LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Nasser Salah Al-Din Brigades Commander, Raafat Harb Hussein Abu Hilal, was killed earlier today in an IDF airstrike.
20231009_084526.jpg
 
Naona Israel wameamua kwenda kuichukua Gaza mazima-mazima
Yaani wewe umeongea. Yaani wametengeneza hayo makundi ya wavamizi wakawapa na mbinu za namna ya kuingia. Kibaya wakaruhusu mpaka watu wao wafe ili gaza yote iwe mikononi mwao. Ila ni intelijensia ya ajabu. Nashangaa wanaposema eti they were surprised ni uongo kabisa. Na you can see 4000 plus palestian dead ila huku ni almost 700, hapo inaonesha IDF wanafanya mass killing huku big watchers wanaangalia kwa raha
 
Zile meli za USA zilizosogezwa Sio kwa ajili ya magaidi ni kwa ajili ya taadhari mfano ikitokea nchi za kiarabu zikiinuka zote kuingia vitani.
Naiona Bei ya mafuta ikipaa lita itafika elf 10
Kwa hiyo unakataa kuwa Israel haijaomba msaada.
 
Kuamua ile ardhi inayogombaniwa kati ya Israel na Palestina ni ya nani ni suala gumu kulitatua

Mwaka 70 A.D Waisraeli walitawanyika kutoka hapo wakati wa utawala wa Roma pakabaki hapana mmiliki (maandiko yanasema palibaki ukiwa)

Wapalestina wakaingia kwenye ardhi hiyo wakaanza kuishi hapo vizazi na vizazi

Miaka 2000 baadaye yaani 1948 Waisrael wanarudi kutwaa eneo hilo wakisema ardhi ni yao na kuanzisha taifa la Israel.

Ugomvi unatokea kati ya Israel na Palestina kila mmoja akidai ni eneo lake

Ikiwa wewe ungepewa kesi hii uisuluhishe ni nani ungempa umiliki halali wa eneo hilo?
Ni kweli kimwili kabisa,kisiasa etc ni ngumu kuamua!
Lkn tukija kiimani hapa Ile ni kaanani!
Ndo maana tunasema hii vita haiwezi kuisha mpka Yesu anarudi!
 
Kwani Hamas hajaomba? Hujaona barua yao kwenda UN?

Hujaona video wakiomba nchi za Kiarabu ziunganike? Hujaona kiherehere cha Hezbollah zikianza mchakato wa kuwasaidia?

Vita ndiyo ilivyo, lazima uje pa kuegamia unapopigana.

Urusi pamoja na kuwa na idadi kubwa ya silaha, ilianza kuililia China na North Korea wapate kupewa silaha.

Tumia akili.
Yaani inapambana na kikundi cha wahuni ninacho miliki bunduki na viroketi unaomba msaada ndo itaweza kubambana na Iran?
 
Gaza inaungua.. siku ya pili ya mashambulizi ya Israel - hapakaliki.

View attachment 2776370

More than 500 Gaza targets hit overnight: Israeli army​

The Israeli army says it has attacked “more than 500 strategic targets” in the Gaza Strip overnight.
It said on social media platform X that fighter jets, helicopters and artillery forces took part in the strikes on the Islamic Jihad and Hamas targets.
Hata Israel hapakaliki wote sasa hivi wamejificha kwenye mahandaki.

Na mpaka sasa wamesha kufa 1000.
 
Yaani wewe umeongea. Yaani wametengeneza hayo makundi ya wavamizi wakawapa na mbinu za namna ya kuingia. Kibaya wakaruhusu mpaka watu wao wafe ili gaza yote iwe mikononi mwao. Ila ni intelijensia ya ajabu. Nashangaa wanaposema eti they were surprised ni uongo kabisa. Na you can see 4000 plus palestian dead ila huku ni almost 700, hapo inaonesha IDF wanafanya mass killing huku big watchers wanaangalia kwa raha
Kiukweli hata mi nashangaa kweli walivamiwa?
Kirahisi kabisa?
Anyway labda mi sijui mambo haya!
Though najua Israel wengi kufa sbb walivamiwa walipokuwa kwenye sherehe za sukott(mabanda).

Ngoja tuone mambo yanavyoenda
 
Usishangilie mkuu.Kikubwa ni kuombea amani irejee.

Nikukumbushe tu kwamba ninavyoandika meseji hii Kuna mamia ya wanafunzi kutoka Tanzania na wengine wanaofanya kazi kule.

Ko kama huwapendi Wa Israel ,fikiria kuhusu watanzania wenzako.
Unazungumziaje suala la Wapelestina kuteswa kwa miaka 75? Kwako wewe ilikuwa ni sherehe.
 
Braza hatutakaa kuwasaidia lolote palestina, na nikwambie palestina haipo eb cheki ramani ni mikoa miwili tu ndo zimebaki Gaza na West Bank tu

Israel wameuliwa watu wao, je unajua wanacho kipanga kufanya after this? je Hamas watakuwa na uwezo wa kuzuia Israel hisifanye chochote Gaza?

Acheni ushabiki maandazi, saidieni kuleta amani na sio kushangilia ujinga!!!!!
Dada una mqundu (inye) nzuri.
Unafanyaga mapenzi kinyume?
 
Mkuu kwa nini israel ipewe msaada wa kijeshi wakati haijatumia chochote bado na inapigana na vikundi vya kiraia tu. Nimesikia Biden anataka kumpa msaada wa kutosha. Au kuonyesha support tu.
bila msaada huyo chap wanamfuta kama hujui ilo bhc uko brainwashed
 
Kuamua ile ardhi inayogombaniwa kati ya Israel na Palestina ni ya nani ni suala gumu kulitatua

Mwaka 70 A.D Waisraeli walitawanyika kutoka hapo wakati wa utawala wa Roma pakabaki hapana mmiliki (maandiko yanasema palibaki ukiwa)

Wapalestina wakaingia kwenye ardhi hiyo wakaanza kuishi hapo vizazi na vizazi

Miaka 2000 baadaye yaani 1948 Waisrael wanarudi kutwaa eneo hilo wakisema ardhi ni yao na kuanzisha taifa la Israel.

Ugomvi unatokea kati ya Israel na Palestina kila mmoja akidai ni eneo lake

Ikiwa wewe ungepewa kesi hii uisuluhishe ni nani ungempa umiliki halali wa eneo hilo?
Mmiliki halali wa eneo Hilo ni palestina, hata mataifa makubwa duniani Kama US wanalijua Hilo, lakin kwakua wanaoishikilia US ni watu wenye nguvu walionyuma ya pazia ndio, waliowapeleka hawa wayahudi feki wa kizungu eneo hilo napia mwanzo walitaka wawapeleke Uganda cjui ikawaje wakagoma.

Lakini nachojua hii ilikua danganya toto maana lengo maalumu la kupelekwa hawa wayahudi feki wa kizungu hapo Israeli ni kuisadia marekani chini ya ma elites ili kuiharibu mashariki ya kati mpaka kupatikane matokeo chanya wanayotaka wakubwa wa dunia hii.
 
Akitakq Israel ashinde atafute sababu aishambulie iran na kuipotezea nguvu ya kusupport maadui zake.

Hapa anahangaika tu. Dunia nzima tumeona ameabika na hakuwa makini kulinda raia wake kwa haraka wakati wa kushambuliwa.

Anataka kuua raia wengi ili kurudisha matumaini kwa raia wake.
Mkuu iran unaichukuliaje?
 
Huwa tunaikuza sn israel hila bila misaada na mikopo hata mishahara ya wafanyakazi itawashinda sasa km battle na hamas wameomba msaada halafu ndio huwa wanataka kushambulia iran
Akili za CCM hizi jamani, mnaikuza Israel na nani? ebu tuwekee hapa GDP yao tulinganishe na yetu
 
Back
Top Bottom