia hii.
Roman Empire walichukua eneo la Wayahudi wakawatawala likawa ni jimbo la Roman Empire

Wayahudi walijaribu kuanzisha vita kutaka kuwaondoa Waroma walishindwa.

Kwenye vita hivyo Wayahudi waliuawa kikatili wengine waliuzwa kama watumwa na wengi walikimbia eneo hilo

Kwa hasira Waroma walichotaka ni kuondoa kabisa isiwepo historia ya watu wanaoitwa Wayahudi katika eneo hilo.

●Kwanza wakaanzisha jiji jipya lilioitwa Aelia Capitolina, jiji ambao kwa karne 2 hakuna Myahudi aliruhusiwa kuishi au hata kuthubutu kuingia

●Pili walichofanya Roman Empire wakaliita lile eneo la Wayahudi Syria Palaestina au Roman Palaestina.

Jina hilo likaendelea kwa miaka mingi mpaka sasa likafahamika kama Palestina

Miaka mingi baadaye Waislamu waliliteka eneo hilo. Wakaaji wa hapo wakaadopt dini ya Kiislamu mpaka leo tunaona kizazi cha Wapalestina wengi ni Waislamu

NB: Mateso ya Waroma yaliwafanya Wayahudi wasalimu amri na wengi waliondoka eneo lao kwenda Diaspora. Ni wachache sana waliobaki nao wakawa ni jamii ambayo ni minority

Kwa historia hiyo fupi ni nani mmiliki halali wa eneo hilo?
 
Mara nyengine katika vita kuna vichekesho sana.Nimewahi kuona bondia kapigwa kaanguka chini kizunguzungu tele halafu anafanya kama anainuka akapigane tena.Muamuzi wa pambano ndiye anayejua huyu mteja wangu akubali tu.
Wanasiasa nao wa mataifa makubwa na madogo wanapopata upinzani au kushambuliwa hujaribu kuwapaka matope wapinzani wao mbele ya macho ya wananchi.
Katika mashambuzi ya juzi Jumamosi yaliyofanywa na Hamas na wenzao wa Palestina kuna watu wanasema mashambulio yale ni ya woga. Eti wanasema mashambulio hayo yamefanyika rena bila wapalestina kuchokozwa.
Sijui woga huo uko wapi kwa kikundi kidogo cha wapiganaji kwanza kubomoa kituo kizima cha mpaka wa Erez halafu kusonga mbele kwa piki piki tu ndani ya nchi inayosifika kwa walinzi wakali.
Woga huo sijui ukoje kwa kikundi kidogo kuteka kambi nzima ya jeshi la Israel na kuua askari halafu kuteka vifaru na magari ya deraya
Woga huo umekaaje kwa wapiganaji wachache kubeba askari na raia kama mateka kurudi nao Gaza
Kama ni shambulia na mtu muoga mbona America anapeleka meli za kivita kadhaa mpakani na Israel ili kuilinda nchi hiyo kutokana na hofu ya wapiganaji hao wachache
Wewe ndie mjinga wa mwisho, walio uawa wengi walikuwa kwenye tamasha la muziki watu zaidi 300 walikufa pale on spot, watu wamevamiwa kwao watoto, wazee, wanawake unashangilia si ndio?

Wamerudi nao Gaza, kwani Gaza ni mbali na Israel? kwamba waisrael hawatafika Gaza? sasa Israel inaenda kuchukua Gaza shida kwa nani Iran au wewe?

Shida ni raia wa palestina hasiye kuwa na hatia, kila kitu kwao hadi sasa ishaharibika hawana cha kushika tena, magaidi wanaotumika kwa maslahi ya Iran mnacheka et
 
Hamas publishes footage showing barrages of rockets launched from the Gaza Strip toward the Israeli cities of Tel Aviv and Ashkelon last night.
 
Warabu ni wajinga kumbuka UN 1947s walitaka kugawa nchi hiyo iwe nchi mbili Israel na Palestina, Israel walikaribisha mpango huo ila sasa muarabu akisapotiwa na muarabu wa mbali alikataa.

For now hata huo mpango haupo tena, kifupi no nchi ya Palestina, ebu tuone hatua zinazoenda kuchukuliwa na makomandoo wa pande zote mbili ok
Ila huenda ilikuwa ngumu sana kwao kukubali hilo
Imagine na Msikiti mkubwa wa Al Agsa ambao waislam wanasali na upande mwingine wayahudi hapo ndio kuna tatizo kila leo
Ugomvi huu hautakwisha na kosa lao Palestine pia kuuza ardhi zao kwa wayahidi na sasa wanachukua kwa nguvu kabisa na kuwauwa pia

Mkuu mimi nimepita sana Middle Eastern karibu nchi zote na zingine nimeishi na kufanya kazi miaka ya 80
Nilienda siku moja Amman, Jordan na kukaa mda huko ni mji msafi katika miji zaidi ya 30 niliyoiona duniani
Nilichoshangaa ni kukuta kuna maduka chini na juu gorofani, mpaka migahawa ipo juu

Nilimuuliza mzee mmoja local vipi mbona mpaka hotels za chakula zipo juu?

Akasema mwanangu umeona Palestine walivyouza ardhi yao? Nikasema ndio, akasema hatutaki yatokee na kwetu

Kwa hiyo ardhi yote ni ya kwetu wazawa na ukiona mtu anaishi au ana biashara juu ya nyumba zetu basi ujue hao ni wa kuja wasije wakatuzidi akili

Nilishangaa sana kwa maamuzi yao hayo lakini ni akili pia

Sijui itakuwaje hii vita ya israel
 
Unaombeaje amani nchi inayoua wengine?nchi inapinga vitabu vyote vya dini
Imeua wengine?
Si hamas ndo wamewavamia wenzao au ww una maana gani?
Iko wazi wamechokozwa , unategemea asijibu?

Kuhusu kupinga vitabu hiyo haihusiani na kuomba kuwe na amani!
Kila mmoja ana uhuru wa kuchagua na kuishi anavyotaka ilimradi anafuata Sheria za nchi.
 
Nimeshangaa yaani mpaka reserve na wastaafu wameibuliwa na hapo wanapambana na kikundi kidogo cha Hamas
Hujui historia bibie, Israel kila siku hipo vitani na Arab countries ok so ukiona hivyo ni maandalizi ya uhakika kujiweka tayari kwa lolote.

Mimi niombe Dunia isimame na wanawake, watoto na wazee wa Gaza Israel wanapanga na wamepanga kitu kibaya Gaza.

Hamas sijui Hisbollah hawana uwezo wowote kuwazuia Israel kuingia Gaza, wao kazi yao ni kutumia tu kama subwoofer ya Mayatollah
 
Et na ww unajihita GT humu, unafikiri kwa mawazo yako haya utafanikiwa japo hata kurejesha inchi moja ya ardhi iliokwisha kuchukuliwa na Israel?

Tunasubiri kuona kati ya Iran na Israel nani ana majeshi waoga, wamevizia raia wameua wamebaka wameteka wazee, watoto, wanawake sasa wamefikia wapi?

Ardhi tayari imerudi? au ndo Gaza inaenda kunyakuliwa na wanaume, mimi na wewe tusubiri tuone huo uoga usemao ok
We punguza mahaba na hasira hizo media sio kila kitu wanachosema ni kweli alafu huo ukatil kila cku wapalestina wanafanyiwa mbona hukutoa hizi kauli
Unaitetea israel kisa udini afu mbaya zaid wayahudi sio wakristo
 
Hujui historia bibie, Israel kila siku hipo vitani na Arab countries ok so ukiona hivyo ni maandalizi ya uhakika kujiweka tayari kwa lolote.

Mimi niombe Dunia isimame na wanawake, watoto na wazee wa Gaza Israel wanapanga na wamepanga kitu kibaya Gaza.

Hamas sijui Hisbollah hawana uwezo wowote kuwazuia Israel kuingia Gaza, wao kazi yao ni kutumia tu kama subwoofer ya Mayatollah
Yes uko sahihi,wanawake na watt wasaidiwe!
Mkuu naona wako Gaza wanafanya Yao,sio wanapanga tu...

Halafu Kuna watu humu wanatudanganya,eti hamas kundi dogo, wanafikiri hatufuatilii habari km nyuma Yao kina Hezbollah na wengine wapo...
 
Kuamua ile ardhi inayogombaniwa kati ya Israel na Palestina ni ya nani ni suala gumu kulitatua

Mwaka 70 A.D Waisraeli walitawanyika kutoka hapo wakati wa utawala wa Roma pakabaki hapana mmiliki (maandiko yanasema palibaki ukiwa)

Wapalestina wakaingia kwenye ardhi hiyo wakaanza kuishi hapo vizazi na vizazi

Miaka 2000 baadaye yaani 1948 Waisrael wanarudi kutwaa eneo hilo wakisema ardhi ni yao na kuanzisha taifa la Israel.

Ugomvi unatokea kati ya Israel na Palestina kila mmoja akidai ni eneo lake

Ikiwa wewe ungepewa kesi hii uisuluhishe ni nani ungempa umiliki halali wa eneo hilo?
Si kweli mkuu, yaaqub mwenyewe ambaye ndio israeli alikaribishwa na waarabu wa kanaan hapo palestine na mmoja wa wake zake ni mkanaani, hawa waarabu ndio wenyeji wa mahali hapo tangu kale.

Na ukumbuke hiyo ni ardhi takatifu, mpaka walipoandikiwa kuingia hapo kutoka misri utumwani miaka zaidi ya 400 toka kufa kwa yuusuf amani iwe juu yake, na walikataa.

So kwa asili wakanaani wametangulia hapo kabla yaaqub baba wa waisraeli hajafikiriwa kuzaliwa.
 
We punguza mahaba na hasira hizo media sio kila kitu wanachosema ni kweli alafu huo ukatil kila cku wapalestina wanafanyiwa mbona hukutoa hizi kauli
Unaitetea israel kisa udini afu mbaya zaid wayahudi sio wakristo
Israel Kuna dini tofauti km ilivyo mataifa mengine.
Dini ya kiyahudi, Muslim na ukristo nk
 
Kuamua ile ardhi inayogombaniwa kati ya Israel na Palestina ni ya nani ni suala gumu kulitatua

Mwaka 70 A.D Waisraeli walitawanyika kutoka hapo wakati wa utawala wa Roma pakabaki hapana mmiliki (maandiko yanasema palibaki ukiwa)

Wapalestina wakaingia kwenye ardhi hiyo wakaanza kuishi hapo vizazi na vizazi

Miaka 2000 baadaye yaani 1948 Waisrael wanarudi kutwaa eneo hilo wakisema ardhi ni yao na kuanzisha taifa la Israel.

Ugomvi unatokea kati ya Israel na Palestina kila mmoja akidai ni eneo lake

Ikiwa wewe ungepewa kesi hii uisuluhishe ni nani ungempa umiliki halali wa eneo hilo?
Je wapalestina walitokea wapi kuishi hapo?
 
Back
Top Bottom