Yanayonikuta London, Uingereza - Part 2

Yanayonikuta London, Uingereza - Part 2

Mkuu, hivi umenisoma kweli. Nimesema kwenye report ameandika ambacho sijamwambia na report ninay na nime faili malalmiko
Story ya kwanza niliisoma pia tena kitambo sasa
Na hii ni ya pili yaani kama hadithi yenye muendelezo tu
Nasubiri part 3
 
Niliwahi kuandika hapa: Yanayonikuta London (UK) mwaka mwishoni mwa 2023. Baada ya hapo niliamua kukaa kimya na kuendelea kupambana yanayonikabili.

Lakini mambo yameendelea kuwa mabaya kwa upende wangu hapa London. I feel very bullied, tortured, mistreated by health care professionals na ndio kilichonisukuma kuandika hapa leo. Hii imekuwa inaniwia vigumu kumwelezea mtu ambaye hanijuwi akanielewa kwa sababu UK wanaoneka wanafanya mambo yao kwa kuzingatia human rights.

HISTORIA YA NYUMA:
Kutoa historia yangu fupi kwa wale ambao awatakuwa na muda wa kusoma thread yangu ya nyuma. Mimi nimeishi London kwa miaka mingi sasa. Mwaka 2016 nikiwa ninafanya kazi National Healthcare Services(NHS) nilianza ku experience bullying ambayo chanzo chake kilikuwa ni incorrect beliefs lakini kipindi hicho mitaani nilikuwa sijihisi kunyanyaswa. Katika ya mwaka 2022 nikaamua niache kazi NHS nitafute kazi nje ya sector ya afya. Lakini nilipoacha kazi baada ya muda mfupi bullying ikaanza mitaani sehemu ambazo nilikuwa nimeshaishi kwa miaka mingi bila tatizo.

Hapa nilijiona kama kuna watu ambao wamekuwa wakinifuatilia kichini chini na ku-organise na ku-encourage watu wafanye mambo ambayo yatajenga picha ya mimi kuoneka kama wao wanavyotaka. Na vile vile kuni break down kidogo kidogo. Hii walifanikiwa sana kwa monitor mawasiliano yangu yote, ku share locations zangu na pia nina hisi kusikiliza live conversations kupitia simu.

Mwaka 2023, nyumba niliyokuwa nina ishi nilianza kupata kama electrical shock na pia wakati mwingine kama sharp needle pain au zote kwa pamoja. Kwa kipindi hicho hii ilikuwa inatokea mara nyingi nikiwa kitandani nina jaribu kulala. Nika ripoti Polisi mara kadhaa na vile vile nikawa nina lala hotelini na hosteli kabla sija hama.
Fast foward, kwa sasa hivi hizi kama electrical shock and sharp needle pain, the intensity and frequency of ocurrencies have increased. Hasa kama nikiwa ninafanya baadhi ya vitu kama kuandika barua ya malalamiko zinakuwa more intense. Nina amini hisi ni wavelengths ambazo zinatumwa na baadhi ya kikundi cha watu.

KILICHONISUKUMA KUANDIKA HAPA LEO:
Tarehe 5 September 24, ninapoishi sasa hivi mfanyakazi alitaatifu kwamba kuna madaktari wawili wapo reception na kama nilikuwa nina taka waje chumbani au niongee nao kwenye ofisini downstairs. Nikamwambia nitakuja downstairs mazungumzo yafanyike ofisini. Lakini nilipofika reception doctor akanishawishi yafanyike chumbani kwangu ambacho nilikubali.

Hii ilikuwa ni assessment. Doctor ambaye alikuwa anaongoza hiyo assessment alikuwa anauliza haraka haraka na pia kuchanganya changanya. Maswali yake hayakuwa kwenye staili ya mtiririko wa topic moja baada ya nyingine. Na wala mazungumzo hayaku chukuwa muda mrefu. Lakini kwa sababu walikuwa very friendly sikuhisi chochote kibaya kwa wakati huo.

Tarehe 10 September 24. Nikapata ripoti ya hayo mazungumzo. Ilinistua kwa sababu ilikuwa kuna mambo mengi ambayo yalikuwa sio niliyosema.

For Instance, he asked if I believed in black magic. I responded that I do not believe in black magic and I think it is full of bushit. Na ilikuwa nikwa kifupi hivyo.

LAKINI, kwenye report yake yeye aliandika hivi "He spoke about other residents in the previous placements and how they might have place black magic on him." sijasema kitu kama iko na kilichonitia hasira zaidi miezi ya nyuma kuna watu walikuwa wanajaribu kunilisha maneno kihaina nikawaambia kwamba hayo mambo mimi sihamini kwa sababu ninaamini ni uongo.

Pia imetinia hasira kwa sababu wakati nina fanya NHS walianza kuni buli kuhusiana na haya mambo ya imani mpaka mimi kuacha kazi na baadae kukimbia nyumba nilikuwa nimeishi kwa miaka mingi kutokana na harassments. Hii ilinidhirishia nilichokuwa nina hisi kwamba baadhi ya wanao organise haya mambo dhidi yangu watakuwa wana nguvu fulani na reputation ya kuweza kuwafanya watu wafanye mambo yanayokihuka haki za binadamu na sheria.

Nimesha andika barua ya malalamiko kwnye Trust ya huyo doctor aliyekuwa anaongoza assessment na aliyeandika report lakini bado hawaja jibu.

Hii imenifanya nihisi maisha yangu yapo hatarini sana kama mpaka doctor ameandika mambo ya uongo ili kualalisha mambo fulani na pia ku cover bullying ninayopitia

Ninachohisi hawa watu walioko nyuma ya huu mpango wametumia mda mrefu, resources na pia pesa kutengeneza mambo ya uongo kwa hiyo hawawezi ku back down now. Wataendelea kusigini mpaka wanimalize.
Mkuu pole kwa changamoto, je unahisi ni sababu ipi inapelekea watumie nguvu kubwa sana kukufuatilia maisha yako?
 
Nyumbani pagumu hapo juu kuna sehemu amesema ½ ya umri wake ameishi London so kama ana 50 25 yote hajawahi kukaa hapa labda kutembea tu hivyo unaweza ukaona jinsi ilivyo ngumu kurudi kichwa kichwa.

Hii huwasumbua wengi sana waliosoma wakaondoka nje muda mrefu maana kuondoka halafu arudi kuanza from scratch bongo mtu anapagawa akili.
Hii ndio shida ya hawa ndugu zetu kurud hawataki wanaogopa kwa kua labda hawajafanya cha maana kwenye familia zao. Sisi tunajua uingereza tena London maisha yako juu sana hata kusave ni mtihani.
 
Niliwahi kuandika hapa: Yanayonikuta London (UK) mwaka mwishoni mwa 2023. Baada ya hapo niliamua kukaa kimya na kuendelea kupambana yanayonikabili.

Lakini mambo yameendelea kuwa mabaya kwa upende wangu hapa London. I feel very bullied, tortured, mistreated by health care professionals na ndio kilichonisukuma kuandika hapa leo. Hii imekuwa inaniwia vigumu kumwelezea mtu ambaye hanijuwi akanielewa kwa sababu UK wanaoneka wanafanya mambo yao kwa kuzingatia human rights.

HISTORIA YA NYUMA:
Kutoa historia yangu fupi kwa wale ambao awatakuwa na muda wa kusoma thread yangu ya nyuma. Mimi nimeishi London kwa miaka mingi sasa. Mwaka 2016 nikiwa ninafanya kazi National Healthcare Services(NHS) nilianza ku experience bullying ambayo chanzo chake kilikuwa ni incorrect beliefs lakini kipindi hicho mitaani nilikuwa sijihisi kunyanyaswa. Katika ya mwaka 2022 nikaamua niache kazi NHS nitafute kazi nje ya sector ya afya. Lakini nilipoacha kazi baada ya muda mfupi bullying ikaanza mitaani sehemu ambazo nilikuwa nimeshaishi kwa miaka mingi bila tatizo.

Hapa nilijiona kama kuna watu ambao wamekuwa wakinifuatilia kichini chini na ku-organise na ku-encourage watu wafanye mambo ambayo yatajenga picha ya mimi kuoneka kama wao wanavyotaka. Na vile vile kuni break down kidogo kidogo. Hii walifanikiwa sana kwa monitor mawasiliano yangu yote, ku share locations zangu na pia nina hisi kusikiliza live conversations kupitia simu.

Mwaka 2023, nyumba niliyokuwa nina ishi nilianza kupata kama electrical shock na pia wakati mwingine kama sharp needle pain au zote kwa pamoja. Kwa kipindi hicho hii ilikuwa inatokea mara nyingi nikiwa kitandani nina jaribu kulala. Nika ripoti Polisi mara kadhaa na vile vile nikawa nina lala hotelini na hosteli kabla sija hama.
Fast foward, kwa sasa hivi hizi kama electrical shock and sharp needle pain, the intensity and frequency of ocurrencies have increased. Hasa kama nikiwa ninafanya baadhi ya vitu kama kuandika barua ya malalamiko zinakuwa more intense. Nina amini hisi ni wavelengths ambazo zinatumwa na baadhi ya kikundi cha watu.

KILICHONISUKUMA KUANDIKA HAPA LEO:
Tarehe 5 September 24, ninapoishi sasa hivi mfanyakazi alitaatifu kwamba kuna madaktari wawili wapo reception na kama nilikuwa nina taka waje chumbani au niongee nao kwenye ofisini downstairs. Nikamwambia nitakuja downstairs mazungumzo yafanyike ofisini. Lakini nilipofika reception doctor akanishawishi yafanyike chumbani kwangu ambacho nilikubali.

Hii ilikuwa ni assessment. Doctor ambaye alikuwa anaongoza hiyo assessment alikuwa anauliza haraka haraka na pia kuchanganya changanya. Maswali yake hayakuwa kwenye staili ya mtiririko wa topic moja baada ya nyingine. Na wala mazungumzo hayaku chukuwa muda mrefu. Lakini kwa sababu walikuwa very friendly sikuhisi chochote kibaya kwa wakati huo.

Tarehe 10 September 24. Nikapata ripoti ya hayo mazungumzo. Ilinistua kwa sababu ilikuwa kuna mambo mengi ambayo yalikuwa sio niliyosema.

For Instance, he asked if I believed in black magic. I responded that I do not believe in black magic and I think it is full of bushit. Na ilikuwa nikwa kifupi hivyo.

LAKINI, kwenye report yake yeye aliandika hivi "He spoke about other residents in the previous placements and how they might have place black magic on him." sijasema kitu kama iko na kilichonitia hasira zaidi miezi ya nyuma kuna watu walikuwa wanajaribu kunilisha maneno kihaina nikawaambia kwamba hayo mambo mimi sihamini kwa sababu ninaamini ni uongo.

Pia imetinia hasira kwa sababu wakati nina fanya NHS walianza kuni buli kuhusiana na haya mambo ya imani mpaka mimi kuacha kazi na baadae kukimbia nyumba nilikuwa nimeishi kwa miaka mingi kutokana na harassments. Hii ilinidhirishia nilichokuwa nina hisi kwamba baadhi ya wanao organise haya mambo dhidi yangu watakuwa wana nguvu fulani na reputation ya kuweza kuwafanya watu wafanye mambo yanayokihuka haki za binadamu na sheria.

Nimesha andika barua ya malalamiko kwnye Trust ya huyo doctor aliyekuwa anaongoza assessment na aliyeandika report lakini bado hawaja jibu.

Hii imenifanya nihisi maisha yangu yapo hatarini sana kama mpaka doctor ameandika mambo ya uongo ili kualalisha mambo fulani na pia ku cover bullying ninayopitia

Ninachohisi hawa watu walioko nyuma ya huu mpango wametumia mda mrefu, resources na pia pesa kutengeneza mambo ya uongo kwa hiyo hawawezi ku back down now. Wataendelea kusigini mpaka wanimalize.
DR HAYA LAND naomba umshauri huyu ndugu pengine kuna kitu utaweza kumsaidia
 
Ninamaanisha kutibiwa na hata kazi
Najua jamaa zangu wengi na watoto wetu wakifanya kazi hospital za 🇬🇧
Kuanzia Dr's mpaka nurses na hata alienipima last week na kuniingiza kwenye scan alikuwa msomali msichana
Nawajua wengi sana hospital za london na hawana tatizo
Wewe ni mgonjwa unahitaji matibabu mkuu
Hakuna ubaguzi kazini ila wewe unavyojiweka
Nimekaa mwaka wa 34 london sijapata matatizo nao
Nimesimamishwa na polisi mara moja tu maishani
Sasa nashangaa tuhuma zote mara unatumiwa mionzi
Kama ni shushushu na umewasaliti wangekumaliza zamani
Unaumwa ila akili inakuambia mengine
Nenda Hospitali ukatibiwe
Hospital za London zimejaa watu weusi na wana furaha na kazi zao au nikutajie ukazione?
NHS kuna mabaya yake lakini watu wanaogopa kuwa attack. Na pia mengi yanafukiwa bila kufika public. Mafano ile ya lucy Letby malalamiko yalianzia mda mrefu lakini yalikuwa yanafukiwa kwa chin . Mum of baby girl murdered by Lucy Letby thought nurse was an 'odd loner'

Pia Kuna hizi:

 
Cha msingi mkuu fanya mpango ubadili mazingira mara moja(Rudi nyumbani au toka tu U.K) ,,Afya ni mtaji wako WA kwanza katika kila jambo unalofanya.Mtumaini Mungu sana katika kipindi hiki na chote cha maisha yako.

Kimsingi mm nilivoelewa story yako inawezekana Kuna watu kadhaa wanakuonea wivu kwa ww kupiga hatua yaani from TZ to U.K hivyo progress Yako ni kama inawafanya wasiwe comfortable na kuamua kukufanyia vitimbwili tibwili hivyo
 
Niliwahi kuandika hapa: Yanayonikuta London (UK) mwaka mwishoni mwa 2023. Baada ya hapo niliamua kukaa kimya na kuendelea kupambana yanayonikabili.

Lakini mambo yameendelea kuwa mabaya kwa upende wangu hapa London. I feel very bullied, tortured, mistreated by health care professionals na ndio kilichonisukuma kuandika hapa leo. Hii imekuwa inaniwia vigumu kumwelezea mtu ambaye hanijuwi akanielewa kwa sababu UK wanaoneka wanafanya mambo yao kwa kuzingatia human rights.

HISTORIA YA NYUMA:
Kutoa historia yangu fupi kwa wale ambao awatakuwa na muda wa kusoma thread yangu ya nyuma. Mimi nimeishi London kwa miaka mingi sasa. Mwaka 2016 nikiwa ninafanya kazi National Healthcare Services(NHS) nilianza ku experience bullying ambayo chanzo chake kilikuwa ni incorrect beliefs lakini kipindi hicho mitaani nilikuwa sijihisi kunyanyaswa. Katika ya mwaka 2022 nikaamua niache kazi NHS nitafute kazi nje ya sector ya afya. Lakini nilipoacha kazi baada ya muda mfupi bullying ikaanza mitaani sehemu ambazo nilikuwa nimeshaishi kwa miaka mingi bila tatizo.

Hapa nilijiona kama kuna watu ambao wamekuwa wakinifuatilia kichini chini na ku-organise na ku-encourage watu wafanye mambo ambayo yatajenga picha ya mimi kuoneka kama wao wanavyotaka. Na vile vile kuni break down kidogo kidogo. Hii walifanikiwa sana kwa monitor mawasiliano yangu yote, ku share locations zangu na pia nina hisi kusikiliza live conversations kupitia simu.

Mwaka 2023, nyumba niliyokuwa nina ishi nilianza kupata kama electrical shock na pia wakati mwingine kama sharp needle pain au zote kwa pamoja. Kwa kipindi hicho hii ilikuwa inatokea mara nyingi nikiwa kitandani nina jaribu kulala. Nika ripoti Polisi mara kadhaa na vile vile nikawa nina lala hotelini na hosteli kabla sija hama.
Fast foward, kwa sasa hivi hizi kama electrical shock and sharp needle pain, the intensity and frequency of ocurrencies have increased. Hasa kama nikiwa ninafanya baadhi ya vitu kama kuandika barua ya malalamiko zinakuwa more intense. Nina amini hisi ni wavelengths ambazo zinatumwa na baadhi ya kikundi cha watu.

KILICHONISUKUMA KUANDIKA HAPA LEO:
Tarehe 5 September 24, ninapoishi sasa hivi mfanyakazi alitaatifu kwamba kuna madaktari wawili wapo reception na kama nilikuwa nina taka waje chumbani au niongee nao kwenye ofisini downstairs. Nikamwambia nitakuja downstairs mazungumzo yafanyike ofisini. Lakini nilipofika reception doctor akanishawishi yafanyike chumbani kwangu ambacho nilikubali.

Hii ilikuwa ni assessment. Doctor ambaye alikuwa anaongoza hiyo assessment alikuwa anauliza haraka haraka na pia kuchanganya changanya. Maswali yake hayakuwa kwenye staili ya mtiririko wa topic moja baada ya nyingine. Na wala mazungumzo hayaku chukuwa muda mrefu. Lakini kwa sababu walikuwa very friendly sikuhisi chochote kibaya kwa wakati huo.

Tarehe 10 September 24. Nikapata ripoti ya hayo mazungumzo. Ilinistua kwa sababu ilikuwa kuna mambo mengi ambayo yalikuwa sio niliyosema.

For Instance, he asked if I believed in black magic. I responded that I do not believe in black magic and I think it is full of bushit. Na ilikuwa nikwa kifupi hivyo.

LAKINI, kwenye report yake yeye aliandika hivi "He spoke about other residents in the previous placements and how they might have place black magic on him." sijasema kitu kama iko na kilichonitia hasira zaidi miezi ya nyuma kuna watu walikuwa wanajaribu kunilisha maneno kihaina nikawaambia kwamba hayo mambo mimi sihamini kwa sababu ninaamini ni uongo.

Pia imetinia hasira kwa sababu wakati nina fanya NHS walianza kuni buli kuhusiana na haya mambo ya imani mpaka mimi kuacha kazi na baadae kukimbia nyumba nilikuwa nimeishi kwa miaka mingi kutokana na harassments. Hii ilinidhirishia nilichokuwa nina hisi kwamba baadhi ya wanao organise haya mambo dhidi yangu watakuwa wana nguvu fulani na reputation ya kuweza kuwafanya watu wafanye mambo yanayokihuka haki za binadamu na sheria.

Nimesha andika barua ya malalamiko kwnye Trust ya huyo doctor aliyekuwa anaongoza assessment na aliyeandika report lakini bado hawaja jibu.

Hii imenifanya nihisi maisha yangu yapo hatarini sana kama mpaka doctor ameandika mambo ya uongo ili kualalisha mambo fulani na pia ku cover bullying ninayopitia

Ninachohisi hawa watu walioko nyuma ya huu mpango wametumia mda mrefu, resources na pia pesa kutengeneza mambo ya uongo kwa hiyo hawawezi ku back down now. Wataendelea kusigini mpaka wanimalize.
Ndugu ngoja nikupe ushari ambo utaweza kukusaidia kupata majibu ya nini chanzo cha hayo unayoyaona na unayoyapitia. Hao madaktari ndio wanatumia mfuu huhuu ninaokupa katika kupata majibu ya maswali yako.

Nunua kalamu na daftari, na kisha katika daftari piga mstari katika kurasa moja yakutenganisha, siku, saa, na experience uliyoipata na activities ulizozifanya hiyo siku mpaka hiyo experience uliyoipata ikakutokea.

Kuwa unafanya ku record kila kitu ya siku ya leo mfano ni ijumaa, saa 3 asubuhi, experience hissing sound, activity labda nilifanya jambo flani na flani ndani ya hii siku mpaka nikaja kupata hii hissing sound..

Sasa ukiweza kuwa unaweka record hizi katika daftari kuna siku utakuja kugundua ama kuona kuna kitu kimoja huwa kinajirudia rudia, na kitu hicho uki study further utakuja kuona ni source ya tatizo lako ...

Research hii itakuchukua muda na lakini utakuja kupata majibu wewe mwenyewe na nini kinachokusumbua kama hutokuwa mvivu waku record hayo hapo juuu..

Mwanga na ukuongoze
 
Rudi home utibiwe mkuu ushapigwa jini baya sana.....

Wazungu hawana ubaguz huo sema wew ndo upo na shida mkuu may be Black magic inakusumbua.......
Nakuunga mkono kabisa,huyu ndugu yetu bora arudi home.Ingawa inawezekana ana Msongo wa mawazo unaompelekea kupata shida anayolalamikia
 
Kisa chako ni kigumu sana kuelewa tokea mwaka jana.

Ila kwa ninavyoona wewe utakuwa na electromagnetic hypersensitivity disorder(EHS). Mawimbi ya sumaku-umeme yanakuathiri.

Hiyo bullying 'inayotokana na incorrect beliefs' hata sijaelewa. Kwamba walivyojua wewe ni mtanzania wakakuona mchawi?

Andika kisa chako vizuri tukielewe.
Mkuu kuna siku nitaandika kwa undani yote. Kifanya hivyo sasa hivi kuna mambo mengine watu wanaweza kuona ni matatizo ya akili.
Hii kupata kama electrical shocks au sharp needle pain ni rahisi watu wengi kudikiria ni matatizo ya afya ya akili au kama ilo ulilosema hapo juu. Lakini kwangu mimi hii inahuhusiano na bullying. Ila kwa sasa hivi siwezi kusema zaidi ya hapo.
Incorrect beliefs - Hii wanaamini una dark spirit ambayo ina cause mambo kutokea. Hii miaka ya nyuma hapa UK walio kuwa wanaamini ni Wa Congo, Central na West Africa. Lakini wazungu ambao ni wabaguzi wameona ndio sehemu ya kututwanga na kututupia lawama lakini hawaweki wazi. Lakini nina uhakika miaka ijayo wataongea hazarani.
 
Huyu mwamba allikua na story za kichawi ulaya, watu wamemkariri, saiv ana revoke statement zake na zinamtesa, Rudi kwenu Tanzania wapo wajinga wanaamini upuuzi wako kidogo utatulia ukikutana nao(sorry kukutukana)
Mkuu hawezi kuniamini kwa sababu haunijui zaidi ya hapa. Mimi mambo ya waganga na uchawi ni vitu ambavyo nimekuwa naweka wazi ni UONGO. Mfano mdogo tu, timu zetu za mipira za africa wamekuwa wanaamini haya mambo sana lakini wakitoka nje ya africa wanapigwa mabao ya kutosha na timu zisizo amini hayo mambo.
Haya mambo ndio yanachangia umaskini africa
 
Back
Top Bottom