LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Kama vipi waiteke tu ili kukomesha mashambulizi kutoka huko

IMG_9801.jpg
 
Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wetu Mpendwa Major General Ariel Sharon ( 1928 - 2014 ) alituachia Waisraeli huu Msemo wake wa Kishujaa usemao..."OUR DOCTRINE IS THAT THERE'S NO MISSION WE CAN'T ACCOMPLISH"... ambao ndiyo umekuwa Silaha yetu na Morali toshelezi Kwetu dhidi ya Wahuni na Wachokozi kama hawa Hamas wa Palestina, Iran na Lebanon.

Tumeshalipua tayari Ghorofa Kubwa lenye Wapalestina wengi na tumeshakamilisha Umafia wa Kuwakatia Umeme na sasa tunamalizia Kuiteka Rada yao ya Anga na Baharini ili kisitoke na kisijngie Kitu na baada ya hapo tunataka tutoe Funzo Tukuka kwa Wapalestina, Waarabu, Dunia na Wachokozi wote kuwa kama ambavyo ukiwa hapa JamiiForums hupashwi Kucheza na GENTAMYCINE basi hata hapa duniani pia hupashwi Kucheza na Taifa Teule la Mwenyezi Mungu la Israel.

Premier Netanyahu iteketeze Palestine.
Hata Israel akiuwa watu wote wa gaza Hamas haitokufa na wataendelea kuwasumbua
 
Labda huijui Historia ya Israel na Ardhi hiyo.

Kabla ya vita ya pili ya Dunia, Hakukuwepi na wadudu wanaoitwa wapalestina.

Vita ya Pili ya Dunia, ambayo Hitler na wapuuzi wa Catholics Kwa lengo la kuwaondoa Waisrael, walifanikiwa kuwaondoa Waisrael wote katika Ardhi Yao , wakakimbikia mataifa mbalimbali.


Kuondoka kwao pale kwenye Ardhi Yao, kukatoa nafasi ya Jesuits wa Rumi, kupeleka wahamiaji kwenye Ardhi hiyo...wahamiaji hao ndo Leo wanaitwa wapalestina.



Baada ya Vita ya Pili, Waisrael wakajikisanya ili waanze kurudi kwenye Mother land Yao.

Ndipo walipokuta Kuna wahamiaji , na Vita ikaanzia hapo.


Mpaka Leo !!!!
Huo ni uongo wa wazi kabisa.

Taifa lenyewe la Israel limeanzishwa mwaka 1948.
 
Kila la heri kwenu
Ukiua Myahudi Mmoja ni sawa Umeua Wayahudi Mia Moja hivyo Israel kama Taifa si tu tumepata Pigo la ghafla bali na Hasara Kibwa ambayo hawa Wahuni Waarabu wa Hamas watailipa kwa Gharama ya Fundisho letu la milele tunaloenda Kuwafunza na Wataisimulia dunia na hao Iran, Iraq na Lebanon waliowatuma Kutushambulia.
 
Mi naona poa sana, watu wazima wale waachwe wachapane mpaka waheshimiane. Utoto ni kuchokoza mwenzio wakati huna ubavu kupigana naye. Kama huna ubavu tulia kwako, lakini sio kujimwambafy na huwezo huna.
Wapigwe gizani au kwenye mwanga wapigwe tu.
 
Marw nyingi wamekua wakipokea kichapo kutoka Gaza maloket na makombora yote huwa yanatokea huko !! nadra sana usikie yanatokea West bank!!…
Ukiangalia Gaza ni sehemu ndogo sana!! Kwann haka kaeneo wasi kaa ANNEX wawaachie west bank!!


NB: siku za mwanzo niliwai soma kua kuacha pande mbili yaan gaza na main palestina ilikua ni njia ya kuwagawanya!!!

Kama mnajua ile sheria ya “DIVIDE and RULE” ndo ilikua inatumika hapa.

Hamas wamelipa kisasi lakini mashambulio ya kulipiza kisasi n wananchi ndio wataolipa hyo gharama!!
Shida ni moja Israel inapambana na kikundi cha Hamas na si serikali ya Palestina sasa hao jamaa mara nyingi wanatumia raia kama kinga kwao ndo maana inakuwa ngumu sana kuwamaliza na ukumbuke hapo Israel akijibu na bahati mbaya akaua raia ni skendo kwake.
 
Back
Top Bottom