Hao wanamtaka aliyechezesha mechi yao na singida.stori za kipumbavu
stori ya kujifariji
stori ya kutokubali kipigo mara ya 4
hao TFF walitumia mfumo gani kutambua uhalali wa iyo clip
hizo stori wape wana nyau ndio zinawafariji hasaStory za vijiweni hazina authetification we zikaushie tu au twambie alipo kayoko
Kweli una uchungu, maana hiyo irp sijui ndo rip 🙄😁IRP baba Wa Taifa Mwalimu Nyerere.
Hadithi za SukununuSiku mbili kabla ya derby kulifanyika kikao kati ya Kayoko,afisa wa TFF na afisa toka GSM
Bila kujua kulikuwa na mtu anawarekodi kwenye simu.
Siku ya mechi kuna maamuzi ya utata yalitokea.
Wazee wa Simba wajaja juu kuwa Kayoko aliwahujumu
TFF wanawaita wazee wa Simba kuwa wanaharibu brand ya ligi kwa kuisema vibaya.
Wazee wanatoa ushahidi wa clip
Tff wanaufyata na kumfungia Kayoko kinya kimya
Kama stori hizi ni za kweli Kayoko ameyatimba maana wazee wamesema asichezeshe mechi yao hata ya ndondo mpaka mwisho wa dunia vinginevyo wanaiachia clip
Kosa la Kayoko pale ni lipi?, Kamara na Kijiri ndio waliotughalimu ktk ile mechi, Kamara kauchukua mpira uliotoka nje na akamrushia Kijiri, Kijiri nae akajiweka.Siku mbili kabla ya derby kulifanyika kikao kati ya Kayoko,afisa wa TFF na afisa toka GSM
Bila kujua kulikuwa na mtu anawarekodi kwenye simu.
Siku ya mechi kuna maamuzi ya utata yalitokea.
Wazee wa Simba wajaja juu kuwa Kayoko aliwahujumu
TFF wanawaita wazee wa Simba kuwa wanaharibu brand ya ligi kwa kuisema vibaya.
Wazee wanatoa ushahidi wa clip
Tff wanaufyata na kumfungia Kayoko kinya kimya
Kama stori hizi ni za kweli Kayoko ameyatimba maana wazee wamesema asichezeshe mechi yao hata ya ndondo mpaka mwisho wa dunia vinginevyo wanaiachia clip
Mtakila nyie tena kwa kutafuna bila maji....Tarehe 8 mnakula chuma tena
Yaani baba mzazi wa manara na jk tu😂🤣Kule uto wanaojua kuandika ni wawili tu
Mimi niko hapa tokea nikue mpaka leo sijawahi ona Simba kamfunga yanga kila wanapokutana tarehe 8Mtakila nyie tena kwa kutafuna bila maji....