Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
Mm nilitamani kabla ya kutoa mkwanja tff angeboresha kwanza live kwa kuongeza camera na ubora ,kuna matokeo mengi ya mechi yanakuja kuonekana baadae mechi ishaishaAzam gani hawa hawa? labda gharama ya kifurushi
Hiki king'amuzi kingekuwa cha MO tungewaona critics wengi wakisema jamaa bahili na maneno mengine ya kashfa