Yanayosemwa huko Algeria kuhusu tuhuma za kufix mechi ya Tanzania vs Algeria

Ukweli usemwe Taifa star bila msaada wa third party hatuwezi kuenda Afcon kumbukeni vizuri...
Kwahiyo uganda aliekatuachia ili tufuzu afcon iliyopita nae alifanya nini kwenye hayo mashindano alipoenda?

Dogo umewahi hata kucheza danadana?

Mpira ni hesabu tu na unamatokeo yakikatili mno kuanzia ulaya mpaka huku africa
 
Nimeshangaa yaani aligeria wakose hata goli moko!!🙁 Alafu wako home.!!!?? 🙆
 
Ngoja tutinge robi fainali huko afcon kwenyewe ndo watakuwa na adabu na soka la Tanzania [emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
 
Ukweli usemwe Taifa star bila msaada wa third party hatuwezi kuenda Afcon kumbukeni vizuri, kipindi kilicho pita hao Waganda ndo walio tuachia mechi na ka fuzi
Tunaenda kupata kichapo kizito
 
SAYVILLE n

Huyu ni mwanasimba,alitaka Kapombe na kenge wenzie wachezeshwe,hivyo timu kufuzu bila hao kenge wake roho inamuuma

Alitamani tutolewe Ili aseme tulijua hawezi kufuzu bila ya wachezaji wa Simba
We Nyumbu wa Serengeti Huko taifa stars wachezaji wa Simba hawakucheza?simba inawachezaji wawili TU Zimbwe na Shomary ?Mzamiru,Kibu ,boko ni wachezaji wa team gani ?
 
We Nyumbu wa Serengeti Huko taifa stars wachezaji wa Simba hawakucheza?simba inawachezaji wawili TU Zimbwe na Shomary ?Mzamiru,Kibu ,boko ni wachezaji wa team gani ?
Aaahaaaa, SAYVILLE kinachomuuma ndo hicho kama ulikuwa hujui

Kama mi nyumbu basi we ni kenge
 
Ukweli usemwe Taifa star bila msaada wa third party hatuwezi kuenda Afcon kumbukeni vizuri, kipindi kilicho pita hao Waganda ndo walio tuachia mechi na ka fuzi

Aise, kumbe Algeria walituachia kabisa tukakosa! Ila Algeria hawakutaka kukaza, kwasababu washapita, ingelikua ni playoff au mshindi wa pili tu, dah tungekula 7. Ila All in All asanteni Algeria kwa kutuachia, kocha wetu pia ni mualgeria Asante sana.
 
Agiza pepsi ntalipa.
 
Kuna watu kwenu matokeo mazuri ilikuwa lazima stars ifungwe. Ni Algeria hii yenye USM Algers iliyofungwa pale pale na Yanga aggregate ikawabeba?
 
Kwahiyo goli la kufunga lilikuwa halionekani!?

Well crafted though..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…