Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Israel akiuwa watu wote wa gaza Hamas haitokufa na wataendelea kuwasumbuaAliyewahi kuwa Waziri Mkuu wetu Mpendwa Major General Ariel Sharon ( 1928 - 2014 ) alituachia Waisraeli huu Msemo wake wa Kishujaa usemao..."OUR DOCTRINE IS THAT THERE'S NO MISSION WE CAN'T ACCOMPLISH"... ambao ndiyo umekuwa Silaha yetu na Morali toshelezi Kwetu dhidi ya Wahuni na Wachokozi kama hawa Hamas wa Palestina, Iran na Lebanon.
Tumeshalipua tayari Ghorofa Kubwa lenye Wapalestina wengi na tumeshakamilisha Umafia wa Kuwakatia Umeme na sasa tunamalizia Kuiteka Rada yao ya Anga na Baharini ili kisitoke na kisijngie Kitu na baada ya hapo tunataka tutoe Funzo Tukuka kwa Wapalestina, Waarabu, Dunia na Wachokozi wote kuwa kama ambavyo ukiwa hapa JamiiForums hupashwi Kucheza na GENTAMYCINE basi hata hapa duniani pia hupashwi Kucheza na Taifa Teule la Mwenyezi Mungu la Israel.
Premier Netanyahu iteketeze Palestine.
Huo ni uongo wa wazi kabisa.Labda huijui Historia ya Israel na Ardhi hiyo.
Kabla ya vita ya pili ya Dunia, Hakukuwepi na wadudu wanaoitwa wapalestina.
Vita ya Pili ya Dunia, ambayo Hitler na wapuuzi wa Catholics Kwa lengo la kuwaondoa Waisrael, walifanikiwa kuwaondoa Waisrael wote katika Ardhi Yao , wakakimbikia mataifa mbalimbali.
Kuondoka kwao pale kwenye Ardhi Yao, kukatoa nafasi ya Jesuits wa Rumi, kupeleka wahamiaji kwenye Ardhi hiyo...wahamiaji hao ndo Leo wanaitwa wapalestina.
Baada ya Vita ya Pili, Waisrael wakajikisanya ili waanze kurudi kwenye Mother land Yao.
Ndipo walipokuta Kuna wahamiaji , na Vita ikaanzia hapo.
Mpaka Leo !!!!
Oii Israel atatandika mtu.Hali unazidi kuwa mbaya Ukanda wa Gaza na sasa eneo hilo liko Gizani huku mapigano yakiendelea
Israel yaita Jeshi lake la akina kukaa Mguu Sawa
Source: Al jazeera news
Hata mm nasimama na Israel. Hawa waarabu wanadanganyika na jihad inayowapeleka kwenye ugaidi. Wakichapwa sawa sawa hata ugaidi utapungua duniani.Biden: Marekani inasimama na Israel
Ukiua Myahudi Mmoja ni sawa Umeua Wayahudi Mia Moja hivyo Israel kama Taifa si tu tumepata Pigo la ghafla bali na Hasara Kibwa ambayo hawa Wahuni Waarabu wa Hamas watailipa kwa Gharama ya Fundisho letu la milele tunaloenda Kuwafunza na Wataisimulia dunia na hao Iran, Iraq na Lebanon waliowatuma Kutushambulia.Kila la heri kwenu
Ilikuwaje?.Hhhhh tukubali tu leo Israel kapokea kichapo, na kama sio air supremacy, wakelambwa wengi sana.
Netanyahu awaita Wapinzani kuunda serikali ya Mseto kwa dharura!Sijawahi kukuona ukiongelea vita za Waafrika wenzako wa huko Sudan
We're going to delete totally a Country called Palestine from today. We have a Superior Army in the World.Israel will never have a home until palestines have one
Shida ni moja Israel inapambana na kikundi cha Hamas na si serikali ya Palestina sasa hao jamaa mara nyingi wanatumia raia kama kinga kwao ndo maana inakuwa ngumu sana kuwamaliza na ukumbuke hapo Israel akijibu na bahati mbaya akaua raia ni skendo kwake.Marw nyingi wamekua wakipokea kichapo kutoka Gaza maloket na makombora yote huwa yanatokea huko !! nadra sana usikie yanatokea West bank!!…
Ukiangalia Gaza ni sehemu ndogo sana!! Kwann haka kaeneo wasi kaa ANNEX wawaachie west bank!!
NB: siku za mwanzo niliwai soma kua kuacha pande mbili yaan gaza na main palestina ilikua ni njia ya kuwagawanya!!!
Kama mnajua ile sheria ya “DIVIDE and RULE” ndo ilikua inatumika hapa.
Hamas wamelipa kisasi lakini mashambulio ya kulipiza kisasi n wananchi ndio wataolipa hyo gharama!!