Yanga 2-0 Azam FC | Ligi kuu | Benjamin Mkapa

Yanga 2-0 Azam FC | Ligi kuu | Benjamin Mkapa

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Leo kutakuwa na Mtinange wa Kukata na Shoka kati Yanga na Azam FC, mechi hii itaanza majira ya saa 1:00 usiku Uwanja wa Benjamini Mkapa

Tunajua ugumu wa game hii ya leo kizingati timu hizi zinapokutana hupigwa mpira wa nguvu sana.

======

⚽ 36' Fisto Mayele, Yanga 1-0 Azam

⚽73' Jésus Ducapel Moloko

Full Time: Yanga 2-0 Azam FC
 
Leo kocha Nabi anakazi ya kumuanziaha nani kwenye kikosi chake

Screenshot_20211030-174125.png
 
Back
Top Bottom