Yanayonikuta London, Uingereza - Part 1

Kaunganishwa na nin??tuelewesheni
 
Ujinga wa kucopy diamond nyimvo za asake , wote watakurudishia ww ndio ukomeshwe wakimbie hao.
 
Sijakuelewa? Au, Kwa hiyo unataka kutuambia nini?
 
Utatusadia kwa kiswahili fasaha maana hata hizo emf sisi wa saint kayumba hatujaelewa na mbaya zaidi tulisoma sanaa
 
Kwanini usihame hio shared accomodation ukaishi na wadau wengine ?

Hata kama hakuna wanalofanya Mind is very Powerful huwezi kuishi kwa Amani sehemu ambayo hauna amani..., Sidhani kama accomodation zimekwisha kama vipi hama hata mji mbona UK kubwa ? after all sehemu nyingine ni cheaper
 
Unaajua nduguyangu tafuta kanisa la watu waliookoka wakuombee unahitaji maombi watu wanakuchezea akili
 
Naona hauko serious na maisha yako,umekuta hizo EMF ziko juu sasa kinachokufanya usipeleke hiyo taarifa police ni nini,ninavyojua mimi police wa wenzetu sio kama huku kwetu,tayari wangeshafika hapo kwako ili kufanya uchunguzi wa madai yako...
Mkuu
Nimeelezea nimesharipoti Police mara tatu. Nitaandika kwa kirefu zaidi nikiwa na muda
 
Utakuwa una matatizo ya afya ya akili. Watu wakufuatilie wewe kama nani? Una umuhimu gani au ukwasi upi hadi watu waanze kuku maindi?
Hii story wanayojenga hapa no very sensitive. Wangemjengea mweupe labda ingekuwa ni scandal na kuna watu wangekuwa wameshafukuzwa. Kumpachika Mr No body ni rahisi kutimiza wanachotaka
 
Unaajua nduguyangu tafuta kanisa la watu waliookoka wakuombee unahitaji maombi watu wanakuchezea akili
Mkuu,
Ukuhusishwa na haya mambo anza kuingiza makanisa uone kitachofuata. Hata hao watoto walio uliwa hapa UK kutokana na hizo beliefs. Walianza kuwapeleka uko uko kwenye maombi. Wachungaji nao wakawalisha matango pori. Huku kuna makanisa mengi yalishausishwa exorcism hasa wa Kongo
 
Naona hauko serious na maisha yako,umekuta hizo EMF ziko juu sasa kinachokufanya usipeleke hiyo taarifa police ni nini,ninavyojua mimi police wa wenzetu sio kama huku kwetu,tayari wangeshafika hapo kwako ili kufanya uchunguzi wa madai yako...
Sio kasema amesharipoti mara 3?
 
Hama hapo kwenye hiyo apartment mkuu mbona simple tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…