Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,063
- 2,566
Ni kweliYanga wako vizuri.
Kibongo bongo
Magufuli alikuwa raisi wa JMTMara ya mwisho Yanga kufungwa goli ni lini?
Kumbuka hiyo ilikuwa Yanga bila Dk Aucho, Yanick Litombo Bangala, Djuma Shabaan Solder ya Bemba, Jersy Ducaoel Moloko etc. Yanga ya Sasa Ni fire, ukiigusa unaungua papo hapo. Makolo mpooo hapoMsimu wa 2020/2021 Yaanga Mlianza Hivi Hivi, Muwe na Kumbukumbu na Mlikuwa mnajiita Unbeaten [emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbuka vizuri zaidi kuwa mlikuwa na Konde boy na mwamba wa Lusaka, na mlikuwa hamjaanza kushikana uchawiMsimu wa 2020/2021 Yaanga Mlianza Hivi Hivi, Muwe na Kumbukumbu na Mlikuwa mnajiita Unbeaten [emoji23][emoji23][emoji23]
Kocha wa Utopolo anasema bado mwezi mmoja!Mpira ulikuwa haujatoka.
Kumbuka kocha wa Utopolo aliomba apewe miezi 3, ikifika hiyo miezi 3 sijui itakuwaje!!!!