Tony Gwanco
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 5,913
- 1,215
haya , endelea kutujuza .
Muda huu hapa Dodoma wabunge wa Bunge la Katiba wanajiandaa kuingia ukumbini huku suala la nani awe spika wa bunge hili likiwa ni kubwa kwa siku ya leo,
Waheshimiwa Pandu, Sitta, Lisu yanatajwa.kwa wale mlipo nje ya Dodoma na media karibun JF tupeane updates.
mtapata kama kuna mwenye swali kuhusu jambo lolote aweke hapa nimjuze
Hizo mbwembwe tu hapo swala hatutaki tume huru ya uchagizi wala serikali tatu hatutaki machafuko sie.
CCM for life....