kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Halaf et ni taifa teule[emoji13][emoji13]Nimeona clips wakicheza kambin wengi ni mashoga tena vivulana tu inasikitisha sana wamarekan washawaharib
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halaf et ni taifa teule[emoji13][emoji13]Nimeona clips wakicheza kambin wengi ni mashoga tena vivulana tu inasikitisha sana wamarekan washawaharib
sw hatutak kelele , ngoja ngumi ziendeleeWale LGBTQ 1300 walioangamizwa hapo Israel ni waume zako au
Unafaham maana ya special force lakini?Unachekesha. Yaani kumdaka askari 1 Hamas inakuwa habari ingine?
Unafaham maana ya special force lakini au unabwabwaja tuYaani kukamatwa mwanajezhi mmoka ama watatu katika vita unaona ni muujiza?!! Hivi unaijua vita wewe! Au wadhani ni mpira wa miguu huo?
Yaan ulidhani ushindi wa vita ni kuto kamatwa mateka wala kuuwa kwa jeshi la upande mmoja?
Iyo itakuwa bita au mmoja atapigwa bila kujibu
Hamasi wanajibu na kupigana kwa kuvizia some time wanajificha maeneo ya makazi ya raia ndo maana unaona tigua tigua inapigwa maeneo ya raia pia
Mnapowatetea hamasi waangalieni na Raia wao wako katika hatari gani
Ni matokeo ya vita,huwezi pigana vita usipoteze, si kukamatwa tu hata kufa watakufa.Just in[emoji599]Hamas has taken an Israel special forces militant prisoner! Israel “special” forces went in to Gaza to rescue the prisoners and became prisoners themselves. [emoji1787]
Ww ungeuliza tu huko wamefuata nini kama ya kuwalum hao hamas
Unabisha nini nini? Wale ndio wa ibrahimu, isaka na yakobo, kichapo wanakitembeza kwa jina la mungu wa majeshi. Mwaka huu magaidi wataipata freshHamna lolote hizo ni kelele tu, toka lini hao wanaojita Israel wakawa wakusema ukweli.
Kwanza nashangaa vipi waliruhusiwa kutumia jina la Mtume liwe inchi, wana lana kweli hawa, kutumia jina la Mtume ambaye hakuwahi kuasi wakaenda itwa hao walio laniwa jina lake.
Pole sanaSubiri mitusi toka kwa magaidi ya mudi na mnya azi allah
Pole sanaKwa nin wasimwage petrol humo kwenye mashimo wakachoma moto....
Hao hamas kama panyaaa dawa yao motoo wa petrol.....
Huna akili na umekurupuka, huko ukingo wa Magharibi unapo sema wameikataa Hamas si ndo maelfu ya wapalestina wanauawa kila mwaka na kufurushwa kwenye nyumba zao kisha wanapewa wayahudi?Mbona bado sana!! Watakufa sana!! HAMAS, waache kutumia watu kama ngao yao, zamu hii wala hata asilimia kubwa ya dunia haiwaonei huruma hao Wapalestina, kwani huwezi kutumia mbinu ile ile ukategemea majibu tofauti!! Na kibaya zaidi zamu hii ni kama wao ndio wachokozi!!! Hao wenzao tu wa ukingo wa magharibi, wanawakataa hao Hams kwa ujinga wao.
[emoji23][emoji23][emoji23]Au sio
Pole sanaNi suala la mda hayo mahandaki yatafumuliwa yote na mtakuja kuleta thread humu tusubirie
Pole sanateamHamas mnajibu kinyonge sana
Wameingia pamoja na askari wa marekani,wamedundwa,casualties za kutosha,wanerudi,haya ni maelezo ya general wa marekani kule Twitter/x
Mbona walisha wafuata mpaka ndani ya nchi yao wakavamia kuuwa wanajeshi kibao na kuteka wengine kibao au unataka wawafuate mara ngapi?Hao magaidi wa Hamas kwa nini wanajificha na kuachia wananchi wao kuangamizwa namna hiyo, kwa nini wasiondoke kwenye mashimo waende wawafuate waisrael wanaoua wananchi wao kwa nini wanaogopa hivyo wakati mabikra 72 wapo au waga ni uongo..!![emoji23][emoji23]
Dunia inatishaHii inasikitisha sana jamani . Ila inachekesha walivyokaa. Ila wazazi wao ndio wabaya.