Yanga 2-1 Biashara United | Ligi Kuu | Benjamin Mkapa

Yanga 2-1 Biashara United | Ligi Kuu | Benjamin Mkapa

Mm nilitamani kabla ya kutoa mkwanja tff angeboresha kwanza live kwa kuongeza camera na ubora ,kuna matokeo mengi ya mechi yanakuja kuonekana baadae mechi ishaisha
TFF wakishapata ulaji kulisha matumbo yao huwa hawajali kuhusu mashabiki au ligi
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Hivi huyu Bryson Rafael ni mchezaji kweli?. Kocha hamuoni kabisa. Kila mpira anachomesha
 
mpira yanga wameucheza sana ila swala la wamaliziaji kule mbele bado ni tatizo

Feisal kakosa nafasi ya wazi kabisa, mayele ndo usiseme yani wangekua fit pale mbele saizi yanga ingeenda mapumziko ikiwa na magoli hata 3

Kingine mayele ameonekana mbinafsi sana kabla ya kufunga bao la kusawazisha, yani ni kama alikua nataka afunge kwanza ndio aangalie na wengine kama anaweza kuwapa pass za kufunga

Na ndio maana baada ya kufunga amekuwa akitoa pass hata sehemu ambayo angeweza kunipinda akagunga
Leo Feisal mpira umemkataa
 
Mkuu sio kwamba Azam Bakhresa hataki kuwa na camera nyingi uwanjani Ila Camera za live broadcasting zina gharama kubwa sana na ndio maana huwa anaziongeza taratibu kwa kadri ya uwezo wake
Atafute sasa yeye si anataka kufanya biashara world wide
 
Kona inapigwa kuelekezwa biashara na mpigaji ndo ntibayonkiza
 
Refa huyu anataka kusemaje hapa ebu ngoja tuone tafsiri yake ni nini hapa
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Moloko alikua anafanya cheating kwa kujiangusha kwenye penalty box na refa kamstukia kamchapa yellow card
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Back
Top Bottom