LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Live coverage on JamiiForums
Utajua Hujui

Yesu aliongea kwa mifano [emoji23][emoji23]

Yanayobomolewa ni Majengo

Hekalu/Kanisa ni mwili wa Kristo

Ndio unasikia Jengo wengine wakiita Eti Kanisa limebomolewa huko Gezaulole [emoji209]
Yesu mnayedai ni mwema sana, mwenye huruma na upendo.

Anakwenda kinyume na mahubiri yake kwamba tunapaswa kusamehe Saba mara sabini na kuwapenda Adui zetu,

Ilhali yeye mwenyewe kashindwa kutekeleza mahubiri yake mwenyewe.

Yesu huyo ni Mkatili sana na wala hajielewi kabisa, kwanza hata haelewi alichokuwa ana kihubiri ni nini..!!

Biblia ni andiko moja la kipumbavu sana.
 
Tusimung'unye maneno Wayahudi hawana hata nukta ya Ukristo

Ukristo unasamehe 7x70 kila siku

Ukristo haulipi Kisasi

Nawatakia Jumaa kareem 😀
 
BC. Before Christ. Used to date events that happened before Christ's birth. BC is used after the number of the year. Some people now choose the term BCE (Before Common Era) rather than BC. AD. Anno Domini. Latin for "in the year of the Lord". Used to date events that happened after Christ's birth. AD is often used before number of the year. Some people now choose the term CE (Common Era) rather than AD.
 
Ukanda wa Gaza: Makumi ya roketi yarushwa kuelekea Israeli

Makumi ya roketi yamerushwa kutoka Ukanda wa Gaza kuelekea Israel Jumamosi asubuhi, Oktoba 7, na kusitisha makubaliano ya usitishwaji mapigano yaliyoheshimishwa kwa ujumla tangu kumalizika kwa vita vya siku tano mwezi Mei. Tawi la kijeshi la Hamas limetangaza kuwa limeanzisha operesheni iitwayo "Mafuriko ya Al-Aqsa" dhidi ya Israel.


Ufyatulianaji wa risasi, kuanzia maeneo kadhaa katika Ukanda wa Gaza, ulianza kabla ya 6:30 asubuhi saa za Mashariki ya Kati na kuendelea karibu dakika arobaini na tano baadaye.

Nchini Israeli, ving'ora vya onyo vimesikika katika miji kadhaa karibu na Palestina, pia huko Jerusalemu lakini pia ndani zaidi katika eneo hilo, kaskazini na mashariki, kulingana na jeshi.

Roketi imeanguka kwenye mji wa Yavne, kusini mwa Tel Aviv, ambapo mtu mmoja amejeruhiwa kidogo, kulingana na Magen David Adom, sawa na shirika la Msalaba Mwekundu nchini Israel. Mwanamke mwenye umri wa miaka sitini ameuawa "kwa pigo la moja kwa moja", na watu wengine 15 wamejeruhiwa kusini mwa Israeli, linasema shirika la Magen David Adom.

Jeshi la Israel limeripoti kupenya kwa "idadi isiyojulikana ya magaidi" kwenye ardhi ya Israel kutoka Ukanda wa Gaza. "Wakazi katika maeneo jirani ya Ukanda wa Gaza wametakiwa kusalia nyumbani," jeshi limeongeza.


Mwezi Mei, Israel ilianzisha mashambulizi dhidi ya Islamic Jihad ya Palestina katika Ukanda wa Gaza, na kusababisha vita vya siku tano kati ya jeshi la Israel, Islamic Jihad na makundi mengine yenye silaha katika eneo hilo, na kugharimu maisha ya Wapalestina 34 na mwanamke mmoja wa Israel.

Zaidi ya roketi elfu moja zimerushwa kutoka Ukanda wa Gaza kuelekea Israel, nyingi zikiwa zimenaswa na mfumo wa ulinzi wa anga wa Israel. Israel kwa upande wake ilikuwa imeongeza mashambulizi ya anga katika eneo hilo dogo.

Hamas, ambayo ilichukua mamlaka huko Gaza mwaka 2007, ilikuwa imejitenga na mzozo huu.

Imechapishwa: 07/10/2023 - 08:13 Na:RFI

Video na TRT AFRIKA
View attachment 2786228
Wanaozuia ni wayahudi au serikali ya Israeli? Vyombo vya dola vya Israeli hasa IDF? Kuna tofauti hapo. Wayahudi wapo hata South Africa, Australia, Iran, Ethiopia, Egypt etc. Serikali na dini ya watu hazihusiani.
 
Yesu mnayedai ni mwema sana, mwenye huruma na upendo.

Anakwenda kinyume na mahubiri yake kwamba tunapaswa kusamehe Saba mara sabini na kuwapenda Adui zetu,

Ilhali yeye mwenyewe kashindwa kutekeleza mahubiri yake mwenyewe.

Yesu huyo ni Mkatili sana na wala hajielewi kabisa, kwanza hata haelewi alichokuwa ana kihubiri ni nini..!!

Biblia ni andiko moja la kipumbavu sana.
aiseee! Pole sana mkuu. Jiwe walilolikataa wajenzi ndilo jiwe kuu la pembeni.
 
WWa
Yesu mnayedai ni mwema sana, mwenye huruma na upendo.

Anakwenda kinyume na mahubiri yake kwamba tunapaswa kusamehe Saba mara sabini na kuwapenda Adui zetu,

Ilhali yeye mwenyewe kashindwa kutekeleza mahubiri yake mwenyewe.

Yesu huyo ni Mkatili sana na wala hajielewi kabisa, kwanza hata haelewi alichokuwa ana kihubiri ni nini..!!

Biblia ni andiko moja la kipumbavu sana.
Watu hawajui biblia vzr bila roho mtakatifu kamwe hutaielewa,biblia ni kitabu Cha Mungu
 
WWa

Watu hawajui biblia vzr bila roho mtakatifu kamwe hutaielewa,biblia ni kitabu Cha Mungu
Biblia ni andiko moja la kipumbavu sana.

Limejaa uongo na Utapeli.

Mungu hayupo.

Roho mtakatifu ni propaganda za kidini hizo.
 
Amir Weitmann, member of Israel's ruling Likud Party threatens Russia on RT"After we win this war...we will make sure that Ukraine wins...Russia will pay the price..."The masks are off...


<blockquote class="twitter-tweet"><p lang="en" dir="ltr">Amir Weitmann, member of Israel&#39;s ruling Likud Party threatens Russia on RT<br><br>&quot;After we win this war...we will make sure that Ukraine wins...Russia will pay the price...&quot;<br><br>The masks are off... <a href="https://t.co/WatMZAiBq3">pic.twitter.com/WatMZAiBq3</a></p>&mdash; DD Geopolitics (@DD_Geopolitics) <a href="
View: https://twitter.com/DD_Geopolitics/status/1715013137186042036?ref_src=twsrc%5Etfw">October 19, 2023</a></blockquote> <script async src="https://platform.twitter.com/widgets.js" charset="utf-8"></script>
 
Back
Top Bottom