kuna vitu sio vya kuuliza kbs , mambo yapo kweny media kila siku , hv unahis mpk kamanda anauliwa unahisi anakiwa pekee yake ?Tunaomba data ya wanajeshi wa hizbollah walio uawa Sana kutokana na vita ya Israel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna vitu sio vya kuuliza kbs , mambo yapo kweny media kila siku , hv unahis mpk kamanda anauliwa unahisi anakiwa pekee yake ?Tunaomba data ya wanajeshi wa hizbollah walio uawa Sana kutokana na vita ya Israel
Pale hao waasi watakubali TU, resistance zote za Iraq zimeelekea Syria zimesimama na Assad
Uturuki na Hizbullah wapi na wapi?Kama kuna mtu anafikiri airstrikes zinateka miji basi akapimwe akili. Nilipoona Turkey imekaa kimya kwa moto aliokuwa anapelekewa Hezbollah nikajua hapa kuna kitu nyuma ya pazia,na kweli kimetokea maana baada ya ceasefire tuu kazi ya Allepo ikaanza.
Haya tuseme walio uawa kwenye vita ya Lebanon wote ni Hizbullah watu watu walio kufa ni elfu tatu na kitu , Hizbullah ina wapiganaji 100,000 .Huwezi kuipata data ya ukweli maana wanavaa kiraia kipindi cha mapigano, na wamejenga miundombinu yao maeneo ya raia na hutangaza vifo vya hezbollah kama vya wanawake na watoto
Huenda Turkey yupo nyuma ya hili ?Kama kuna mtu anafikiri airstrikes zinateka miji basi akapimwe akili. Nilipoona Turkey imekaa kimya kwa moto aliokuwa anapelekewa Hezbollah nikajua hapa kuna kitu nyuma ya pazia,na kweli kimetokea maana baada ya ceasefire tuu kazi ya Allepo ikaanza.
Unajua wengi hawajui kuwa kama kuna makubaliano yalifanyika baina ya serikali na waasi!Uturuki na Hizbullah wapi na wapi?
Waasi wanaenda kupoteza hata Idiribu walio kuwa wameachiwa na serikali kwenye makubaliano ya mwaka 2020.
Alikua anaua wa Sunni huu uongo kakupa nanivita ilianza baada ya Assad kuua wakosoaji wake na kuwabagua Sunni pia kuwaua watu wa makabila fulani wakiwemo wakurdi
kiufupi huyo Assad umemwelezea ajawai kuwepo pale Syria , rudi ukaichambue vzr Syria
Lini uliwahi msikia turkey anaongea sababu ya HizbullahKama kuna mtu anafikiri airstrikes zinateka miji basi akapimwe akili. Nilipoona Turkey imekaa kimya kwa moto aliokuwa anapelekewa Hezbollah nikajua hapa kuna kitu nyuma ya pazia,na kweli kimetokea maana baada ya ceasefire tuu kazi ya Allepo ikaanza.
Kwamba ndio anakua na jeshi zima bure kabisakuna vitu sio vya kuuliza kbs , mambo yapo kweny media kila siku , hv unahis mpk kamanda anauliwa unahisi anakiwa pekee yake ?
Haya majamaa ni masenge sana Syria ilikuwa imesha anza kutulia na watu walikuwa wamesha anza kurudi ndani ya nchi yao na maisha yalikuwa yameshaaza kurudi kawaida lakini yameivuruga tena kwa kukubali kutumikia masilahi ya mataifa ya nje ,sijui yanapata raha gani yanapo kuwa yanaona ndugu zao wanateseka na kuwa wakimbizi.Unajua wengi hawajui kuwa kama kuna makubaliano yalifanyika baina ya serikali na waasi!
Uturuki ijiandae kwa mafuriko ya wakimbizi ya kuwapokea hao waasi. Kwa sababu awamu hii wenzao wamewaamulia kuwaondoa.
Kwani waRWANDA si wote walikuwa wanaongea Ligha moja wote Wakatoliki lkn mbona wamechinjana tena umo umo Makanisani ama ukumbuki bwasheeeSasa mbona makundi yote ni ya kiislamu? Ina maana hadi ndugu katika Imaan wanapigana vita 🙌
Sasa shida ni nini mkuu had ndugu katika Imaan wanapigana vita?Kwani waRWANDA si wote walikuwa wanaongea Ligha moja wote Wakatoliki lkn mbona wamechinjana tena umo umo Makanisani ama ukumbuki bwashee
Mkuu we upo syria?vita ilianza baada ya Assad kuua wakosoaji wake na kuwabagua Sunni pia kuwaua watu wa makabila fulani wakiwemo wakurdi
kiufupi huyo Assad umemwelezea ajawai kuwepo pale Syria , rudi ukaichambue vzr Syria
Umeisahau Sudan 🇸🇩Naona vita zinaenda kwa rotations tu:
Ukraine ---> Gaza ---> Lebanon ---> Syria.
Kituo kinachofuata ni wapi?
Subir kwanza Russia awalegeze kwa Airsrike halafu wanaume wapite chini kuwamalizia wanajitikisa tikisa, mji wa Allepo umeachwa kama mtego ule ule wa awali😀Pale hao waasi watakubali TU, resistance zote za Iraq zimeelekea Syria zimesimama na Assad