Yanga 2-1 Biashara United | Ligi Kuu | Benjamin Mkapa

Yanga 2-1 Biashara United | Ligi Kuu | Benjamin Mkapa

Azam gani hawa hawa? labda gharama ya kifurushi

Hiki king'amuzi kingekuwa cha MO tungewaona critics wengi wakisema jamaa bahili na maneno mengine ya kashfa
Mm nilitamani kabla ya kutoa mkwanja tff angeboresha kwanza live kwa kuongeza camera na ubora ,kuna matokeo mengi ya mechi yanakuja kuonekana baadae mechi ishaisha
 
Azam gani hawa hawa? labda gharama ya kifurushi

Hiki king'amuzi kingekuwa cha MO tungewaona critics wengi wakisema jamaa bahili na maneno mengine ya kashfa
Mkuu sio kwamba Azam Bakhresa hataki kuwa na camera nyingi uwanjani Ila Camera za live broadcasting zina gharama kubwa sana na ndio maana huwa anaziongeza taratibu kwa kadri ya uwezo wake
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Kwahiyo mmegoma kuisifia Yanga leo 😀😀😀. Hawa BUM wanapambana leo lakini Yanga wanaupiga mwingi saaaana.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Mkuu sio kwamba Azam Bakhresa hataki kuwa na camera nyingi uwanjani Ila Camera za live broadcasting zina gharama kubwa sana na ndio maana huwa anaziongeza taratibu kwa kadri ya uwezo wake
Kabla ya kuongeza mkwanja tff wangeliboreshaa kwanza , wamewahi kuwajifunga miaka kibao ...

Ukipata mda angalia ligi ya nchi ya Ethiopia dstv ...mpka wivu mkuu
 
Kabla ya kuongeza mkwanja tff wangeliboreshaa kwanza , wamewahi kuwajifunga miaka kibao ...

Ukipata mda angalia ligi ya nchi ya Ethiopia dstv ...mpka wivu mkuu
Dstv ni mother of live broadcasting in Africa ila Azam ndio anakuja nyuma tena kwa kasi sana

Tuombe uzima tu mkuu, tutashuhudia makubwa sana huko mbeleni yakifanywa na Azam TV
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Dstv ni mother of live broadcasting in Africa ila Azam ndio anakuja nyuma tena kwa kasi sana

Tuombe uzima tu mkuu, tutashuhudia makubwa sana huko mbeleni yakifanywa na Azam TV
Yes kasi yake ni nzuri, miaka miwili mbele naiona live za kibabe...soon wana azam sport 3
 
Wapewe kupiga Wengine....Haiwezekani utengewe mara 30 halafu Zote hakuna kitu.. kisa uliwahi kufunga huko nyuma.
Huyu muda wa kutundika daluga umefika..!
Hujui chochote kuhusu mpira, kila timu Ina watu wake wa kupiga faulo, kona, penati nando maana huoni mtu akigombea kupiga faulo hata kama faza kakosa
 
Sanaaa, kumsifia yanga ni ngumu maana kila siku yuko bora sana

Walio bora wako kwenye mashindano makubwa kama CL or CC ya CAF.Kama team haipo kwa hayo mashindano inakuwaje bora?
 
Walio bora wako kwenye mashindano makubwa kama CL or CC ya CAF.Kama team haipo kwa hayo mashindano inakuwaje bora?
Ushawahi sikia msemo 'kuokota embe chini ya mnazi' alafu aliye okota embe anataka asifiwe kwA juhudi za kuokota
 
Back
Top Bottom