GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Usingezaliwa kama mimi bwabwaUmeishiwa hoja? naona umeanza kunicopy,
Kaa pembeni huna hoja bwabwa wewe,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usingezaliwa kama mimi bwabwaUmeishiwa hoja? naona umeanza kunicopy,
Kaa pembeni huna hoja bwabwa wewe,
Laiti mngaliijua nguvu ya israel enyi waislamu msingali ongea ujinga kwenye mitandao pia natamani sana mkasome doctrine ya jeshi la israel IDF inayoitwa * THE SAMSON OPTION* Juu ya yote najua hizbulah pale lebanon inaenda kugeuzwa majivu soon wenye akili wameshaanza kuondoka ! Nimekaa israel mji wa mpakani unaitwa esderot ulikuwa unashambuliwa kila siku ila nilikuja kumuamini israel kwa alichokifanya mpaka kesho mji wa esderot uko salama sana naijua israel nimekaa israel miaka 2 najua mwezi wa tisa mtakuja kulia hapa kichapo kikianza. Poleni sana watetezi wa watesi wa taifa la Mung
Hivi kusema kuua wanawake na watoto si sawa inafanana na kumuona wa maana aliyekuulia Mungu wako?Kwani kwenye vita watoto na wanawake sio watu mpaka wasiuliwe wanakufa mijusi kwenye vita sembuse wanawake na watoto. Uko misikitini jitaidini kuwakaataaa mashekhe wasiokuwa na elimu ya darasani
We itakuwa umeliwa trako na waislam sio bure mana hizi chuki zimepitiliza,, sidhani hata huko kanisani unafundishwa hivyo,, hizo ni chuki zako binafsiHongera za dhati kwa Allah na Mudi kwa uthubutu wa kurusha drone kwenye anga teule kwa raha zao. Kusema kweli kwa hili wamejitahidi sana. Wanastahili pongezi na kutiwa moyo.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpe.
Big up Allah na mudi watu wangu wa nguvu pamoja sana tu 🤟🏿👌🏿👊🏿🤜🏿🤛🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿
Hongera za dhati kwa Allah na Mudi kwa uthubutu wa kurusha drone kwenye anga teule kwa raha zao. Kusema kweli kwa hili wamejitahidi sana. Wanastahili pongezi na kutiwa moyo.We itakuwa umeliwa trako na waislam sio bure mana hizi chuki zimepitiliza,, sidhani hata huko kanisani unafundishwa hivyo,, hizo ni chuki zako binafsi
Wanaukumbi.
Majeshi ya Israel yanapata haki yao huko Gaza , Hamas wanachofanya ni kulipiza kisasi cha kuwawa kwa watoto wa Palestina na raia wasiyokuwa na hatia agalia video wanachafanyiwa na Hamas walidhani watakuwa salama baada ya kuuwa watoto..
View: https://x.com/me_observer_/status/1811068496303865864?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Vyombo vya habari vya Kiebrania:
Helikopta 5 zimetua katika hospitali nyingi za Israel kutoka Gaza, zikiwa zimebeba wanajeshi wa Israel waliokufa na kujeruhiwa tangu asubuhi ya leo, Zikiwa zimetua katika hospitali zifuatazo:
View: https://x.com/currentreport1/status/1810968329852436937?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Mabwana zao walienda wazima baada ya kuuwa watoto wanarudi kwenye masanduku.Waisrael wa kibada wana maoni gani juu ya hali tata ya ndugu zao!
Wanapelekewa moto.Wanajeshi wanavaa pampers tutegemee nini mzee 😀
Kwaheri magaidi👋🏻Usrahell ukiifatilia kwenye media hakuna jeshi bora kama wao
Mabwana zao wanavyowapamba unaweza kuona kama majamaa sio wanajeshi wakawaida
Wapeleke field sasa😂😂😂
Mamluki watatu wa Colombia wamepelekewa moto huko Gaza Colombia ni msiba .Israel hii aibu alijitakia , hadi sasa hakuna maelewano serikalini mwao
Wananchi wanaandamanw kila siku kudai matrka wao ambao serikali yao imeshindwa kuwaokoa
HOuthi wanazidi kuwabana pumbu red sea hakuna kinachopita cha israel
Huku icc ikitaka kula kichwa cha netanyahu na waziri mkuu mpya wa uingereza kasema icc iheshimiwe maana yake anaunga mkono netanyahu aliwe kichwa