Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana mkuu. Na ndiyo maana mi wakati mwingine nakuwa NAM ka Mwl Nyerere, maana kila mmoja anafanya justification ya kile eti kwenda mbinguni hahahahIshu za mashariki ya kati ni tata sana na propaganda ni nyingi pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Unalalamika nini sasa?Na watauliwa sana, maana mlitaka nyie muue watoto wa watu ila wa kwenu wapewe pipi....poleni.
Unalalamika nini sasa?
huyu anaeleta mada hizi wala hajui utadhani analipwa na hao mayahudi kusambaza hiyo. Haya na alete na picha za watoto waliouwawa na hao yahudi katika mwezi huu uliopita tu tulinganishe.Ishu za mashariki ya kati ni tata sana na propaganda ni nyingi pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hamas anafanya usafi israel. Kwa hyo waachwe na waoSijlalamika, nahamasisha kila yeyote asiye wa dini ile waache kulalamikia Israel maana inapambana na magaidi ya dini yasiyo na huruma kwa watoto.
Israel iachwe ifanye usafi pale Gaza.
huyu anaeleta mada hizi wala hajui utadhani analipwa na hao mayahudi kusambaza hiyo. Haya na alete na picha za watoto waliouwawa na hao yahudi katika mwezi huu uliopita tu tulinganishe.
Sasa aliyechukuwa watoto wakiwa hai na kuwaweka kizuizini na anayeua watoto nani ni katili?Kwa wale wasio wa dini ile ila wanaunga mkono maukatili ya HAMAS, jiulizeni maswali sana....
![]()
Almost 40 children have been kept captive in the Hamas-run enclave since October 7, among some 240 hostages overall
Nakuelewa mkuu.Ishu za mashariki ya kati ni tata sana na propaganda ni nyingi pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa aliyechukuwa watoto wakiwa hai na kuwaweka kizuizini na anayeua watoto nani ni katili?
Hamas ameteka waisraeli miongoni mwao wapo watoto wakiwa na wazazi wao,,
Sasa ulitaka ateke wazazi halafu watoto wamwachie nani?
Na israel imeua watekaji miongoni mwak wapo watoto wakiwa na wazazi wao.... Ngoma draw.... Mchezo uendeleeSasa aliyechukuwa watoto wakiwa hai na kuwaweka kizuizini na anayeua watoto nani ni katili?
Hamas ameteka waisraeli miongoni mwao wapo watoto wakiwa na wazazi wao,,
Sasa ulitaka ateke wazazi halafu watoto wamwachie nani?