Yanayompata Ndugai ni onyo kwa wengine "usimchezee chatu(taasisi ya Urais), gongo usimtupie, utaukosa ushindi"

Yanayompata Ndugai ni onyo kwa wengine "usimchezee chatu(taasisi ya Urais), gongo usimtupie, utaukosa ushindi"

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Wale waliodhani Wana deal na Samia, Sasa nadhani wanajua Wana deal na taasisi ya Urais moja kwa moja, taasisi hii ikifungua makucha yake, ni hatari sana.

Pale Kuna full squad ambayo imeapa kumlinda Rais na Urais dhidi ya chochote, pale ndio chem chem ya ulinzi na usalama wa nchi. Ni angalizo kwa watu aina ya Humphrey kwamba taasisi hii ikikufungukia, haina simile, inaweza kukujenga au kukubomoa kwa muda itakayo.

Ina vyombo vya Kila aina, watu wa Kila aina, wamezagaa Kila Kona ya dunia, acha Tanzania, Wana uwezo wa kumleta mtu yeyote mbele ya rais kutoka Kona yoyote ya nchi hii ndani ya muda mfupi saaana. Ndio maana wanasema "serikali Ina mkono mrefu"

Ukimchezea chatu, anajizungusha katika mwili wako, kinachofuata ni historia
 
Wale waliodhani Wana deal na Samia, Sasa nadhani wanajua Wana deal na taasisi ya Urais moja kwa moja, taasisi hii ikifungua makucha yake, ni hatari sana.

Pale Kuna full squad ambayo imeapa kumlinda Rais na Urais dhidi ya chochote, pale ndio chem chem ya ulinzi na usalama wa nchi. Ni angalizo kwa watu aina ya Humphrey kwamba taasisi hii ikikufungukia, haina simile, inaweza kukujenga au kukubomoa kwa muda itakayo.

Ina vyombo vya Kila aina, watu wa Kila aina, wamezagaa Kila Kona ya dunia, acha Tanzania, Wana uwezo wa kumleta mtu yeyote mbele ya rais kutoka Kona yoyote ya nchi hii ndani ya muda mfupi saaana. Ndio maana wanasema "serikali Ina mkono mrefu"

Ukimchezea chatu, anajizungusha katika mwili wako, kinachofuata ni historia
Hawajui Kama Rais ni taasisi kubwa
 
Hahaaa, wewe unatumia nini? Exhaust (ekzosti) pipe?
Endelea kunyoonya ubuyu
JamiiForums-1136335492_341x566.jpg
 
Wale waliodhani Wana deal na Samia, Sasa nadhani wanajua Wana deal na taasisi ya Urais moja kwa moja, taasisi hii ikifungua makucha yake, ni hatari sana.

Pale Kuna full squad ambayo imeapa kumlinda Rais na Urais dhidi ya chochote, pale ndio chem chem ya ulinzi na usalama wa nchi. Ni angalizo kwa watu aina ya Humphrey kwamba taasisi hii ikikufungukia, haina simile, inaweza kukujenga au kukubomoa kwa muda itakayo.

Ina vyombo vya Kila aina, watu wa Kila aina, wamezagaa Kila Kona ya dunia, acha Tanzania, Wana uwezo wa kumleta mtu yeyote mbele ya rais kutoka Kona yoyote ya nchi hii ndani ya muda mfupi saaana. Ndio maana wanasema "serikali Ina mkono mrefu"

Ukimchezea chatu, anajizungusha katika mwili wako, kinachofuata ni historia
Tangu siku ya kwanza nilikuwa nawaonea huruma sana na vikundi vyao! Kutwa kumsimanga, kumsema vibaya na kumpangia mipango mibovu mama wa watu

Kwa mwenye akili atajua tu kwa Tanzania Rais ni Mkuu wa Nchi, Mkuu wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu. Ukijua haya hata Rais akiwa king’wendu huwezi kucheza nae
 
Wewe ni tahira uliechanganyikiwa!Badala ya kupigania mihimili kuwa huru unapigania mhimili mmoja kutawala mihimili mingine?Unajua athari yake kwa nchi?
We mwehu siulikuwa unasema Samia Hana jeuri yoyote, Sasa taasisi ya urais imewaonyesha jeuri na nguvu ya Rais
 
MAFIGA MATATU YASIYOLINGANA KIVITENDO:
Kuna mtu aliuza ukubwa wake kutoka alipoteuliwa,akaambiwa na mnunuzi kuwa watoto wake wakileta kiburi watupe nje ,ili niwapige fimbo khamsa ishirini.

Na nwingine aliambiwa ntakuletea hao wenye nazo kwa kesi za ngawila kazi yako ni kuwakamua hadi dinari ya mwisho,nami ntakupa mgao wa kujenga hizo baraza nchi nzima.
If A is greater than B,and A is also greater than C
Find the value of A.
 
Bahat nzuri sana mama ana akili ya kutopotezwa na hizi kelele za kumsifia na kumtetea zinazojitokeza kipindi hiki za wanaa mbalimbali kupitia kumponda Ndugai.

Nimeshangaa sana kusikia admission ya Gwajima kwamba mara baada ya Ndugai kusema yale aliyoyasema Gwajima alimtumia message Ndugai kwamba "this is the Ndugai that I know". Mara tu baada ya Ndugai kudakwa ishu ikawa tata huyu huyu Gwajima anaitisha press conference ya kumponda Ndugai.

Mi simpendi Ndugai kwa sababu ni kigeugeu (kwa nini mara tu baada ya Magufuli kufa anaanza kupigia debe wachina kuhusu bandari ya Bagamoyo?), lakini kati ya vitu ninavyomtahadharisha mama ni asije kufikiri wote wanaomponda Ndugai basi wapo upande wake.
 
We mwehu siulikuwa unasema Samia Hana jeuri yoyote, Sasa taasisi ya urais imewaonyesha jeuri na nguvu ya Rais
Nguvu ya Rais haipimwi kwa kuingilia mihimili mingine.Nguvu ya Rais huwa inapimwa kwa kuleta maendeleo ya watu,haki,demokrasia na uhuru wa watu kwa kasi.

Rais ambae hataki mihimili mingine kuwa huru na ifanye kazi zake ni hopeless fool.
 
Bahat nzuri sana mama ana akili ya kutopotezwa na hizi kelele za kumsifia na kumtetea zinazojitokeza kipindi hiki za wanaa mbalimbali kupitia kumponda Ndugai.

Nimeshangaa sana kusikia admission ya Gwajima kwamba mara baada ya Ndugai kusema yale aliyoyasema Gwajima alimtumia message Ndugai kwamba "this is the Ndugai that I know". Mara tu baada ya Ndugai kudakwa ishu ikawa tata huyu huyu Gwajima anaitisha press conference ya kumponda Ndugai.

Mi simpendi Ndugai kwa sababu ni kigeugeu (kwa nini mara tu baada ya Magufuli kufa anaanza kupigia debe wachina kuhusu bandari ya Bagamoyo?), lakini kati ya vitu ninavyomtahadharisha mama ni asije kufikiri wote wanaomponda Ndugai basi wapo upande wake.
Sms hizi alizotuma gwajima zinapitia TCRA, na mama zinamfikia papohapo, na bado wengi tu mawasiliano yao yako mtu kati, mpaka mama anaongea, tayari ana briefing zote za TISS, hao Sukuma gang(warundi wa Geita) hata wakiandika alama ya mkato, mama anapata taarifa siku hiyohiyo
 
Back
Top Bottom