chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Wale waliodhani Wana deal na Samia, Sasa nadhani wanajua Wana deal na taasisi ya Urais moja kwa moja, taasisi hii ikifungua makucha yake, ni hatari sana.
Pale Kuna full squad ambayo imeapa kumlinda Rais na Urais dhidi ya chochote, pale ndio chem chem ya ulinzi na usalama wa nchi. Ni angalizo kwa watu aina ya Humphrey kwamba taasisi hii ikikufungukia, haina simile, inaweza kukujenga au kukubomoa kwa muda itakayo.
Ina vyombo vya Kila aina, watu wa Kila aina, wamezagaa Kila Kona ya dunia, acha Tanzania, Wana uwezo wa kumleta mtu yeyote mbele ya rais kutoka Kona yoyote ya nchi hii ndani ya muda mfupi saaana. Ndio maana wanasema "serikali Ina mkono mrefu"
Ukimchezea chatu, anajizungusha katika mwili wako, kinachofuata ni historia
Pale Kuna full squad ambayo imeapa kumlinda Rais na Urais dhidi ya chochote, pale ndio chem chem ya ulinzi na usalama wa nchi. Ni angalizo kwa watu aina ya Humphrey kwamba taasisi hii ikikufungukia, haina simile, inaweza kukujenga au kukubomoa kwa muda itakayo.
Ina vyombo vya Kila aina, watu wa Kila aina, wamezagaa Kila Kona ya dunia, acha Tanzania, Wana uwezo wa kumleta mtu yeyote mbele ya rais kutoka Kona yoyote ya nchi hii ndani ya muda mfupi saaana. Ndio maana wanasema "serikali Ina mkono mrefu"
Ukimchezea chatu, anajizungusha katika mwili wako, kinachofuata ni historia