Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Hapo
Hapo sawa kama mumeshazoea kukikaliaKawaida tu tumeshazoea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sawa kama mumeshazoea kukikaliaKawaida tu tumeshazoea
Mambo ya black mail kwenye soka GSM ni wahuni sio wadhamini pia wanapitisha mrungura duuh....Siku mbili kabla ya derby kulifanyika kikao kati ya Kayoko,afisa wa TFF na afisa toka GSM
Bila kujua kulikuwa na mtu anawarekodi kwenye simu.
Siku ya mechi kuna maamuzi ya utata yalitokea.
Wazee wa Simba wajaja juu kuwa Kayoko aliwahujumu
TFF wanawaita wazee wa Simba kuwa wanaharibu brand ya ligi kwa kuisema vibaya.
Wazee wanatoa ushahidi wa clip
Tff wanaufyata na kumfungia Kayoko kinya kimya
Kama stori hizi ni za kweli Kayoko ameyatimba maana wazee wamesema asichezeshe mechi yao hata ya ndondo mpaka mwisho wa dunia vinginevyo wanaiachia clip
Nimecheka Kama Mazuri Mkuu Hiyo IRP Ndo Rest In Peace Au Hii Yako Ni Mpya?😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁IRP baba Wa Taifa Mwalimu Nyerere.
Ulipigania Uhuru wa taifa letu
Ila wale maadui wanalitesa mno taifa lako Tanzania.