Hamna uchawi hapo..Uchawi upooo nineamini
Mkuu una lolote tena? Hiyo ndiyo YangaJuma Mahadhi anaenda kupiga...amekosa
Duh...Geita wameangushwa na wachezaji wao waliowahi kucheza Yanga
Unadhani Yanga ni Simba?
Mtateseka sana.Leo bahati imewabeba
Jina la refa ni bahati?Leo bahati imewabeba
Ukiona bahati ipo kwako ujue basi kombe ni lako.Leo bahati imewabeba
Hao makolo tumesha wapiga ufunguzi wa ligiHao utopolo waje kucheza na Simba SC kwenye nusu fainali.
Geita wajilaumu wenyeweHuu ni umaza faka na ni aibu kwa kilichotokea kuita soccer
Simba hatuteseki ovyo.Mtateseka sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ana lipi sasaMkuu una lolote tena? Hiyo ndiyo Yanga
Ili upige penati vizuri kwanza lazima ujiamini usiwe na chembe ya hofu. Yondani alichezea yanga lakini kapiga penati vyema sanaGeita wameangushwa na wachezaji wao waliowahi kucheza Yanga
Mpira uliisha isha tangu juzi hakuna player wa yanga anafunga mechi hii na kuna mtu anapigwa kadi hamtaamini