Yanga 2-0 Azam FC | Ligi kuu | Benjamin Mkapa

Yanga 2-0 Azam FC | Ligi kuu | Benjamin Mkapa

Unapigwa mwingi sana yaani mpaka unamwagika,mara Aucho, Bangala, Fei toto Muloko....... kudadadadekiiiii huuu mwaka huu
Unajua nilikuwa busy busy na mambo yangu, nikajua sitapata muda wa kuangalia mechi! Nilichofanya, baadae sana nikaingia Instagram kwa lengo moja tu: Kuangalia First 11.

Baada ya kuiona line-up, nikajiuliza ni nani wa kutoka hapai! Nikaendelea na shughuli zangu nikiwa na amani kwa 100%!
 
Hii Azam inamaliza tu pesa za Bakhresa...Kagera sugar inacheza mpira mzuri kuliko Azam.

hii debi ya Manara nilijua itakuwamna ushindani lakini hamna kitu.
 
Tuwaombe TFF mechi yetu na Utopolo tuchezi mwanzoni mwa mwezi wa 11 na si zaidi sababu hali ya baadae itakuwa mbaya zaidi, sijui tutaficha wapi sura zetu.
 
Azam Wanajiua Wenyewee, Wamewasimisha Wachezaji Wa Maana, Kwasababu za Kipuuzi Sahizi Wanahangaika Kila Mechi ni Kipigo
 
mkuu yanga ilianza hvhv lkn simba ile ilkua bora tuljua tutapindua meza tu, ila simba hii mzee pressure mtupu

Tutaingalia simba Pia Kesho, Lakini Naona Mabadiriko yakija Simba. Tunahitaji Kosa ambaye amesoma Psychologia pia, ambaye ataongea na wachezaji Vizuri. Simba tuna Wachezaji Wa Maana Sana Sema naona Ule moyo wa kujitoa Kwa Wachezaji Ndio Shida. Mtu kama Bocco Ukiambiwa ndio MVP utakataa [emoji12][emoji12]
 
Tutaingalia simba Pia Kesho, Lakini Naona Mabadiriko yakija Simba. Tunahitaji Kosa ambaye amesoma Psychologia pia, ambaye ataongea na wachezaji Vizuri. Simba tuna Wachezaji Wa Maana Sana Sema naona Ule moyo wa kujitoa Kwa Wachezaji Ndio Shida. Mtu kama Bocco Ukiambiwa ndio MVP utakataa [emoji12][emoji12]
Hakuna wachezaji wa maana pale zaidi ya Manula tu,wa maana wameondoka
 
tusiwe wanafiki kwa pira asali wanalocheza uto wapewe tu kombe lao, wanaupiga mwingi sana hadi unamwagikia.

simba tuwekeze nguvu kwenye shirikisho walau tuingie makundi tutapunguza kusemwa na uto.
 
Tuwaombe TFF mechi yetu na Utopolo tuchezi mwanzoni mwa mwezi wa 11 na si zaidi aababu hali ya baadae itakuwa mbaya zaidi, sijui tutaficha wapi sura zetu.
Nyie hata huo mwezi 11 haujafika mshaanza kutimuana sijui mpaka mwakani watabakia wa ngapi kwenye benchi la ufundi.
 
Back
Top Bottom