Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Waafrika ndivyo walivyo alisema Nyani NgabuSijawahi kukuona ukiongelea vita za Waafrika wenzako wa huko Sudan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waafrika ndivyo walivyo alisema Nyani NgabuSijawahi kukuona ukiongelea vita za Waafrika wenzako wa huko Sudan
None of the above, i just don't by the bullshit that Israelis are choosen people and they can do whatever they want in the name of promised land.Are you a Black Palestinian and Pro Hamas?
Daah nawahurumia watoto na wanawake wa Paleatina.Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wetu Mpendwa Major General Ariel Sharon ( 1928 - 2014 ) alituachia Waisraeli huu Msemo wake wa Kishujaa usemao..."OUR DOCTRINE IS THAT THERE'S NO MISSION WE CAN'T ACCOMPLISH"... ambao ndiyo umekuwa Silaha yetu na Morali toshelezi Kwetu dhidi ya Wahuni na Wachokozi kama hawa Hamas wa Palestina, Iran na Lebanon.
Tumeshalipua tayari Ghorofa Kubwa lenye Wapalestina wengi na tumeshakamilisha Umafia wa Kuwakatia Umeme na sasa tunamalizia Kuiteka Rada yao ya Anga na Baharini ili kisitoke na kisijngie Kitu na baada ya hapo tunataka tutoe Funzo Tukuka kwa Wapalestina, Waarabu, Dunia na Wachokozi wote kuwa kama ambavyo ukiwa hapa JamiiForums hupashwi Kucheza na GENTAMYCINE basi hata hapa duniani pia hupashwi Kucheza na Taifa Teule la Mwenyezi Mungu la Israel.
Premier Netanyahu iteketeze Palestine.
Moja kati ya matakataka.Ukiua Myahudi Mmoja ni sawa Umeua Wayahudi Mia Moja hivyo Israel kama Taifa si tu tumepata Pigo la ghafla bali na Hasara Kibwa ambayo hawa Wahuni Waarabu wa Hamas watailipa kwa Gharama ya Fundisho letu la milele tunaloenda Kuwafunza na Wataisimulia dunia na hao Iran, Iraq na Lebanon waliowatuma Kutushambulia.
Kaka nakuona kiongozi wa matakataka.As I write this the Man ( Spy Chief) has been executed with no mercy for his blunder that costs us Israel ( Jews )
Mzayoni wa kintunku acha uchiziUkiua Myahudi Mmoja ni sawa Umeua Wayahudi Mia Moja hivyo Israel kama Taifa si tu tumepata Pigo la ghafla bali na Hasara Kibwa ambayo hawa Wahuni Waarabu wa Hamas watailipa kwa Gharama ya Fundisho letu la milele tunaloenda Kuwafunza na Wataisimulia dunia na hao Iran, Iraq na Lebanon waliowatuma Kutushambulia.
😬😬😬😬😬😬😬😬Kaka nakuona kiongozi wa matakataka.
Nawapenda sana hawa jamaa maana huwa wananunua ugomvi tu
Kwahio hamas wametegewa sumu na wao wameilamba kinachofuatia ni umautiSivyo hivyo. Kuna uwezekano wamewawachia makusudi wajipenyeze ili waufute ukanda wa Gaza kwenye ramani ya dunia. Kama walivyoifuta asilimia 90 ya Palestina.
Unafikiri Gaza patakalika tena?
Kaka nakuona kiongozi wa matakataka.
Mwendo wa kuwabaka hamas gizani sasaHali unazidi kuwa mbaya Ukanda wa Gaza na sasa eneo hilo liko Gizani huku mapigano yakiendelea
Netanyahu asema atatumia silaha zake zote kuhakikisha anawaangamiza Hamas
Awaita Wapinzani kuunda serikali ya Umoja wa Kitaifa kwa dharura
Israel yaita Jeshi lake la akiba kukaa Mguu Sawa
Source: Al jazeera news
Imekua ghafla sana hili tukio kwao
View: https://twitter.com/stillgray/status/1710518988558766249?t=WSY_bFSER3BslQa9gkdMaA&s=19
israeli itoe tangazo kwa raia wema watoke haraka eneo hilo, atakayekaidi agizo hilo atakabiliana na hatari ya mvua ya mashambulizi toka kwake kama ndio kikundi hicho kinatumia raia kujikinga.Shida ni moja Israel inapambana na kikundi cha Hamas na si serikali ya Palestina sasa hao jamaa mara nyingi wanatumia raia kama kinga kwao ndo maana inakuwa ngumu sana kuwamaliza na ukumbuke hapo Israel akijibu na bahati mbaya akaua raia ni skendo kwake.
Hivi yule mzee wa wapigwe tu huku kwetu akiona yanayoendelea huko ME atarudia tena kutamka maneno yale!!!