Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Alinikuta situmii na akanipenda ivo ivo tuuHuwezi kuacha utamu wa mchepuko bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alinikuta situmii na akanipenda ivo ivo tuuHuwezi kuacha utamu wa mchepuko bana
na usije ambiwa na mtu embu jaribu hata kidogo mama ake!!Huwa nawaza hivi siku nitakayoonja pombe itakuwaje?!
Ibilisi apite mbali, hiyo kitu nisijewaza kuilamba!
Walishaniambia saaana na sijawahi thubutu kuionja! Ondoa shaka kwenye hilona usije ambiwa na mtu embu jaribu hata kidogo mama ake!!
Mimi ni kichwa cha panzi mwenzio sigara ya kawaida, sigara Kali na pombe vimenipitia kushoto.
Kama hujawahi kunywa usije kunywa pombe kali kama bia 1 kunywa usije kuzidisha. Unaweza kusema ambayo yalikuwa moyoni tokea upo la5.Walishaniambia saaana na sijawahi thubutu kuionja! Ondoa shaka kwenye hilo
Hahaha hahaha hahahaKama hujawahi kunywa usije kunywa pombe kali kama bia 1 kunywa usije kuzidisha. Unaweza kusema ambayo yalikuwa moyoni tokea upo la5.
Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo umewaza nini jf bhana raha hua nashangaa sana kukuta simu ya mtu haina application ya jamii forum hua namuona kama akili zake haziko sawaINAVYOTOKEA WAKATI WA UNYWAJI WA BIA
Chupa ya bia [emoji898] ya kwanza huwa haileti hisia yoyote. Mnywaji humaliza chupa hiyo bila kuona matokeo yoyote zaidi ya kupoza koo... Na mara nyingi huwa mkimya, pengine huwa anasoma gazeti lake au kwa siku hizi anawasiliana na ndugu na jamaa kupitia simu yake.
Chupa ya bia [emoji898][emoji898]ya pili, kimsingi ndipo mazungumzo ya awali na wanywaji jirani huanza na haya huwa mazungumzo ya busara, yakihusu muelekeo wa ligi mbalimbali, siasa, idadi za ajali na kadhalika na wakati huu hata takwimu hutolewa zilizo sahihi....
Mtu anaweza kukutajia wachezaji wote wa ligi daraja la tatu la huko Ujerumani bila kukosea, hata idadi ya wachezaji wa Yanga bila kukosea.. Ila wakati huu kama unaanzisha mashindano ya kucheua ni wakati mzuri kwani bia ya pili huongeza hisia za kucheua.
Chupa ya bia [emoji898][emoji898][emoji898]ya tatu, huanza kumfanya mnywaji aanze kusikia furaha na pia huu huwa wakati ambapo karanga na korosho huliwa sana.... Pamoja na mazungumzo kuhusu mpira na siasa, ghafla mazungumzo kuhusu michepuko huanza kujitokeza.....
Chupa ya bia [emoji898][emoji898][emoji898][emoji898]ya nne, huanza kusababisha masikio yaanze kupoteza nguvu za kusikia kwani utaona mnywaji ghafla amepandisha sauti, na ukijumlisha na kuwa baa zetu huwa na muziki una kelele utadhani waliopo wote wana matatizo ya kusikia..... bia hii humsaidia kuongea kwa nguvu kushindana na kelele za muziki.
Chupa ya bia [emoji898][emoji898][emoji898][emoji898][emoji898]ya tano, ni hatari kidogo kwani ukiinuka kwenda chooni mara nyingi unarudi hujafunga zipu......na kipindi hiki ni kibaya kwa wanywaji wa kike maana unaweza kumkuta akienda chooni akijiangalia kwenye kioo anaanza kulia peke yake na kulalamika; ‘Mi sipendwi mpaka leo sijaolewa’ au ‘ Mume wangu sijui yukoje hanijali’
Japokuwa lazima isemwe ukweli ukifikisha bia hii, maisha ni raha sana unaweza ukaanzisha shoo ya kukata mauno katikati ya baa na kudai wewe ni mkali kuliko Shilole.
Kuanzia chupa bia[emoji898][emoji898][emoji898][emoji898][emoji898][emoji898][emoji482] ya sita, na kuendelea, chochote utakachosema au kufanya ni wazi kesho yake asubuhi utajilaumu sana. ....... ...Kuna watu husema ukilewa ndipo unakuwa mkweli, hivyo basi wakati huu hata bosi wako akitokeza unamueleza ukweli jinsi alivyo fala na hajui kuendesha kampuni.
Au unasema ukweli jinsi unavyompenda mke wa jirani yako ambaye mmekaa mnakunywa naye. Kimsingi uwezekano wa kutapika pia upo karibu na kama umekaa na mchumba wako huu ni muda ambao pia uchumba unaweza kuvunjika.......
View attachment 1123831
View attachment 1123832
View attachment 1123834
View attachment 1123835
View attachment 1123836
View attachment 1123837
Mimi nilisikiaga eti ukitaka usilewe haraka usichanganye vinywaji yaani kama umeanza kunywa beer aina ya Windhoek au Heineken basi endelea nayo hiyo hiyo moja unaweza fikisha hata chupa kumi haujalewa
Ila ukianza kuchanganya unaanza na Windhoek unakuja Heineken halafu unarukia kwenye wine unaanza na Dompo unakuja Robertson hapo haufiki mbali unakuwa umeshalewa jumlisha maluweluwe na vimulimuli juu sasa mimi sijui hayo ni kwa mujibu wa walevi waliokubuhu
Oohh kumbe.Naweza kukujibu kisayansi ila siyo ki nadharia , mwili huwa unaweza ku detect kuwa hii ni pombe (siyo kitu kizuri) then haikipeleki kwenye normal digestion system(/send it kwa obongo) baada ya kunywa kama bia zaidi ya tatu, so ukibadilisha mwili unaanza ku-learn the new trend wakati huo huo inaruhusu alcohol kwenda kwa obongo, ndiyo mana ukiwa unabadilisha bia unalewa sana
Utakuwa na ulevi mwingineShida zote hizi za nini
Sijawahi kunywa pombe tangu nizaliwe wala kuvuta sigara
Kesha ukiomba na kufunga "ukianza hutoacha"Shida zote hizi za nini
Sijawahi kunywa pombe tangu nizaliwe wala kuvuta sigara