Yanayosemwa vijiweni kuhusu kufungiwa kwa mwamuzi Kayoko

Yanayosemwa vijiweni kuhusu kufungiwa kwa mwamuzi Kayoko

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Siku mbili kabla ya derby kulifanyika kikao kati ya Kayoko,afisa wa TFF na afisa toka GSM
Bila kujua kulikuwa na mtu anawarekodi kwenye simu.

Siku ya mechi kuna maamuzi ya utata yalitokea.

Wazee wa Simba wajaja juu kuwa Kayoko aliwahujumu

TFF wanawaita wazee wa Simba kuwa wanaharibu brand ya ligi kwa kuisema vibaya.

Wazee wanatoa ushahidi wa clip

Tff wanaufyata na kumfungia Kayoko kinya kimya

Kama stori hizi ni za kweli Kayoko ameyatimba maana wazee wamesema asichezeshe mechi yao hata ya ndondo mpaka mwisho wa dunia vinginevyo wanaiachia clip
 
Siku mbili kabla ya derby kulifanyika kikao kati ya Kayoko,afisa wa TFF na afisa toka GSM
Bila kujua kulikuwa na mtu anawarekodi kwenye simu.

Siku ya mechi kuna maamuzi ya utata yalitokea.

Wazee wa Simba wajaja juu kuwa Kayoko aliwahujumu

TFF wanawaita wazee wa Simba kuwa wanaharibu brand ya ligi kwa kuisema vibaya.

Wazee wanatoa ushahidi wa clip

Tff wanaufyata na kumfungia Kayoko kinya kimya

Kama stori hizi ni za kweli Kayoko ameyatimba maana wazee wamesema asichezeshe mechi yao hata ya ndondo mpaka mwisho wa dunia vinginevyo wanaiachia clip
Hadithi za Sukununu
 
Makolo walivyo visebengo, kabisaaa wawe na clip hadi leo wasiiacgie!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Siku mbili kabla ya derby kulifanyika kikao kati ya Kayoko,afisa wa TFF na afisa toka GSM
Bila kujua kulikuwa na mtu anawarekodi kwenye simu.

Siku ya mechi kuna maamuzi ya utata yalitokea.

Wazee wa Simba wajaja juu kuwa Kayoko aliwahujumu

TFF wanawaita wazee wa Simba kuwa wanaharibu brand ya ligi kwa kuisema vibaya.

Wazee wanatoa ushahidi wa clip

Tff wanaufyata na kumfungia Kayoko kinya kimya

Kama stori hizi ni za kweli Kayoko ameyatimba maana wazee wamesema asichezeshe mechi yao hata ya ndondo mpaka mwisho wa dunia vinginevyo wanaiachia clip
Kosa la Kayoko pale ni lipi?, Kamara na Kijiri ndio waliotughalimu ktk ile mechi, Kamara kauchukua mpira uliotoka nje na akamrushia Kijiri, Kijiri nae akajiweka.
 
Makolo bhana ashidwe kufungiwa refa wa namungo na makolo afungiwe kayoko
 
Back
Top Bottom