Yanayosemwa vijiweni kuhusu kufungiwa kwa mwamuzi Kayoko

Mambo ya black mail kwenye soka GSM ni wahuni sio wadhamini pia wanapitisha mrungura duuh....
 
Utopolo wanaishi kiujanja ujanja watabaki sana ndondo cup kimataifa wakisogeza tu pua wanakutana na kelb ya uso
 
IRP baba Wa Taifa Mwalimu Nyerere.

Ulipigania Uhuru wa taifa letu
Ila wale maadui wanalitesa mno taifa lako Tanzania.
Nimecheka Kama Mazuri Mkuu Hiyo IRP Ndo Rest In Peace Au Hii Yako Ni Mpya?😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…