Yanayotokea hapa Dodoma nje na ndani ya bunge katika bunge la katiba kwa leo

Vipi pinda anaingia kama waziri mkuu au mbunge naomba ufafanuzi
 

Mkuu kwa haya maswali ni kama tulikuwa tunafikiria sawa... Anyway nasubiria majibu kwa hamu kubwa:whistle:
 
Sitta haukuomba ua ndo hakuqualify? mmmh.. hizo qualifications labda ziko kiccm ccm...
 
TBC naona bado wanaonesha katuni hakuna anayejua kinachoendelea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…