LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
HABARI ZA MOJA KWA MOJA KUTOKA MEDANI YA KIVITA TEL AVIV NA GAZA PALESTINE

View attachment 2776340
Kombora likilipuka eneo la Gaza usiku wa jumapili

09 Oct 2023
Wakuu heshima kwenu.
Habari Za hivi punde kutoka uwanja wa kivita zinadokeza kuwa watu 700 wameuliwa upende wa Israeli huku watu 400 wakithibitika kuuliwa upande wa Palestine. Hospitali za mjini Gaza zimefurika maelefu ya majeruhi. Mpaka kufikia asubuhi ya Leo tayari zaidi ya wapalestina laki moja wamekimbia makazi yao.

KUTOKA TEHRAN HIVI LEO
Iran "haikuhusika" katika shambulio lililotekelezwa na wanamgambo wa Hamas kusini mwa Israel, ujumbe wake katika Umoja wa Mataifa umesema.

"Tunasimama kwa nguvu katika kuunga mkono Palestina; hata hivyo, hatuhusiki katika shambulio la Palestina, kwani linatekelezwa na Palestina yenyewe," ilisema katika taarifa ya Jumapili, kulingana na Reuters
Aache uoga, hii vita itafika hadi kwake safari hii.
 
HABARI ZA MOJA KWA MOJA KUTOKA MEDANI YA KIVITA TEL AVIV NA GAZA PALESTINE

View attachment 2776340
Kombora likilipuka eneo la Gaza usiku wa jumapili

09 Oct 2023
Wakuu heshima kwenu.
Habari Za hivi punde kutoka uwanja wa kivita zinadokeza kuwa watu 700 wameuliwa upende wa Israeli huku watu 400 wakithibitika kuuliwa upande wa Palestine. Hospitali za mjini Gaza zimefurika maelefu ya majeruhi. Mpaka kufikia asubuhi ya Leo tayari zaidi ya wapalestina laki moja wamekimbia makazi yao.

KUTOKA TEHRAN HIVI LEO
Iran "haikuhusika" katika shambulio lililotekelezwa na wanamgambo wa Hamas kusini mwa Israel, ujumbe wake katika Umoja wa Mataifa umesema.

"Tunasimama kwa nguvu katika kuunga mkono Palestina; hata hivyo, hatuhusiki katika shambulio la Palestina, kwani linatekelezwa na Palestina yenyewe," ilisema katika taarifa ya Jumapili, kulingana na Reuters
Upande wa Israel vifo vimesha fika 1000
 
Kuamua ile ardhi inayogombaniwa kati ya Israel na Palestina ni ya nani ni suala gumu kulitatua

Mwaka 70 A.D Waisraeli walitawanyika kutoka hapo wakati wa utawala wa Roma pakabaki hapana mmiliki (maandiko yanasema palibaki ukiwa)

Wapalestina wakaingia kwenye ardhi hiyo wakaanza kuishi hapo vizazi na vizazi

Miaka 2000 baadaye yaani 1948 Waisrael wanarudi kutwaa eneo hilo wakisema ardhi ni yao na kuanzisha taifa la Israel.

Ugomvi unatokea kati ya Israel na Palestina kila mmoja akidai ni eneo lake

Ikiwa wewe ungepewa kesi hii uisuluhishe ni nani ungempa umiliki halali wa eneo hilo?
Israel wawalaumu Roman Empire ,ni sawa sisi leo tuwaambie Wangoni warudi SA.
 
The U.S. Aircraft Carrier, USS Gerald R. Ford (CVN-78) as well as the other Ships in Carrier Strike Group 12 which includes Ticonderoga-Class Cruiser USS Normandy (CG-60), as well as Arleigh Burke-Class Destroyers USS Ramage (DDG-61), USS McFaul (DDG-74), and USS Thomas Hudner (DDG-116) are reportedly heading towards the Eastern Mediterranean in a “Show of Support” for Israel and to also assist with the possible Evacuation of U.S. Citizens from the Country if the need arises.
🤣🤣🤣Marekani kwa mikwara tu hawajambo, kwanini hiyo aircraft carrier wasiipeleke black sea kwanda kuongeza nguvu kwa Ukraine
 
Mara nyengine katika vita kuna vichekesho sana.Nimewahi kuona bondia kapigwa kaanguka chini kizunguzungu tele halafu anafanya kama anainuka akapigane tena.Muamuzi wa pambano ndiye anayejua huyu mteja wangu akubali tu.
Wanasiasa nao wa mataifa makubwa na madogo wanapopata upinzani au kushambuliwa hujaribu kuwapaka matope wapinzani wao mbele ya macho ya wananchi.
Katika mashambuzi ya juzi Jumamosi yaliyofanywa na Hamas na wenzao wa Palestina kuna watu wanasema mashambulio yale ni ya woga. Eti wanasema mashambulio hayo yamefanyika rena bila wapalestina kuchokozwa.
Sijui woga huo uko wapi kwa kikundi kidogo cha wapiganaji kwanza kubomoa kituo kizima cha mpaka wa Erez halafu kusonga mbele kwa piki piki tu ndani ya nchi inayosifika kwa walinzi wakali.
Woga huo sijui ukoje kwa kikundi kidogo kuteka kambi nzima ya jeshi la Israel na kuua askari halafu kuteka vifaru na magari ya deraya
Woga huo umekaaje kwa wapiganaji wachache kubeba askari na raia kama mateka kurudi nao Gaza
Kama ni shambulia na mtu muoga mbona America anapeleka meli za kivita kadhaa mpakani na Israel ili kuilinda nchi hiyo kutokana na hofu ya wapiganaji hao wachache
 
Kuamua ile ardhi inayogombaniwa kati ya Israel na Palestina ni ya nani ni suala gumu kulitatua

Mwaka 70 A.D Waisraeli walitawanyika kutoka hapo wakati wa utawala wa Roma pakabaki hapana mmiliki (maandiko yanasema palibaki ukiwa)

Wapalestina wakaingia kwenye ardhi hiyo wakaanza kuishi hapo vizazi na vizazi

Miaka 2000 baadaye yaani 1948 Waisrael wanarudi kutwaa eneo hilo wakisema ardhi ni yao na kuanzisha taifa la Israel.

Ugomvi unatokea kati ya Israel na Palestina kila mmoja akidai ni eneo lake

Ikiwa wewe ungepewa kesi hii uisuluhishe ni nani ungempa umiliki halali wa eneo hilo?
Hatujaambiwa kuwa wapalestina pale sio kwao na hatujaambiwa wapalestina walitokea wapi? Lakini tunaambiwa wa Israel wamerudi ktk ardhi yao ya ahadi. Nani aliwapa iyo ahadi na kwa ushaidi gani kama sio ni siasa tu?
 
Mara nyengine katika vita kuna vichekesho sana.Nimewahi kuona bondia kapigwa kaanguka chini kizunguzungu tele halafu anafanya kama anainuka akapigane tena.Muamuzi wa pambano ndiye anayejua huyu mteja wangu akubali tu.
Wanasiasa nao wa mataifa makubwa na madogo wanapopata upinzani au kushambuliwa hujaribu kuwapaka matope wapinzani wao mbele ya macho ya wananchi.
Katika mashambuzi ya juzi Jumamosi yaliyofanywa na Hamas na wenzao wa Palestina kuna watu wanasema mashambulio yale ni ya woga.
Sijui woga huo uko wapi kwa kikundi kidogo cha wapiganaji kwanza kubomoa kituo kizima cha mpaka wa Erez
Woga huo sijui ukoje kwa kikundi kidogo kuteka kambi nzima ya jeshi la Israel na kuua askari halafu kuteka vifaru na magari ya deraya
Woga huo umekaaje kwa wapiganaji wachache kubeba askari na abiria kama mateka kurudi nao Gaza
Kama ni shambulia na mtu muoga mbona America anapeleka meli za kivita kadhaa mpakani na Israel ili kuilinda nchi hiyo kutokana na hofu ya wapiganaji hao wachache
Usichekelee vita wewe!
 
Upande wa Israel vifo vimesha fika 1000
Lazima vitazidi. Hao wanaongezeka ni wale majeruhi zaidi ya 2,000, maana kuna wale waliokutwa kwenye tamasha la muziki kule vilimani mpakani, on the spot walidondoshwa watu zaidi ya 200, majeruhi wakawa wengi zaidi.
Ilikua ni siku ya mapumziko, watu walikua wamepumzika majumbani na familia zao, wengine wakiwa wametembeleana, mitaa ikiwa kimya, wakajikuta wanapigwa ambushi na kuuawa na wengine kujeruhiwa vibaya. So death toll lazima iongezeke.
 
Israel wawalaumu Roman Empire ,ni sawa sisi leo tuwaambie Wangoni warudi SA.
Sawa

Tukizama kiimani sana suala la Waisrael kuondolewa hapo na Roman Empire lilikuwa limeshapangwa na Mungu kwamba eneo hilo libaki ukiwa kama adhabu kwa Waisraeli

Ilikuwa iwe hivyo kwa hiyo Roman Empire alikuwa kama facilitator tu wa kile Mungu alishapanga kimbele

Sasa sijui wamlaumu facilitator (Roman Empire) au aliyepanga (Sir God)? 🤔
 
Lazima vitazidi. Hao wanaongezeka ni wale majeruhi zaidi ya 2,000, maana kuna wale waliokutwa kwenye tamasha la muziki kule vilimani mpakana, on the spot walidondoshwa watu zaidi ya 200.
Ilikua ni siku ya mapumziko, watu walikua wamepumzika majumbani na familia zao, wengine wakiwa wametembeleana, mitaa ikiwa kimya, wakajikuta wanapigwa ambushi na kuuawa na wengine kujeruhiwa vibaya. So death toll lazima iongezeke.
Aisee! Kama Hamas waliua raia, ina maana wametoa tiketi ya Israel kuua raia pia?
 
🤣🤣🤣Marekani kwa mikwara tu hawajambo, kwanini hiyo aircraft carrier wasiipeleke black sea kwanda kuongeza nguvu kwa Ukraine
Kule drone moja tu, inazamisha mzigo wote wamatrillioni.

Nimeona vifaru vya israel vimejipanga wazi kama wanafunzi wa shule ya msingi parade. Warusi wanavipiga majungu wanasema ingekuwa ni Ukraine hapo sekunde tu, vyote vingekuwa scrapper, vita vya drone inabisi uwe mtaalam wa kuficha silaha zako. Ukiziweka hadharanzi zinageuzwa scraper
 
Gaza War, Day 3:
Fighting continues in southern Israel, tunnel suspected as IDF battles dozens of terrorists; 73 soldiers killed. 800-1,000 terrorists raided 20 communities, 11 army bases in total; IDF bombed over 800 Gaza targets.
 
Back
Top Bottom