Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Huyu Kuna Goal Moja Hapo Jingine Dakika Ya 80'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngapi ngapi hukooAngalieni Mpira Safi Kutoka Kwa Mabingwa Wa Kihistoria Dar Young Africans.
Hilo tumelizoea kwa zaidi ya miaka minne, mpira wetu huwa umepooza hivihivi, kwahiyo tunaomba utauche na kasia (miiko) zetu nyuma.Mpira umepooza kipindi cha pili.
Hakikisha Babu wa faulo (mrundi), ndiye atakae kuoa.Nimempigia mama na baba kuwaambia kesho nitafunga ndoa na yanga kanisani.
Mkuu acha masihara? Kwa mpira gani tulionao? We Sema kuwa kwa wale wa kubet kesho ni kuweka ushindi wa goli moja la penati Kisha unaweka stake ya laki uhakika mkeka unasomaInawalazimu mashabiki kusubiri mpaka kesho kuona mpira wa kweli
Unahangaika kama malaya kaona walletHilo tumelizoea kwa zaidi ya miaka minne, mpira wetu huwa umepooza hivihivi, kwahiyo tunaomba utauche na kasia (miiko) zetu nyuma.
Bado unahangaika na hii misemo ya wavaa vyupi wa mwaka 90?Una hangaika kama malaya kaona wallet
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bado unahangaika na hii misemo ya wavaa vyupi wa mwaka 90?
Mkuu kwani huo msemo aliotumia huyu uto mwenzetu ni mpya kwako??[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Afu uache ungese wa kukimbilia kufungua thread za mechi za Yanga afu huweki updates.Hatua ya 16 bora ya kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) kuendelea kushika kasi
leo.
Je, ni timu gani kufuzu kwa hatua ya robo fainali kuungana na Geita Gold na AzamFC? Ni Yanga Vs Biashara united
Lets go
View attachment 2120305