Unajua nilikuwa busy busy na mambo yangu, nikajua sitapata muda wa kuangalia mechi! Nilichofanya, baadae sana nikaingia Instagram kwa lengo moja tu: Kuangalia First 11.Unapigwa mwingi sana yaani mpaka unamwagika,mara Aucho, Bangala, Fei toto Muloko....... kudadadadekiiiii huuu mwaka huu
Chagua
Tuliwashauri Simba wasajili wachezaji wazuri wenyewe wakang'ang'ana kusajili magari,mwisho wa siku wamejazana humu kuiombea Yanga ifungwe.Wake zake Mwamedi Leo wamenuna.Ukorooofiiii.
Mwamedi asha wamaliza.wametepeta.Tuliwashauri Simba wasajili wachezaji wazuri wenyewe wakang'ang'ana kusajili magari,mwisho wa siku wamejazana humu kuiombea Yanga ifungwe.
Mpira ulishatoka wachezaji wa Azam walikuwa wamesimana.
Refa wa mchongo huyu
mkuu yanga ilianza hvhv lkn simba ile ilkua bora tuljua tutapindua meza tu, ila simba hii mzee pressure mtupuMsimu wa 2020/2021 Yaanga Mlianza Hivi Hivi, Muwe na Kumbukumbu na Mlikuwa mnajiita Unbeaten [emoji23][emoji23][emoji23]
mkuu yanga ilianza hvhv lkn simba ile ilkua bora tuljua tutapindua meza tu, ila simba hii mzee pressure mtupu
Yanga ilianza kwa drooMsimu wa 2020/2021 Yaanga Mlianza Hivi Hivi, Muwe na Kumbukumbu na Mlikuwa mnajiita Unbeaten [emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna wachezaji wa maana pale zaidi ya Manula tu,wa maana wameondokaTutaingalia simba Pia Kesho, Lakini Naona Mabadiriko yakija Simba. Tunahitaji Kosa ambaye amesoma Psychologia pia, ambaye ataongea na wachezaji Vizuri. Simba tuna Wachezaji Wa Maana Sana Sema naona Ule moyo wa kujitoa Kwa Wachezaji Ndio Shida. Mtu kama Bocco Ukiambiwa ndio MVP utakataa [emoji12][emoji12]
Nyie hata huo mwezi 11 haujafika mshaanza kutimuana sijui mpaka mwakani watabakia wa ngapi kwenye benchi la ufundi.Tuwaombe TFF mechi yetu na Utopolo tuchezi mwanzoni mwa mwezi wa 11 na si zaidi aababu hali ya baadae itakuwa mbaya zaidi, sijui tutaficha wapi sura zetu.
Umekalili kama mlivyo kalili "kwa Mkapa hatoki mtu.........",mwisho wa siku mkala tatu, sasa hivi mnaanza kutimuanaMsimu wa 2020/2021 Yaanga Mlianza Hivi Hivi, Muwe na Kumbukumbu na Mlikuwa mnajiita Unbeaten [emoji23][emoji23][emoji23]